RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Duh Arse kapigwa 2-0;Arsenoooooo...we are the gunnerssssss
Na leo jogooo anawakojolea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh Arse kapigwa 2-0;Arsenoooooo...we are the gunnerssssss
Na leo jogooo anawakojolea
Unastream web ipi mkuu hasa boxing au apps zipi?Unapata mechi zote? Mimi hapo na angalia karibia michezo yote(football, NBA,Boxing nk), ligi zote,movie, series plus kusave hela ya bando.
Duh hatari kwa hiyo mechi tatu in a row kagegedwa 😂😂😂😂Duh Arse kapigwa 2-0;
Tatizo la compact ni UEFA. wako selectiveNapata mechi zote ninazopenda. Siangalii kila mechi hata ingekuwa bure.
Kwa 60000 sizani kama unangalia mechi zote za EPL.Napata mechi zote ninazopenda. Siangalii kila mechi hata ingekuwa bure.
Zipo nyingi ila mechi Total Sportek,apps kuna Live Sport Plus HD. Nyingine huwa nazipatia humo humo.Unastream web ipi mkuu hasa boxing au apps zipi?
Compact unaona game yoyote ya EPL uitakayo ila ECL ndio kuna baadhi ya mechi huwezi kuona.Kwa 60000 sizani kama unangalia mechi zote za EPL.
Ila sijui kwako labda nafuu ila kwangu maona nafuu ,bando lina ni cost karibia 80-100k so kwa hiki kirouter kina ni saidia kusave.Halafu uzuri wake nakuwa na choice ya vitu vingi mda wowote na angalia nikitakacho. Vilevile nina safiri nacho mdo wowote na sehemu yyt napata burudani.
Na bado, cha maana hakuna wamebaki na EPL tu.
Nilikuwa siikubali Azam ila nitahamia, kama ni EPL nitastream live basi.
Kwenye ECL unapata second class games,games za maana mpaka compact plus.Tatizo la compact ni UEFA. wako selective
Ungeuliza kwanza sio kusema huwezi, hakuna mechi ambayo sijawahi kuipata nikitaka kustream live, hata zote zikiwa muda mmoja ni mimi tu kuchagua ya kuangalia.Epl huwezi ku stream live mechi zote.
Wanatoa mechi chache bure.
Mimi zaidi ya mwaka silipii kingamuzi chochote.
Nimefunga unlimited internert na Nimenunua smart Tv box . Youtube na Netflix ndio imekuwa tunatazama huko.
Youtube ina kila kitu
Ni kweli wameanzisha hii huduma na mm niliiona walinitumia sms kwenye kifurushi (sio kwenye simu)Mzee acha uongo hiyo option unaipata wap maana wote tuna DStv au Yako ni special kuhusu Azam tunaopenda mpira wa bongo tunalipia na kufaid burudan
Porojo hizi!DSTV inatakiwa ajipange hasa ukanda huu wa jangwa la Sahara,Mchina (Star Media) inakuja kwa kasi sana, sasa hivi mashindano yote yanayomilikiwa na Caf ameyashika sana,na Star times akisema anaonyesha mashindano yoyote huwa haachi hata mechi moja
Star times inakuja kwa kasi sana halafu garama zake ni mserereko
We fikikilia unatazama mechi zote za Afcon, Caf champions league na caf Confederation cup kwa TSH 23000 ambayo hakuna kampuni yoyote inayotoza kwa bei hiyo
Shida haya makwasukwasu hata channel zao vitu vinajirudia sana
Channel kama CBS reality, E!, realtime vitu vinajirudia mno unajikuta channel zipo nyingi lakini ukitoa mpira hamna jipya
Intaneti inafanya hata vyombo vya habari kama magazeti na radio viwe na hali mbaya sana.Katika sababu walizoziweka wamesahau sababu moja ambayo ni ukuaji wa matumizi ya internet...
Ukishakuwa na internet ya kasi na yenye gharama nafuu, DSTV inakuwa kama option B...
Aisee bein sport bonge la chaneli 🔥Mnahangaika na na DStv...mie Nipo Bein Sport * Osn * Mzayuni Yes pac*kage! Miasha full uhd 4k sio hivyo outdated hd za Azam na Dstv
Ukishakuwa huko unawaona wanaoisifia DStv au Azam tv ni kama wako nyuma sana.Aisee bein sport bonge la chaneli 🔥
Nilikutana na hii kitu kwenye cable kanda ya ziwaUkishakuwa huko unawaona wanaoisifia DStv au Azam tv ni kama wako nyuma sana.
Kanda ya ziwa na Wazee wa connection wanajua wanazipata vipi. Ipo Tv ya Yes - Waisrael , ni zaidi ya Bein Sport kwa ubora wa picha. Wao ni 4k ukiwa na tv za LG au Samsung (Sio zile za kichina) una enjoy mpaka basi.Nilikutana na hii kitu kwenye cable kanda ya ziwa