joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ukipata kirouter chako cha Voda mechi zote unastream, mabando unaachana nayo. Hawa jamaa wajiadae na siku hizi voda/airtel/tigo hivi virouter vyao wanavipigia promo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko fta na iptv ambako mechi bure jamaniJibu ni moja tu.
- Ujio wa Smart TVs
- Watu kuwa na uelewa kuhusu FTA na IPTV. (Huko nibure kuanzia mpira mechizote hadi muvi, bure daima hadi kifo).
Kwa laki moja unaweza paga gb ngapi kwa hizo router za vodacomUkipata kirouter chako cha Voda mechi zote unastream, mabando unaachana nayo. Hawa jamaa wajiadae na siku hizi voda/airtel/tigo hivi virouter vyao wanavipigia promo.
Kwa voda ukikipata unalipia 120k unlimited mwezi mzima na speed ya kutosha. Kwangu itakuwa nzuri kwani mzigoni net ipo free na nyumbani nikiwa nayo nitakuwa nimesave gharama nyingi. Hizi gharama za mabando nitaziepuka, mechi za ligi zote,movie unastream tu online.Vilevile unaweza safiri nacho.Kwa laki moja unaweza paga gb ngapi kwa hizo router za vodacom
Hii mukide kabksaa kitu unlimited ndio mpango mzima....aise wanauzaje hizo routerKwa voda ukikipata unalipia 120k unlimited mwezi mzima na speed ya kutosha. Kwangu itakuwa nzuri kwani mzigoni net ipo free na nyumbani nikiwa nayo nitakuwa nimesave gharama nyingi. Hizi gharama za mabando nitaziepuka, mechi za ligi zote,movie unastream tu online.Vilevile unaweza safiri nacho.
Kwa Voda mpaka na kipata ilinitoka 280k,ila unaweza kwenda ofisi zao watakusaidia ila kinasave sana gharama.Juzi nimestream mechi ya Antony Joshua vs Otto,Deontay vs Parker yaani kitonga.Imepunguza sana gharama za mabando,sasa hivi nanunua voice na sms basi, ila mwanzoni kwa mwezi karibia 100k inakatika kwa bando, bado hapo hujalipia king'amuzi.Hii mukide kabksaa kitu unlimited ndio mpango mzima....aise wanauzaje hizo router
Majority ni makapuku minority ndiyo wapo huko masaki oysterbayYani wale wote waliopanga kwe luxury apartments flats complex zako kawe, masaki na mikocheni hawana hela kweli ya DSTV?
Kwenye hao watu na mi nimoWatu hawana hela hivyo wanapunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Kwa mwezi bei gani?Ukipata kirouter chako cha Voda mechi zote unastream, mabando unaachana nayo. Hawa jamaa wajiadae na siku hizi voda/airtel/tigo hivi virouter vyao wanavipigia promo.
Wale wanaweka DSTV kifurushi cha Gold kabisa cha bei juu kuliko vyote 😂 na wamelipia mwaka mzima.Yani wale wote waliopanga kwe luxury apartments flats complex zako kawe, masaki na mikocheni hawana hela kweli ya DSTV?
Voda mi nilisajili Router ya 5G ni unyama sana speed ya 50Mbps. Kwa kuanza unalipa deposit ya 300,000 kisha unafunguliwa data mwezi mzima. Upon renewal unalipia laki na nusu kila mwezi kwa muendelezo. Ila nzuri sana hata kwa wale wenye ma smart TVs zinaweza kuwa na uhai kupitia hizo routers.Kwa mwezi bei gani?
Nilitaka nisikie hio bei yenye unafuu kuliko DSTV, mimi natumia ya kawaida tu 85,000 kwa mwezi. Natumia kwa kazi ofisini nq nyumbani kwenye Netflix etcVoda mi nilisajili Router ya 5G ni unyama sana speed ya 50Mbps. Kwa kuanza unalipa deposit ya 300,000 kisha unafunguliwa data mwezi mzima. Upon renewal unalipia laki na nusu kila mwezi kwa muendelezo. Ila nzuri sana hata kwa wale wenye ma smart TVs zinaweza kuwa na uhai kupitia hizo routers.
Hebu jiheshimu mkuu. Sasa hivi naangalia Arsenal vs Liverpool ikiisha naangalia NBA Spurs vs Cavaliers ikiisha namaliza na game ya Barcelona. Hivi ndio vitu vinatusaidia wengine tutulie nyumbani.Dstv ni ya kina mama na watoto ni moja wapo ya vitu ambavyo havina faida kwenye mwili wa binadamu timamu.
120k.Kwa mwezi bei gani?
120k.
Sasa si afadhali ulipe compact tu 60,000120k.
Unapata mechi zote? Mimi hapo na angalia karibia michezo yote(football, NBA,Boxing nk), ligi zote,movie, series plus kusave hela ya bando.Sasa si afadhali ulipe compact tu 60,000
Napata mechi zote ninazopenda. Siangalii kila mechi hata ingekuwa bure.Unapata mechi zote? Mimi hapo na angalia karibia michezo yote(football, NBA,Boxing nk), ligi zote,movie, series plus kusave hela ya bando.
Wajanja hao wameshatupigaHizo story huja watu wanapokuwa wameshatengeneza njia za kukwepa kodi