RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Punguza bangi.Yani wale wote waliopanga kwe luxury apartments flats complex zako kawe, masaki na mikocheni hawana hela kweli ya DSTV?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza bangi.Yani wale wote waliopanga kwe luxury apartments flats complex zako kawe, masaki na mikocheni hawana hela kweli ya DSTV?
Simba hata akikonda hawezi kuwa kama paka. Azam na dstv ni kama EPL na NBC ligi ya bongo.Na bado, cha maana hakuna wamebaki na EPL tu.
Nilikuwa siikubali Azam ila nitahamia, kama ni EPL nitastream live basi.
Wana ZUKU Fiber na wengine TTCL so ni mwendo wa Streaming. TuYani wale wote waliopanga kwe luxury apartments flats complex zako kawe, masaki na mikocheni hawana hela kweli ya DSTV?
Vifurushi vya DStv zilipanda Kwa Africa nzima sio Tanzania Tu hii imetokana na kupanda Kwa Dola hata hivyo wao wenyewe DStv wapo mbioni kubadilisha Makato ...Tz lilikuwa shamba la bibj
Du! ujinga huu waliofanya DSTV ni zaidi ya ule ujinga wa Magufuli kuwakamia wafanyabiashara hadi wakafunga biashara na kupelekea uchumi kudorora. Na baada ya uchumi kudorora akaamua kukimbilia kukopa matrioni ya pesa hivyo kuiingiza nchi kwenye mzigo mkubwa wa madeni unaotuumiza vichwa hadi sasa. Mungu anamuona.Kampuni ya Multichoice inayomiliki visimbuzi maarufu vya DSTV imelamba hasara ya Tshs bilioni 122 kwa miezi sita iliyoishia Septemba mwaka jana sababu kuu ikiwa kupungua kwa wateja wake huku Afrika kusini pekee ikipoteza wateja zaidi ya laki nne.
Multichoice imedai kutekeleza malengo yake yote iliyoyapanga lakini mazingira inayofanyia kazi yametawaliwa na kukatika katika kwa umeme, presha kwenye gharama za kuishi na kushuka kwa thamani ya pesa katika nchi walizopo dhidi ya dola.
Mwaka huu channel maarufu ya michezo ya supersport itashindwa kuonesha michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza January 13 nchini Ivory Coast. Mwezi uliopita shirikisho la mpira wa miguu Afrika liliingia mkataba wa haki za matangazo kwa miaka miwili na kampuni kutoka nchini Togo ya New World TV iliyoanzishwa mwaka 2015.
Ni mwanzo wa mwisho wa utawala wa DSTV kusini mwa Afrika? Bado DSTV ni moja ya nguli wa kurusha matangazo barani Afrika huku kampuni zake mbili za DSTV na GoTV zikiwa na visimbusi milioni 23 vilivyo hai kwenye nchi 50 barani Afrika.
Azam quality ya picha itatuhamisha DStv naona kuna low quality picture,DStv Wana HD,pia azamu Wana mavipindi ya hovyo nje ya mpira,DStv Wana documentary za utafiti baharini,upishi 175 na 174 hii na zile animal channels na TNT movie na multchoice movie zote na African magic zote,Azam wakaze boot,quality is a number one factor.Na bado, cha maana hakuna wamebaki na EPL tu.
Nilikuwa siikubali Azam ila nitahamia, kama ni EPL nitastream live basi.
Ngumu Sana aiseeeHata Azam litawakuta jambo sio muda
Hamia uwaone waturukiNa bado, cha maana hakuna wamebaki na EPL tu.
Nilikuwa siikubali Azam ila nitahamia, kama ni EPL nitastream live basi.
Mzee acha uongo hiyo option unaipata wap maana wote tuna DStv au Yako ni special kuhusu Azam tunaopenda mpira wa bongo tunalipia na kufaid burudanUkiwa na Dstv ni ngumu Sana kuhamia Azam, DStv Wana option ya kulipia kidogokidogo Hadi siku ya mwisho wa kifurushi chako kuisha ndani ya mwezi.
Kwangu Mimi nitaendelea kutumia Tu DStv mwanzo mwisho
Azam Wana vipind vizuri na documentary zipo Mzee lipia Cha 35000 unapata kuhusu Quality ya picha labda tv Yako tu mbona tunapata kitu BoraAzam quality ya picha itatuhamisha DStv naona kuna low quality picture,DStv Wana HD,pia azamu Wana mavipindi ya hovyo nje ya mpira,DStv Wana documentary za utafiti baharini,upishi 175 na 174 hii na zile animal channels na TNT movie na multchoice movie zote na African magic zote,Azam wakaze boot,quality is a number one factor.
Wapigie Kwanza customer care wa DStv waulize kuhusu hiyo option, sometimes kama hujui kitu uliza Kwanza kuliko kuleta ubishi usio na faidaMzee acha uongo hiyo option unaipata wap maana wote tuna DStv au Yako ni special kuhusu Azam tunaopenda mpira wa bongo tunalipia na kufaid burudan
Ile HD ya DStv inaitwa HD proper hii ni zaidi ya HD za kawaida kama AzamAzam quality ya picha itatuhamisha DStv naona kuna low quality picture,DStv Wana HD,pia azamu Wana mavipindi ya hovyo nje ya mpira,DStv Wana documentary za utafiti baharini,upishi 175 na 174 hii na zile animal channels na TNT movie na multchoice movie zote na African magic zote,Azam wakaze boot,quality is a number one factor.
Channel zote hizo zipo azam tv, na ishu ya quality ni kwa channel zinazomilikiwa na azam tv tuu na inategemea na aina ya tukio husika mfano ufunguzi wa AFL ilikuwa ni HD. Hizo channel zingine ambazo unaona sio HD bc sio kosa la azam bali ni kutoka kwenye channel husikaAzam quality ya picha itatuhamisha DStv naona kuna low quality picture,DStv Wana HD,pia azamu Wana mavipindi ya hovyo nje ya mpira,DStv Wana documentary za utafiti baharini,upishi 175 na 174 hii na zile animal channels na TNT movie na multchoice movie zote na African magic zote,Azam wakaze boot,quality is a number one factor.