DSTV nimewaheshimu zaidi baada ya kutumia Azam TV

DSTV nimewaheshimu zaidi baada ya kutumia Azam TV

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Sometimes kuna kampuni zinakuwa zinakupa huduma Bora Sana lakini unashindwa kuona Hadi unapoenda kwingineko ukapata huduma mbovu ndo unagundua kumbe wale wengine wako class's ya juu sana.

Nimeteseka Sana na Azam TV, kila nikitaka kubadili kifurushi. Wao wanadai nikitaka kubadili kifurushi nilipe upya kifurushi nnachokitaka. Kile cha zamani hata kama kimebakisha siku 25 nisamehe hela yangu. Nimeshangaa sana.

Nishazoea dstv hata pesa ukizidisha inabaki Kwa akaunti na siku yoyote utakayo jisikia unabadili kifurushi kingine wanakupa hesabu unaongeza hela. Huduma za dstv ziko Bora sana, sana. Azam bado uhuni mwingi sana.
 
Sometimes kuna kampuni zinakuwa zinakupa huduma Bora Sana lakini unashindwa kuona Hadi unapoenda kwingineko ukapata huduma mbovu ndo unagundua kumbe wale wengine wako class's ya juu sana...

Nimeteseka Sana na Azam TV ...kila nikitaka kubadili kifurushi...
Wao wanadai nikitaka kubadili kifurushi nilipe upya kifurushi nnachokitaka...kile cha zamani hata kama kimebakisha siku 25 nisamehe hela yangu...nimeshangaa Sana ..
Nishazoea dstv hata pesa ukizidisha inabaki Kwa akaunti na siku yoyote utakayo jisikia unabadili kifurushi kingine ..wanakupa hesabu unaongeza hela ......huduma za dstv ziko Bora Sana......Sana.....Azam bado uhuni mwingi sana
Hiyo chagamoto ipo hata dstv kwa mfano down grading kifurushi mpaka uwapigie customer care, lingine dstv vifurushi viko juu kdgo imagine access in 23k lakini upati mipira ya epl yote ni match day 1 tu, isio kua na mvuto, jingine local league hamna kabisa.
 
Hiyo chagamoto ipo hata dstv kwa mfano down grading kifurushi mpaka uwapigie customer care, lingine dstv vifurushi viko juu kdgo imagine access in 23k lakini upati mipira ya epl yote ni match day 1 tu, isio kua na mvuto, jingine local league hamna kabisa.

Dstv Wana Hadi offer ...ilikuwepo panda tukupandishe ... ilikuwepo ya kulipa nusu ....offa kila mara...

Dstv angalau mnaweza ongea ...Azam wao hawataki hata maongezi ...ukitaka kupanda baada ya siku tatu unatakiwa usamehe pesa yako sasa si wizi huo
 
Hiyo chagamoto ipo hata dstv kwa mfano down grading kifurushi mpaka uwapigie customer care, lingine dstv vifurushi viko juu kdgo imagine access in 23k lakini upati mipira ya epl yote ni match day 1 tu, isio kua na mvuto, jingine local league hamna kabisa.

Dstv Wana Hadi offer ...ilikuwepo panda tukupandishe ... ilikuwepo ya kulipa nusu ....offa kila mara...

Dstv angalau mnaweza ongea ...Azam wao hawataki hata maongezi ...ukitaka kupanda baada ya siku tatu unatakiwa usamehe pesa yako sasa si wizi
 
Sometimes kuna kampuni zinakuwa zinakupa huduma Bora Sana lakini unashindwa kuona Hadi unapoenda kwingineko ukapata huduma mbovu ndo unagundua kumbe wale wengine wako class's ya juu sana...

Nimeteseka Sana na Azam TV ...kila nikitaka kubadili kifurushi...
Wao wanadai nikitaka kubadili kifurushi nilipe upya kifurushi nnachokitaka...kile cha zamani hata kama kimebakisha siku 25 nisamehe hela yangu...nimeshangaa Sana ..
Nishazoea dstv hata pesa ukizidisha inabaki Kwa akaunti na siku yoyote utakayo jisikia unabadili kifurushi kingine ..wanakupa hesabu unaongeza hela ......huduma za dstv ziko Bora Sana......Sana.....Azam bado uhuni mwingi sana
DStv wako nextlevel
 
Sometimes kuna kampuni zinakuwa zinakupa huduma Bora Sana lakini unashindwa kuona Hadi unapoenda kwingineko ukapata huduma mbovu ndo unagundua kumbe wale wengine wako class's ya juu sana...

Nimeteseka Sana na Azam TV ...kila nikitaka kubadili kifurushi...
Wao wanadai nikitaka kubadili kifurushi nilipe upya kifurushi nnachokitaka...kile cha zamani hata kama kimebakisha siku 25 nisamehe hela yangu...nimeshangaa Sana ..
Nishazoea dstv hata pesa ukizidisha inabaki Kwa akaunti na siku yoyote utakayo jisikia unabadili kifurushi kingine ..wanakupa hesabu unaongeza hela ......huduma za dstv ziko Bora Sana......Sana.....Azam bado uhuni mwingi sana
Azam TV ni wahuni. Kwangu king'amuzi kilifeli kikiwa bado kwenye warrant period. Nikakirudisha na wakaniaahidi ku replace. Nina juma la 2 bado sijapata.
Pili nilipouliza kuhusu muda niliolipia na sijaangalia utafidiwaje wamesema Haiwahusu.

Hawa Azam ni Takataka tu
 
Azam TV ni wahuni. Kwangu king'amuzi kilifeli kikiwa bado kwenye warrant period. Nikakirudisha na wakaniaahidi ku replace. Nina juma la 2 bado sijapata.
Pili nilipouliza kuhusu muda niliolipia na sijaangalia utafidiwaje wamesema Haiwahusu.

Hawa Azam ni Takataka tu

Mimi mtu wao WA call centre niliona ananipandishia sauti ...wakati nilikuwa mteja nataka kuongeza malipo nipande kifurushi.... nilishangaa Sana...

Wakati dstv wananipa maelekezo fast ya kupanda kifurushi
 
Sometimes kuna kampuni zinakuwa zinakupa huduma Bora Sana lakini unashindwa kuona Hadi unapoenda kwingineko ukapata huduma mbovu ndo unagundua kumbe wale wengine wako class's ya juu sana...

Nimeteseka Sana na Azam TV ...kila nikitaka kubadili kifurushi...
Wao wanadai nikitaka kubadili kifurushi nilipe upya kifurushi nnachokitaka...kile cha zamani hata kama kimebakisha siku 25 nisamehe hela yangu...nimeshangaa Sana ..
Nishazoea dstv hata pesa ukizidisha inabaki Kwa akaunti na siku yoyote utakayo jisikia unabadili kifurushi kingine ..wanakupa hesabu unaongeza hela ......huduma za dstv ziko Bora Sana......Sana.....Azam bado uhuni mwingi sana
Bora umejionea mwenyewe niliacha kutumia azam toka 2018 nikija Tanzania nagonga zangu DSTV Tu ving'amuzi vya wapumbavu sitaki
 
Sometimes kuna kampuni zinakuwa zinakupa huduma Bora Sana lakini unashindwa kuona Hadi unapoenda kwingineko ukapata huduma mbovu ndo unagundua kumbe wale wengine wako class's ya juu sana...

Nimeteseka Sana na Azam TV ...kila nikitaka kubadili kifurushi...
Wao wanadai nikitaka kubadili kifurushi nilipe upya kifurushi nnachokitaka...kile cha zamani hata kama kimebakisha siku 25 nisamehe hela yangu...nimeshangaa Sana ..
Nishazoea dstv hata pesa ukizidisha inabaki Kwa akaunti na siku yoyote utakayo jisikia unabadili kifurushi kingine ..wanakupa hesabu unaongeza hela ......huduma za dstv ziko Bora Sana......Sana.....Azam bado uhuni mwingi sana
Siku hizi DSTV wana huduma nzuri sana. Kila mara wanapiga simu kukuhabarisha na kukupa feedback. Ile app yao ya MyDSTV nzuri unamaliza kila kitu humo humo hata error code unafix with a click of a button
 
Back
Top Bottom