Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nililipia mwezi wa tano mwaka jana walipopandisha tu mpaka leo king'amuzi hata sijui kama kipo maana sijalipia tena. Mimi nanunua tu bundle basi maana kulipia king'amuzi ni hasara tupu.Kitendo cha kifurushi cha compact kupanda toka 55k hadi 60k huku kukiwa hakuna huduma zilizoongezwa kilitukimbiza wengi.
Yataje hayo matrilioni aliyokopa Magufuli bila kusahau na sehemu alizokopa .Wewe kiazi kweli. Kwa hiyo hata kama hayupo kwani alipokufa alikufa na madeni yake?
Naomba kuielewa hii mkuu.Jibu ni moja tu.
- Ujio wa Smart TVs
- Watu kuwa na uelewa kuhusu FTA na IPTV. (Huko nibure kuanzia mpira mechizote hadi muvi, bure daima hadi kifo).
Ukiwa na zuku fiber epl unatazama.vipi?Wana ZUKU Fiber na wengine TTCL so ni mwendo wa Streaming. Tu
MultiChoice(DSTV) Malawi mwaka jana ilipoona inafilisika iliamua kufunga biashara lakini mamlaka ya mawasiliano ya Malawi ikawakubalia kwa sharti wanunue vifaa vyao vyote toka kwa wananchi ambao wanavyo kwa sababu havitakuwa na matumizi kwao, wakashindwa na kuendelea na biashara. Hapa Tanzania ingekuwa poa tu, watanzania wasikivu tu.Kampuni ya Multichoice inayomiliki visimbuzi maarufu vya DSTV imelamba hasara ya Tshs bilioni 122 kwa miezi sita iliyoishia Septemba mwaka jana sababu kuu ikiwa kupungua kwa wateja wake huku Afrika kusini pekee ikipoteza wateja zaidi ya laki nne.
Multichoice imedai kutekeleza malengo yake yote iliyoyapanga lakini mazingira inayofanyia kazi yametawaliwa na kukatika katika kwa umeme, presha kwenye gharama za kuishi na kushuka kwa thamani ya pesa katika nchi walizopo dhidi ya dola.
Mwaka huu channel maarufu ya michezo ya supersport itashindwa kuonesha michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza January 13 nchini Ivory Coast. Mwezi uliopita shirikisho la mpira wa miguu Afrika liliingia mkataba wa haki za matangazo kwa miaka miwili na kampuni kutoka nchini Togo ya New World TV iliyoanzishwa mwaka 2015.
Ni mwanzo wa mwisho wa utawala wa DSTV kusini mwa Afrika? Bado DSTV ni moja ya nguli wa kurusha matangazo barani Afrika huku kampuni zake mbili za DSTV na GoTV zikiwa na visimbusi milioni 23 vilivyo hai kwenye nchi 50 barani Afrika.
Na Azam wanapandisha na kunyofoa baadhi ya chaneli, poa tu watanzania wastahimilivu.Wanapandisha hlf hakuna cha maana wanachoonesha
DSTV kwa ujio wa Streaming wanapoteza wateja kila kukicha Afrika kote.2024 Netflix na Amazon Prime wanaanza Services zao South Africa ambako ndo base kubwa ya DSTV kwa Afrika nzima.DSTV Wana miaka 3 mbele kabla Awajafungasha vilago na kutoka kwenye ulimwengu wa Pay TV.Either na yeye aanzishe Streaming Services na aje na Bei nzuri vinginevyo atoboi
DSTV tayari wana streaming service kitambo sana zaidi ya miaka Nane sasa labda hujui tu..DSTV kwa ujio wa Streaming wanapoteza wateja kila kukicha Afrika kote.2024 Netflix na Amazon Prime wanaanza Services zao South Africa ambako ndo base kubwa ya DSTV kwa Afrika nzima.DSTV Wana miaka 3 mbele kabla Awajafungasha vilago na kutoka kwenye ulimwengu wa Pay TV.Either na yeye aanzishe Streaming Services na aje na Bei nzuri vinginevyo atoboi
Mungu ibariki DSTVKampuni ya Multichoice inayomiliki visimbuzi maarufu vya DSTV imelamba hasara ya Tshs bilioni 122 kwa miezi sita iliyoishia Septemba mwaka jana sababu kuu ikiwa kupungua kwa wateja wake huku Afrika kusini pekee ikipoteza wateja zaidi ya laki nne.
Multichoice imedai kutekeleza malengo yake yote iliyoyapanga lakini mazingira inayofanyia kazi yametawaliwa na kukatika katika kwa umeme, presha kwenye gharama za kuishi na kushuka kwa thamani ya pesa katika nchi walizopo dhidi ya dola.
Mwaka huu channel maarufu ya michezo ya supersport itashindwa kuonesha michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza January 13 nchini Ivory Coast. Mwezi uliopita shirikisho la mpira wa miguu Afrika liliingia mkataba wa haki za matangazo kwa miaka miwili na kampuni kutoka nchini Togo ya New World TV iliyoanzishwa mwaka 2015.
Ni mwanzo wa mwisho wa utawala wa DSTV kusini mwa Afrika? Bado DSTV ni moja ya nguli wa kurusha matangazo barani Afrika huku kampuni zake mbili za DSTV na GoTV zikiwa na visimbusi milioni 23 vilivyo hai kwenye nchi 50 barani Afrika.
Netflix ni nzuri zaid ya DSTVDSTV kwa ujio wa Streaming wanapoteza wateja kila kukicha Afrika kote.2024 Netflix na Amazon Prime wanaanza Services zao South Africa ambako ndo base kubwa ya DSTV kwa Afrika nzima.DSTV Wana miaka 3 mbele kabla Awajafungasha vilago na kutoka kwenye ulimwengu wa Pay TV.Either na yeye aanzishe Streaming Services na aje na Bei nzuri vinginevyo atoboi
Naomba kuielewa hii mkuu.
FTA na IPTV ndio kitu gani hiki?
🙏🙏🙏FTA = Free To Air ( Hapo ukiwa na king'amuzi kinachoruhusu kupokea signals bila kulipia mfano " GTMEDIA RECEIVER S2+T2" pamoja na kuwa na dish kubwa kuanzia ft 6 Cband utapata channels za bure kulingana na uelekeo wa satellite uliyotegeshea dish lako na zipo nyingi sana.)
IPTV = Internet Protocol Television ( Hapo ukiwa na uhakika wa internet iwe bure au kulipia bando bei rahisi tena ukipata fiber kama zuku na ttcl basi hapo mchawi anabaki kuwa Smart tv tu kuna apps za kustream channels za kimataifa tena zile kubwa kubwa kama zote bure.)
Mhh F1 iko premium! Mwanzo wa season wanaachia kidogo then wanarudisha premium. Kama wengi walivyosema inabidi washushe bei vinginevyo kila mwaka watapoteza wateja. Maisha yamekuw magumu.DStv
Ni nyumbani kwa F1 na MotoGP....
January hii tupo na Dakar rally
Mimi toka mwezi 8/2022 sijaweka chochote. Natumia Azam TV tu.Nililipia mwezi wa tano mwaka jana walipopandisha tu mpaka leo king'amuzi hata sijui kama kipo maana sijalipia tena. Mimi nanunua tu bundle basi maana kulipia king'amuzi ni hasara tupu.