Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Bora cable mwisho wa mwezi ten lao wanapata chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa aliweka hio picha jana.Lipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako,tunavyokuwa tunasifia ulaya Maisha mazuri Basi yatupasa kujua kuwa walivuja damu na jasho Hadi kufikia hapo!!
Ndio wapi huko? Kuna Epl na Uefa?Bora cable mwisho wa mwezi ten lao wanapata chap
Zipo zoteNdio wapi huko? Kuna Epl na Uefa?
Ni wapiZipo zote
KilimanjaroNi wapi
🌚Kilimanjaro
Makasiriko tena
Hutoi maelezo yaliyoshiba, unataka nikuchekee nini?Makasiriko tena
Nishakwambia Kilimanjaro, mengineyo TCRA watatuwekea tozoHutoi maelezo yaliyoshiba, unataka nikuchekee nini?
Tatizo ni vyama vya upinzani. Mbona viko kimya kama vile hakuna kilichotokea. Maskini Watanzania hatuna mtetezi.Daaah! Ccm wametisha sana
Bunge lote la kijaniTatizo ni vyama vya upinzani. Mbona viko kimya kama vile hakuna kilichotokea. Maskini Watanzania hatuna mtetezi.
Hata huku nje ya Bunge viongozi wa upinzani hawasemi kitu. Wamekalia kumsifia Hangaya Eti ana unganisha nchi.Bunge lote la kijani
Azam hamna Epl, ndio msalaHamna shida, najiunga Azam rasmi, hata wakiongeza haitafika 45k
Mfano etv ile ya South Africa siku hizi haipoAzam TV kuna baadhi ya channels zinapungua kila uchao, changamoto hawasemi Ka imehamishiwa kifurushi kingine, ama wameacha kabsa kuirusha
Kwenye social network wanatukamua kupitia bundle. Hakuna kwenye unafuu mkuu.Waje huku kwenye whatsapp,twitter na instagram wasisahau jamiiforums, 3000 Tshs per week sio mbaya, hujalipa tozo twitter,jf na hizo apps from meta tuzisikie tu.
Safi sana.
Visa hiyo, kuangalizia bar au vibanda umizaAzam hamna Epl, ndio msala