Sasa wewe habari za Urusi utapata wapi.Hata wakiondoa, bado haitaleta unafuu wowote ule kwa watu wa Ukraine. Maana Mrusi bado anaendelea tu kuwashambulia kila upande.
Arudishe kwani hio ni kampuni yake? wanaoitaka RT wanaipataMrusi kama kweli mbabe kiteknolojia azirudishe hewani jinga kubwa arudishe hata Free To Air yaani FTA kama anajitia babe
Wanaume wanemfungia hana ubavu wa kurudisha hewani
Umekoment kama mwanamke WA kimakomde anayengojea kuposwaMrusi kama kweli mbabe kiteknolojia azirudishe hewani jinga kubwa arudishe hata Free To Air yaani FTA kama anajitia babe
Wanaume wanemfungia hana ubavu wa kurudisha hewani
Nani anaitaka ulishawahi ONA mtu mwenye haja na kiti cha kirusi kwa aia iwe gari mdogo kubwa au basi au komputa ,bodaboda,au baiskeli toka urusi? Ndio yawe hayo matv yake?
AL Jazeera sio chombo huru.. Wao nao ni Western bull horn.. Walishashikishwa adabu wakati wa vita vya Iraq.. Walishambuliwa studio zao na makombora ya Marekani.. Wakasalim amri. Qatar na ufalme wake kama ilivyo Saudia ni VIBARAKA wa Marekani.Walau hawa wako huru. Soon ila watapigwa mkwara na wamagharibi na bwana wao mkuu wa maasi Marekani.
Nadhani huijui vizuri AL Jazeera. Kama ingekuwa ni chombo kinachoonesha Habari za ukweli basi. Marekani angeshakipatilizia mbali. Kipo hai mpaka sasa kwakua ni sehemu ya Western propaganda tool.Wewe naye unapotosha kweli uhitaji kubance story kwa kupitia RT?!!kama warusi wenyewe wameanza kushituka na kile kinachoonyeshwa kwenye tv yao ya taifa,!!!?Aljazeera tu ndio mtambo wa kweli ukitaka habari za ukakika!!!na ndio maana kote anapigwa vita!!
Mrusi anajidai tu na mibavu koko lakini nchi za Magharibi kiteknolijia wamemwacha mbali mno ndio maana hadi TV zake za bure hewani wanamzimia na hawezi kurudisha.Sio yeye TU, Hadi azam wameondoa
Sijajua uko startimes Hali vipi?
Nani anaitaka ulishawahi ONA mtu mwenye hata na kiti cha kirusi au iwe gari mdogo kubwa au basi au komputa, bodaboda au baiskeli toka Urusi? Ndio yawe hayo matv yake?Arudishe kwani hio ni kampuni yake? wanaoitaka RT wanaipata
Wamezikataa wamagharibi kwani wamesema ndo dunia yote, hawataki kuzitazama? Mbona bado ipo kwenye baadhi ya satelite......dunia sio kwa mabepari tuNani anaitaka ulishawahi ONA mtu mwenye hata na kiti cha kirusi au iwe gari mdogo kubwa au basi au komputa ,bodaboda,au baiskeli toka urusi? Ndio yawe hayo matv yake?
Hakuna nchi duniani yenye uwezo wa kurudisha hizo TV za mrusi hewani baada ya kufungiwa na nchi za Magharibi
Urusi wenyewe hiyo teknolojia hawana wanalialia tu kama mabwege
Nchi za Magharibi wanaume.kwenye teknolojia Urusi mtoto mdogo sana
Alale salama El Comandante Magufuli ,amen🙏Naona Western Bloc wanataka kubaki peke yao wanapiga propaganda vita ya Urusi na Ukraine ambapo Multichoice Afrika maarufu kwa kisimbusi chake cha DSTV imeiondoa chaneli ya Urusi ya Russia Today(RT) ambapo kwenye tamko lake wakisema hatua hiyo wamelazimika kuichukua kutokana na vikwazo vilivyowekwa na umoja wa Ulaya.
Mwanahisa mkubwa Multchoice Afrika ni kampuni mama ya Naspers ambayo asilimia 49 inamilikiwa na waholanzi wa Prosus. Mapema wakati vita inaanza EU ilipiga marufuku RT kuonekana barani Uropa.
DSTV ina visimbuzi milioni 20 vilivyo hai na kulipiwa barani Afrika, hata hivyo inawezekana uono kuwa mkubwa zaidi kutokana na vingi kuangaliwa kwenye ngazi ya familia au jamii kama bar na vibandaumiza.
Waswahili wanasema mwenye nguvu mpishe.Naona Western Bloc wanataka kubaki peke yao wanapiga propaganda vita ya Urusi na Ukraine ambapo Multichoice Afrika maarufu kwa kisimbusi chake cha DSTV imeiondoa chaneli ya Urusi ya Russia Today(RT) ambapo kwenye tamko lake wakisema hatua hiyo wamelazimika kuichukua kutokana na vikwazo vilivyowekwa na umoja wa Ulaya.
Mwanahisa mkubwa Multchoice Afrika ni kampuni mama ya Naspers ambayo asilimia 49 inamilikiwa na waholanzi wa Prosus. Mapema wakati vita inaanza EU ilipiga marufuku RT kuonekana barani Uropa.
DSTV ina visimbuzi milioni 20 vilivyo hai na kulipiwa barani Afrika, hata hivyo inawezekana uono kuwa mkubwa zaidi kutokana na vingi kuangaliwa kwenye ngazi ya familia au jamii kama bar na vibandaumiza.
Umevimbiwa propaganda koko.....Nani anaitaka ulishawahi ONA mtu mwenye hata na kiti cha kirusi au iwe gari mdogo kubwa au basi au komputa ,bodaboda,au baiskeli toka urusi? Ndio yawe hayo matv yake?
Hakuna nchi duniani yenye uwezo wa kurudisha hizo TV za mrusi hewani baada ya kufungiwa na nchi za Magharibi
Urusi wenyewe hiyo teknolojia hawana wanalialia tu kama mabwege
Nchi za Magharibi wanaume.kwenye teknolojia Urusi mtoto mdogo sana
😍Wamezikataa wamagharibi kwani wamesema ndo dunia yote ,hawataki kuzitazama? Mbona bado ipo kwenye baadhi ya satelite......dunia sio kwa mabepari tuView attachment 2140153View attachment 2140154
🤣🤣Ipo siku wataambiwa walioa au kuolewa na raia wa urusi waachane [emoji28]
Russia kwenyewe wamebana karibia vyombo vyote vya habari na mitandao ya kijamii, watu watasikia au kuona kile kinachoridhiwa na Serikali. Zaidi imekuwa ni kosa la jinai kutoa taarifa kuhusu jeshi linalopigana vita. Kwa style hii acha tu West waende nao sambamba.Alianza Azam, hadi nilishangaa, mimi nilikuwa napenda kuangalia BBC, CNN, Al jazeera, France24 then narukia RT ili kubalance. Sasa wanataka tusikilize kelele za upande mmoja tu. Na ndio maana Russia alikuwa justified kupiga kituo cha TV kwasababu kama wao wanabana media, na yeye abane basi. Wanatunyima haki ya habari.