Kabisa, TV tunaweka free apk zipo nyingi mno, halafu nastream na 4 gKatika sababu walizoziweka wamesahau sababu moja ambayo ni ukuaji wa matumizi ya internet...
Ukishakuwa na internet ya kasi na yenye gharama nafuu, DSTV inakuwa kama option B...
Kabisa ndugu, wewe ni FTA mwenzangu, nikiona mtu ananunua DStv huku uwezo hana namshangaa, ndio wengi Dstv ni pambo la nyumbaJibu ni moja tu.
- Ujio wa Smart TVs
- Watu kuwa na uelewa kuhusu FTA na IPTV. (Huko nibure kuanzia mpira mechizote hadi muvi, bure daima hadi kifo).
Nifuate kwa FB, search afrika weusi na giza, nitakuelekeza free kabisaNaomba kuielewa hii mkuu.
FTA na IPTV ndio kitu gani hiki?
Mungu awabariki FTA,server,iptv na mchinaMungu ibariki DSTV
Nifuate inboxKwa laki moja unaweza paga gb ngapi kwa hizo router za vodacom
Tupe maujanja jamaniMungu awabariki FTA,server,iptv na mchina
Tupeni elimu basiK
Kabisa ndugu,wewe ni FTA mwenzangu,nikiona mtu nanunua Dstv huku uwezo hana namshangaa,ndio wengi Dstv ni pambo la nyumba
Hawajui pia utamu nje ya dstvUkishakuwa huko unawaona wanaoisifia DStv au Azam tv ni kama wako nyuma sana.
Nifuate inbox free kabisaTupeni elimu basi
Nilishakumia meseji hukoNifuate inbox free kabisa
Weka mambo hapa, inbox kuna nini huko?Nifuate inbox free kabisa
Basi mwenyewe unajiona mtaalam eeehKweli kabisa,ila kuna kitu kimoja hujakijua
Ndio kinamaliza Dstv
Na ukikojua Dstv utaitupa
Nifuate inbox free kabisaTupeni elimu basi
ya kawaida kwako ,wengi tupo canal na bein,na tunaona ligi nyingi kuzidi DstvMbona bei ya vifurushi DSTV ni ya kawaida tu? Anyway.... Watu wanalalamika tu bure. Hivi inawezekanaje mtu nina DSTV EXPLORE nishindwe lipia kifurushi cha 100, 000 plus?
Sifahamu hili MkuuUkiwa na Dstv ni ngumu Sana kuhamia Azam, DStv Wana option ya kulipia kidogokidogo Hadi siku ya mwisho wa kifurushi chako kuisha ndani ya mwezi.
Kwangu Mimi nitaendelea kutumia Tu DStv mwanzo mwisho
eeeee tena naelimisha watu free, nina miaka 8 sijawahi tumia Dstv na nikitakacho napataBasi mwenyewe unajiona mtaalam eeeh
Hayo mambo tunayajua toka zamani, hakuna jipya chini ya juaEee
eeeee tena naelimisha watu free,nina miaka 8 sijawahi tumia Dstv na nikitakacho napata
Humu wapo pia chawa, unakuta mtu anapewa buku la fegi ili akuharibie, si ndio hao huzunguka kukagua cable mjini.Weka mambo hapa, inbox kuna nini huko?
Buku tano ni nyingi sana anyway hata azam kapandisha vifurushi nahisi wao wameongeeza elfu mbili au tatu mimi nilishaachaga kulipia kabisaMaskini bhana yaan kupanda elf 5 unahama kampuni? unauwezo wa kulipa 55 ila 60 huwezi kulipa et imepanda 5k unaona umeibiwa saana?
Hizi mentality ndio maana kuna watu wanalalamikia mwendokasi..
Hili hili jitu utalikuta Bar linaagiza pombe na kutoa ofa kwa ma barmaid.
Mkuu umeipataje BeinSport na Yes Pac?Mnahangaika na na DStv...mie Nipo na Mfaransa Bein Sport * Mmisri Osn* Mzayuni Yes pac*kage! Miasha full uhd 4k sio hivyo outdated hd za Azam na Dstv