HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mzungu anajali biashara.Mimi mtu wao WA call centre niliona ananipandishia sauti ...wakati nilikuwa mteja nataka kuongeza malipo nipande kifurushi.... nilishangaa Sana...
Wakati dstv wananipa maelekezo fast ya kupanda kifurushi
Mpemba anajua utakuja tu utake usitake