Dstv wanaweza kurudisha pesa kama umenunua kifurushi mara mbili?

Dstv wanaweza kurudisha pesa kama umenunua kifurushi mara mbili?

Kurudisha sahau ila utakuwa umelipia kifurushi kwa miezi miwili ila wapigie wathibitishe maana hawakawii kujisahaulisha na mark date of payment and end date of your subscription
 
Kurudisha sahau ila utakuwa umelipia kifurushi kwa miezi miwili ila wapigie wathibitishe maana hawakawii kujisahaulisha na mark date of payment and end date of your subscription
Pole sana hapo utakuwa umelipia miezi miwili
Yan afadhali waniambie nmelipia miezi miwili nitawaelewa kuliko kutokupewa pesa kabisa. Usiku huu dstv hawafanyi kazi, CRDB wameniambia wanashughulika hvy kesho niwacheki tena
 
Yan afadhali waniambie nmelipia miezi miwili nitawaelewa kuliko kutokupewa pesa kabisa. Usiku huu dstv hawafanyi kazi, CRDB wameniambia wanashughulika hvy kesho niwachek tena
Pesa kurudi sahau ila Subiri uthibitisho wa malipo ya miezi miwili hili ni jambo la msingi sana hakikisha imekuwa approved miezi miwili la sivyo watajisahulisha na ikishapita ndio ntolee
 
Pesa kurudi sahau ila Subiri uthibitisho wa malipo ya miezi miwili hili ni jambo la msingi sana hakikisha imekuwa approved miezi miwili la sivyo watajisahulisha na ikishapita ndio ntolee
Shukrani bro
 
Wanakupa options zote 2; kurudishiwa hela au wakuunge miezi 2 mfululizo.
 
Kwanini mnaendekeza anasa kwa kununua hivi vifurushi wakati huu uchumi umedorora na mfumuko wa bei?!

Haileti picha nzuri kwa tabaka lingine ambalo ni less unfortunate struggling to make ends meet wakiwaona mnaendekeza anasa. SI muwe wavumilivu tu Hadi vita ya Ukraine iishe na hali ijirudie ilivyokuwa awali?

Jitafakarini asee!
 
Ndugu zangu naombeni msaada, nimenunua kifurushi cha 21000 mara mbili kwa bahati mbaya mana nimetumia app ya CRDB, mara ya kwanza imeonyesha kama muamala umeshindikana ndipo nikanunua kwa mara ya pili ikakubali, nilipoangalia salio na nilipoangalia miamala ya mwisho inaonyesha nimenunua kifurushi mara mbili. Na kwenye app inaonyesha miamala ni miwili ila kwenye sms ya kawaida wamenitumia risiti ya muamala mmoja.
Naombeni kujua hapo niwasiliane na nani ili pesa yangu irudi.
Crdb hata mawakala wao ni shida
 
Kwanini mnaendekeza anasa kwa kununua hivi vifurushi wakati huu uchumi umedorora na mfumuko wa bei?! Haileti picha nzuri kwa tabaka lingine ambalo ni less unfortunate struggling to make ends meet wakiwaona mnaendekeza anasa. SI muwe wavumilivu tu Hadi vita ya Ukraine iishe na hali ijirudie ilivyokuwa awali?

Jitafakarini asee!
Rubbish sperms
 
Kwanini mnaendekeza anasa kwa kununua hivi vifurushi wakati huu uchumi umedorora na mfumuko wa bei?! Haileti picha nzuri kwa tabaka lingine ambalo ni less unfortunate struggling to make ends meet wakiwaona mnaendekeza anasa. SI muwe wavumilivu tu Hadi vita ya Ukraine iishe na hali ijirudie ilivyokuwa awali?

Jitafakarini asee!

😀😀

Watu wasiburudike kisa umasikini WA watu wengine?

Mkuu hebu kuwa Sirius hata kidogo
 
DStv hawana njaa saana kama mitandao yetu ya simu hiyo pesa IPO kwenye account yako ya DStv hata ukiwapigia simu hawana wapo fasta Sana kupokea.

hiyo hela utaunganishwa Kwa mwezi mwingine ondoa shaka
 
Kwanini mnaendekeza anasa kwa kununua hivi vifurushi wakati huu uchumi umedorora na mfumuko wa bei?! Haileti picha nzuri kwa tabaka lingine ambalo ni less unfortunate struggling to make ends meet wakiwaona mnaendekeza anasa. SI muwe wavumilivu tu Hadi vita ya Ukraine iishe na hali ijirudie ilivyokuwa awali?

Jitafakarini asee!
Duu MUNGU akusaidie Tu akubadilishe moyo huu ulio nao
 
DStv hawana njaa saana kama mitandao yetu ya simu hiyo pesa IPO kwenye account yako ya DStv hata ukiwapigia simu hawana wapo fasta Sana kupokea.
hiyo hela utaunganishwa Kwa mwezi mwingine ondoa shaka
Mkuu wanaweza pia kuirudisha maana kuna siku niliwapigia na issue nyingine walinipa option mbili.
1. Kunirudishia.
2. Kuniunga na kifurushi cha juu yake.
 
Ndugu zangu naombeni msaada, nimenunua kifurushi cha 21000 mara mbili kwa bahati mbaya mana nimetumia app ya CRDB, mara ya kwanza imeonyesha kama muamala umeshindikana ndipo nikanunua kwa mara ya pili ikakubali, nilipoangalia salio na nilipoangalia miamala ya mwisho inaonyesha nimenunua kifurushi mara mbili. Na kwenye app inaonyesha miamala ni miwili ila kwenye sms ya kawaida wamenitumia risiti ya muamala mmoja.
Naombeni kujua hapo niwasiliane na nani ili pesa yangu irudi.
Kama umelipa mara mbili, hutalipa mwezi wa pili yake. Iache hivyohovyo
 
Yan afadhali waniambie nmelipia miezi miwili nitawaelewa kuliko kutokupewa pesa kabisa. Usiku huu dstv hawafanyi kazi, CRDB wameniambia wanashughulika hvy kesho niwachek tena
Dstv wako vizuri sana, ukitaka weka ha milioni mbili kwenye account yako ya Dstv, kila kifurushi kikitaka kuisha wao ndiyo wanakupigia simu kukuuliza, wakuunganishie cha shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom