DSTV yalamba hasara ya bilioni 122, gharama za vifurushi zawakimbizia wateja 486,000

DSTV yalamba hasara ya bilioni 122, gharama za vifurushi zawakimbizia wateja 486,000

Hawa jamaa hawana ata customer loyalty....mtu nimekuwa mteja wao kwa miaka zaidi ya 15 bila disconnection ata kusema kuwa huyu jamaa tumpe premium for lifetime hamna. Waangalie namna gani wanaweza kuendelea kutushawiahi kulipia dstv.
 
Wafanye Compact 40,000/- waone wateja watavyoongezeka.
Mimi nilikuwa nalipia Shangwe 34000/- walivyopandisha 37000/- huku hawaonyeshi CAF SUPER LEAGUE WALA CAF CHAMPIONS LEAGUE, nikawana matapeli tu. Sasa nalipa 24000/- ili wife aangalie HUBA nami LA LIGA tu.
Kwanza Arsenal inavyofungwa hata hamu ya EPL sina
😀😀😀
 
Wafanye Compact 40,000/- waone wateja watavyoongezeka.
Mimi nilikuwa nalipia Shangwe 34000/- walivyopandisha 37000/- huku hawaonyeshi CAF SUPER LEAGUE WALA CAF CHAMPIONS LEAGUE, nikawana matapeli tu. Sasa nalipa 24000/- ili wife aangalie HUBA nami LA LIGA tu.
Kwanza Arsenal inavyofungwa hata hamu ya EPL sina
Arsenoooooo...we are the gunnerssssss
Na leo jogooo anawakojolea
 
Kampuni ya Multichoice inayomiliki visimbuzi maarufu vya DSTV imelamba hasara ya Tshs bilioni 122 kwa miezi sita iliyoishia Septemba mwaka jana sababu kuu ikiwa kupungua kwa wateja wake huku Afrika kusini pekee ikipoteza wateja zaidi ya laki nne.

Multichoice imedai kutekeleza malengo yake yote iliyoyapanga lakini mazingira inayofanyia kazi yametawaliwa na kukatika katika kwa umeme, presha kwenye gharama za kuishi na kushuka kwa thamani ya pesa katika nchi walizopo dhidi ya dola.

Mwaka huu channel maarufu ya michezo ya supersport itashindwa kuonesha michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza January 13 nchini Ivory Coast. Mwezi uliopita shirikisho la mpira wa miguu Afrika liliingia mkataba wa haki za matangazo kwa miaka miwili na kampuni kutoka nchini Togo ya New World TV iliyoanzishwa mwaka 2015.

Ni mwanzo wa mwisho wa utawala wa DSTV kusini mwa Afrika? Bado DSTV ni moja ya nguli wa kurusha matangazo barani Afrika huku kampuni zake mbili za DSTV na GoTV zikiwa na visimbusi milioni 23 vilivyo hai kwenye nchi 50 barani Afrika.
Last week wamenipigia simu wanauliza vipi mbona hutazami runinga? Nikawauliza umejuaje? Wakasema vipimo huku vinaonesha, nikasema kwani lazima nitazame runinga yako hamna zingine? Wakasema basi kama una changamoto tuambie tuzitatue, nikasema huku ninakopata huduma ni mtelezo hamna shida, wakasema kwanini hutazami DSTV? Nikawaambia mmetunyonya vya kutosha nikakata simu
 
Maskini bhana yaan kupanda elf 5 unahama kampuni? unauwezo wa kulipa 55 ila 60 huwezi kulipa et imepanda 5k unaona umeibiwa saana?

Hizi mentality ndio maana kuna watu wanalalamikia mwendokasi..

Hili hili jitu utalikuta Bar linaagiza pombe na kutoa ofa kwa ma barmaid.
 
Hawa jamaa hawana ata customer loyalty....mtu nimekuwa mteja wao kwa miaka zaidi ya 15 bila disconnection ata kusema kuwa huyu jamaa tumpe premium for lifetime hamna. Waangalie namna gani wanaweza kuendelea kutushawiahi kulipia dstv.
Hilo ndilo lilinifanya kuachana nao

Ova
 
Wafanye Compact 40,000/- waone wateja watavyoongezeka.
Mimi nilikuwa nalipia Shangwe 34000/- walivyopandisha 37000/- huku hawaonyeshi CAF SUPER LEAGUE WALA CAF CHAMPIONS LEAGUE, nikawana matapeli tu. Sasa nalipa 24000/- ili wife aangalie HUBA nami LA LIGA tu.
Kwanza Arsenal inavyofungwa hata hamu ya EPL sina
Hilo la kupunguza vifurushi haliwezekani mkuu kumbuka leseni ya kuonyesha EPL wanalipia zaidi ya USD Mil 900$ kwa mwaka sasa unadhani hizo hela za kulipa watatoa wapi?...

Tena unaambiwa Premier League Production wameipunguzia sana DSTV gharama za Kurusha ligi yao wangeweka bei sawa na vituo vingine huko Duniani Kama Sky Sports, Bein Sports Canal Sports nk labda ni asilimia 1% tu ya waafrika wangemudu kulipia DSTV
 
Du! ujinga huu waliofanya DSTV ni zaidi ya ule ujinga wa Magufuli kuwakamia wafanyabiashara hadi wakafunga biashara na kupelekea uchumi kudorora. Na baada ya uchumi kudorora akaamua kukimbilia kukopa matrioni ya pesa hivyo kuiingiza nchi kwenye mzigo mkubwa wa madeni unaotuumiza vichwa hadi sasa. Mungu anamuona.
Huyo Magu alikopa kiasi gani kwa muda gani? Baada ya kunijibu hilo uniambie pia Mama yako kakopa kiasi gani kwa muda gani?
Una chuki za kichawi na kimasikini.
 
Back
Top Bottom