Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uswahili mwingiSometimes kuna kampuni zinakuwa zinakupa huduma Bora Sana lakini unashindwa kuona Hadi unapoenda kwingineko ukapata huduma mbovu ndo unagundua kumbe wale wengine wako class's ya juu sana...
Nimeteseka Sana na Azam TV ...kila nikitaka kubadili kifurushi...
Wao wanadai nikitaka kubadili kifurushi nilipe upya kifurushi nnachokitaka...kile cha zamani hata kama kimebakisha siku 25 nisamehe hela yangu...nimeshangaa Sana ..
Nishazoea dstv hata pesa ukizidisha inabaki Kwa akaunti na siku yoyote utakayo jisikia unabadili kifurushi kingine ..wanakupa hesabu unaongeza hela ......huduma za dstv ziko Bora Sana......Sana.....Azam bado uhuni mwingi sana
Fikra za kijinga hizo.Sawa tumeshajua wewe ni tajiri una Dstv😎
Haoni aibu kuandika mtu anayetumia DStv ni tajiri?Fikra za kijinga hizo.
Ajabu sana.Haoni aibu kuandika mtu anayetumia DStv ni tajiri?
Bora mpali hyo huna na juakali hamna kituDstv wana tamthilia nyingi sana afu ubora mzuri ie Mpali, Juakali, Huba etc
Siku zingine usijefananisha Dstv na madude mengine mkuu in any waysSometimes kuna kampuni zinakuwa zinakupa huduma Bora Sana lakini unashindwa kuona Hadi unapoenda kwingineko ukapata huduma mbovu ndo unagundua kumbe wale wengine wako class's ya juu sana...
Nimeteseka Sana na Azam TV ...kila nikitaka kubadili kifurushi...
Wao wanadai nikitaka kubadili kifurushi nilipe upya kifurushi nnachokitaka...kile cha zamani hata kama kimebakisha siku 25 nisamehe hela yangu...nimeshangaa Sana ..
Nishazoea dstv hata pesa ukizidisha inabaki Kwa akaunti na siku yoyote utakayo jisikia unabadili kifurushi kingine ..wanakupa hesabu unaongeza hela ......huduma za dstv ziko Bora Sana......Sana.....Azam bado uhuni mwingi sana
Acha utoto.Sawa tumeshajua wewe ni tajiri una Dstv😎
Sahihi mkuu.Azam tv kinacho wapa wateja ni ligi kuu ya Bongo lakin bila hivyo wasingekuwa na wateja.Azam tv ni takataka
Wee jamaa tafuta pesa, DSTV siyo ya matajiri siku iziSawa tumeshajua wewe ni tajiri una Dstv😎
Inabidi akomae sana asiiachie ligi kuu bongo, siku DSTV akiingia ligi kuu bongo Azam tv chali, ila niwapongeze tu wanashika no 2 kwa ukanda wetu nyuma ya DSTV, kwa bongo no. 1 wakifuatia star times (mchina naye anakomaa si mchezo)Azam tv kinacho wapa wateja ni ligi kuu ya Bongo lakin bila hivyo wasingekuwa na wateja.Azam tv ni takataka