MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Wewe upo wapi? Maana yangu kuwa upatikanaji wake ni Kigoma lakini unaweza kukifunga na kukitumia ukiwa sehemu yoyote Tanzania.
Boss nisaidie kukisajili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe upo wapi? Maana yangu kuwa upatikanaji wake ni Kigoma lakini unaweza kukifunga na kukitumia ukiwa sehemu yoyote Tanzania.
Ok hapo nimeelewa sasaWewe upo wapi? Maana yangu kuwa upatikanaji wake ni Kigoma lakini unaweza kukifunga na kukitumia ukiwa sehemu yoyote Tanzania.
Sio bomba tu! Hesabu hiyo bomba (19,900/=), family (29,900/=), compact (49,000/=), UEFA unaikuta compact plus (89,000/=)!!!Bomba hata UEFA Ina tupita upande
Jamaa wapo kufidia hasara za Covd-19.Sio bomba tu! Hesabu hiyo bomba (19,900/=), family (29,900/=), compact (49,000/=), UEFA unaikuta compact plus (89,000/=)!!!
Akina sisi ambao tumefuata DStv kwa ulevi wa EPL na UEFA tuna tabu sana, hasa ukiweka na uchumi wetu wa kati DHAIFU.
Sent using Jamii Forums mobile app
hawana cable..ni dish bro kama DSTV tu...sema lazma uwe na mtu ambae atakulipia..maana kinalipiwa CongoMkuu Canal sio kwamba wanakubidi uwe kwenye eneo cable yao inapopita?
Mara ya mwisho niliwaona Ushirombo, Geita takriban miaka 4 iliyopita
lak 3 bei sanaaaa...lak na 70 unapata dish na decoder yake..piga ile no nliokutumia PMMkuu nimeulizia canal dish na king’amuzi chake hapa wanauza laki 300k complete
Hii dunia ya sasa bado unanunua midishi ya nn kuweka uchafu nyumbani. Weka list ya timu unazotaka kuangalia weekend nunua bando la voda, mechi ikianza ingia bein sport angalia live sebuleni kwako. Mechi ikiisha chomoa nyaya zako endelea na shughuli. Yanini kuhangaika na kampuni zakinyonyaji hizo. Majuzi nilikua naangali wachezaji wa Boston Celtics wapo nyumbani kwao lakini walikua wanaangalia mechi ya PSG vs Atalanta wameunga laptop kwenye flat wapo online wanaangalia, je majumbani kwao hawana vingamuzi hao. Wewe unalipaje 139000 tsh wakati nyumbani hushindi zaidi ya kuingia usiku na kuangalia mechi jmosi na jpili. Mm binafsi ni serie a na Euro league zote naangalia online bila shida.
Saasawa masterhawana cable..ni dish bro kama DSTV tu...sema lazma uwe na mtu ambae atakulipia..maana kinalipiwa Congo
Nitumie na mimi hiyo namba mkuulak 3 bei sanaaaa...lak na 70 unapata dish na decoder yake..piga ile no nliokutumia PM
Mbinafsi huyoUnavyosema ya kuweka uchafu nyumbani wewe una familia? Au unafikiri wote wanapenda mpira? Wengine wanapenda movie, tamthilia, catoon n.k
0767489899Nitumie na mimi hiyo namba mkuu