Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
⁵¹⁰⁰⁰ ya compact afadhali mwenzako akujazie ulipie Compact Plus hapo utaburudikaUsifanye comparison kwa namna hiyo, sababu mwingine yeye ni mpenzi wa EPL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
⁵¹⁰⁰⁰ ya compact afadhali mwenzako akujazie ulipie Compact Plus hapo utaburudikaUsifanye comparison kwa namna hiyo, sababu mwingine yeye ni mpenzi wa EPL
😂😂🤣🙌🙌 sawa mkuu nitamwambia mwenzangu⁵¹⁰⁰⁰ ya compact afadhali mwenzako akujazie ulipie Compact Plus hapo utaburudika
Fanya mpango na mtu wa dstv akuuzie king'amuzi cha demo ufaidi bure😂😂🤣🙌🙌 sawa mkuu nitamwambia mwenzangu
Ajazie ifike 84K
SafiWakati tozo za benki zikiwa bado moto, tozo za ving'amuzi inaanza rasmi Septemba 1 kwa Dstv kutangaza gharama mpya ya vifurushi. Hakika hatupumui...View attachment 2332514
Emu nifafanulie vizuriFanya mpango na mtu wa dstv akuuzie king'amuzi cha demo ufaidi bure
Wafanyakaz wa dstv wanawapa decoder wanaziita demo hazilipiwi. Uwa wengine wanaziuza.Emu nifafanulie vizuri
Kichwa chako hapa kimetumika kama begi la kubebea menoLipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako,tunavyokuwa tunasifia ulaya Maisha mazuri Basi yatupasa kujua kuwa walivuja damu na jasho Hadi kufikia hapo!!
Tanzania ina fedha nyingi sana zinapotea kwa mambo ya kijinga. Waanze kubana matumizi huko. Mtu kama Kinana anapofanya ziara ni upotevu wa fedha tu na hakuna zaidi. Nchi ina viongozi kila sehemu yeye anakwenda kufanya nini mikoani? Kuna watu kama sijui makatibu wenezi nao ni upotofu wa fedha.Lipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako,tunavyokuwa tunasifia ulaya Maisha mazuri Basi yatupasa kujua kuwa walivuja damu na jasho Hadi kufikia hapo!!
Sisi wadau wa EPL hiko ndio tunaonaga mechiHicho kifurushi cha Compact hakina maana yeyote hovyo, bora Family
Unavuja damu wewe ili wachache wale shavu.Lipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako,tunavyokuwa tunasifia ulaya Maisha mazuri Basi yatupasa kujua kuwa walivuja damu na jasho Hadi kufikia hapo!!
Yes na startimes antena wana free to air nyingi kweli ni kupotezea hizo HD,... movie sikuizi tunatumia Hard Drives na mpira ni Bar.Sio mbaya tunaludi kwenye waya ya msomalia bora kukabiliaba na chenga tu za msomali.
Hicho kifurushi cha Compact hakina maana yeyote hovyo, bora Family
Sasa mbona unawachongea Wafanyakazi tena!!!?Wafanyakaz wa dstv wanawapa decoder wanaziita demo hazilipiwi. Uwa wengine wanaziuza.
😁😁EPL kwenye family ipo?? Ni haipo, usikiite hovyo wakati kiko na burudani kwa watu wengine
Kanambia issue ni ngumu mno 😄Wafanyakaz wa dstv wanawapa decoder wanaziita demo hazilipiwi. Uwa wengine wanaziuza.
Sijawachongea na bila shaka hata wao wanajua. Wanawapa kwa matumizi yao mtu anauzaSasa mbona unawachongea Wafanyakazi tena!!!?
Basi huenda wamekaza siku hizi zaman ilikuwa teleKanambia issue ni ngumu mno 😄