Dstv wapandisha bei ya vifurushi kuanzia Septemba 1 mwaka huu

Umezungumza ki bachelor sana , ukiwa na familia huwezi ukajifikiria peke yako, Kuna mweingine atapenda Moira ,mweingine mapishi mweingine cartoon and the likes ,
Utqnunua bando la shilingi ngapi kuwa cover wote hao?,
 
Umezungumza ki bachelor sana , ukiwa na familia huwezi ukajifikiria peke yako, Kuna mweingine atapenda Moira ,mweingine mapishi mweingine cartoon and the likes ,
Utqnunua bando la shilingi ngapi kuwa cover wote hao?,
Kweli kabisa, kuepuka gharama za dstv itabidi niweke Azam na Canal + hamna namna watoto wangu wajifunze kifaransa tu . Maana DSTV ndio kasababisha nchi hii vingamuzi viwe vingi kwakuendekeza gharama kubwa. Leo hii kifurushi cha premium Nigeria gharama ni ndogo sana tofauti na tz.
 
Naona hii issue ya dstv kupandisha bei naona ni sehem nyingi kweli Nigeria,Kenya,Ethiopia,SA naona kama ni sub sahara yote vile bei zao zimepanda
 
nyny pambaneni na Dstv yenu..mm nishahamia Dish la CANAL SPORT...kwa 42000 tu ya kibongo naangalia UEFA, EUROPA,PREMIERE LEAGUE,ITALY,FRANCE,SPAIN...tatizo wanaongea kifaransa...ila kitu ni HD FULL KMA DSTV TU..
Mkuu hii CANAL unalipataje dishi lao?.
 
nyny pambaneni na Dstv yenu..mm nishahamia Dish la CANAL SPORT...kwa 42000 tu ya kibongo naangalia UEFA, EUROPA,PREMIERE LEAGUE,ITALY,FRANCE,SPAIN...tatizo wanaongea kifaransa...ila kitu ni HD FULL KMA DSTV TU..

Canal wameongeza na ligi ya Bundesliga[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hata mm nimelipia bei ile ile sema wamedilisha namba mfano Sports bulletin ilikuwa no 200,saa hizi ni 220
Mbona nimelipia mwezi huu sijaona mabadiliko ya vifurushi Septemba hii au itakua effective next month
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…