Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Wafanye Compact 40,000/- waone wateja watavyoongezeka.
Mimi nilikuwa nalipia Shangwe 34000/- walivyopandisha 37000/- huku hawaonyeshi CAF SUPER LEAGUE WALA CAF CHAMPIONS LEAGUE, nikawana matapeli tu. Sasa nalipa 24000/- ili wife aangalie HUBA nami LA LIGA tu.
Kwanza Arsenal inavyofungwa hata hamu ya EPL sina
Arsenoooooo...we are the gunnerssssssWafanye Compact 40,000/- waone wateja watavyoongezeka.
Mimi nilikuwa nalipia Shangwe 34000/- walivyopandisha 37000/- huku hawaonyeshi CAF SUPER LEAGUE WALA CAF CHAMPIONS LEAGUE, nikawana matapeli tu. Sasa nalipa 24000/- ili wife aangalie HUBA nami LA LIGA tu.
Kwanza Arsenal inavyofungwa hata hamu ya EPL sina
Last week wamenipigia simu wanauliza vipi mbona hutazami runinga? Nikawauliza umejuaje? Wakasema vipimo huku vinaonesha, nikasema kwani lazima nitazame runinga yako hamna zingine? Wakasema basi kama una changamoto tuambie tuzitatue, nikasema huku ninakopata huduma ni mtelezo hamna shida, wakasema kwanini hutazami DSTV? Nikawaambia mmetunyonya vya kutosha nikakata simuKampuni ya Multichoice inayomiliki visimbuzi maarufu vya DSTV imelamba hasara ya Tshs bilioni 122 kwa miezi sita iliyoishia Septemba mwaka jana sababu kuu ikiwa kupungua kwa wateja wake huku Afrika kusini pekee ikipoteza wateja zaidi ya laki nne.
Multichoice imedai kutekeleza malengo yake yote iliyoyapanga lakini mazingira inayofanyia kazi yametawaliwa na kukatika katika kwa umeme, presha kwenye gharama za kuishi na kushuka kwa thamani ya pesa katika nchi walizopo dhidi ya dola.
Mwaka huu channel maarufu ya michezo ya supersport itashindwa kuonesha michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza January 13 nchini Ivory Coast. Mwezi uliopita shirikisho la mpira wa miguu Afrika liliingia mkataba wa haki za matangazo kwa miaka miwili na kampuni kutoka nchini Togo ya New World TV iliyoanzishwa mwaka 2015.
Ni mwanzo wa mwisho wa utawala wa DSTV kusini mwa Afrika? Bado DSTV ni moja ya nguli wa kurusha matangazo barani Afrika huku kampuni zake mbili za DSTV na GoTV zikiwa na visimbusi milioni 23 vilivyo hai kwenye nchi 50 barani Afrika.
Sasa bure lifetime utalipia nini tenaHawa jamaa hawana ata customer loyalty....mtu nimekuwa mteja wao kwa miaka zaidi ya 15 bila disconnection ata kusema kuwa huyu jamaa tumpe premium for lifetime hamna. Waangalie namna gani wanaweza kuendelea kutushawiahi kulipia dstv.
KabisaWatu hawana hela hivyo wanapunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Arsenal anashinda leoArsenoooooo...we are the gunnerssssss
Na leo jogooo anawakojolea
Utahama tu au utaachana nayoTafuteni pesa mazee acheni kulalama, huwezi kujiliwaza eti kuhama DSTV kwenda Azam, pamoja na changamoto zote zinazosemwa DSTV ni next level. Pesa yako
Hilo ndilo lilinifanya kuachana naoHawa jamaa hawana ata customer loyalty....mtu nimekuwa mteja wao kwa miaka zaidi ya 15 bila disconnection ata kusema kuwa huyu jamaa tumpe premium for lifetime hamna. Waangalie namna gani wanaweza kuendelea kutushawiahi kulipia dstv.
Hilo la kupunguza vifurushi haliwezekani mkuu kumbuka leseni ya kuonyesha EPL wanalipia zaidi ya USD Mil 900$ kwa mwaka sasa unadhani hizo hela za kulipa watatoa wapi?...Wafanye Compact 40,000/- waone wateja watavyoongezeka.
Mimi nilikuwa nalipia Shangwe 34000/- walivyopandisha 37000/- huku hawaonyeshi CAF SUPER LEAGUE WALA CAF CHAMPIONS LEAGUE, nikawana matapeli tu. Sasa nalipa 24000/- ili wife aangalie HUBA nami LA LIGA tu.
Kwanza Arsenal inavyofungwa hata hamu ya EPL sina
Kitendo cha kifurushi cha compact kupanda toka 55k hadi 60k huku kukiwa hakuna huduma zilizoongezwa kilitukimbiza wengi.
Mkuu kama hujui jambo Omba uelekezwe, Usiwe mwepesi kumuita mtu muongo...Mzee acha uongo hiyo option unaipata wap maana wote tuna DStv au Yako ni special kuhusu Azam tunaopenda mpira wa bongo tunalipia na kufaid burudan
Unatumia nini kiongozi?Hilo ndilo lilinifanya kuachana nao
Ova
68000 kwa mwezi hata billionea hana hela za ujinga huo laki na elfu kumi nanne,laki nanusu hii ni mbayaTz lilikuwa shamba la bibj
Huyo Magu alikopa kiasi gani kwa muda gani? Baada ya kunijibu hilo uniambie pia Mama yako kakopa kiasi gani kwa muda gani?Du! ujinga huu waliofanya DSTV ni zaidi ya ule ujinga wa Magufuli kuwakamia wafanyabiashara hadi wakafunga biashara na kupelekea uchumi kudorora. Na baada ya uchumi kudorora akaamua kukimbilia kukopa matrioni ya pesa hivyo kuiingiza nchi kwenye mzigo mkubwa wa madeni unaotuumiza vichwa hadi sasa. Mungu anamuona.
Situmi kingamuzi chochote mkuuUnatumia nini kiongozi?