DSTV yaondoa chaneli za Urusi kwenye king'amuzi chake Afrika

DSTV yaondoa chaneli za Urusi kwenye king'amuzi chake Afrika

Nadhani huijui vizuri AL Jazeera. Kama ingekuwa ni chombo kinachoonesha Habari za ukweli basi. Marekani angeshakipatilizia mbali. Kipo hai mpaka sasa kwakua ni sehemu ya Western propaganda tool.
Habari za ukweli ziliishiaga 2003 wakati wa vita vya Iraq.. Walishikishwa adabu wakaanza kufuata maelekezo ya USA tuu.

Kuna makala iliwahi we kwa humu.. Hakuna chombo chochote cha Habari western ambacho hakina editor kutoka CIA.. Ikiwemo AL Jazeera.. Vinginevyo isingekuwepo.
Kwa hilo sio kweli na ndio maana hata israel huwa hawaipendi sana aljazeera, na unajua kilichotokea mwaka jana kwenye jengo lao huko, ukanda wa Gaza!! Jaribu kufuatilia makala zao juu ya USA.
 
Hii haitasaidia kichapo kipo palepale halafu mazungumzo yatafuatia baadae
 
Russia kwenyewe wamebana karibia vyombo vyote vya habari na mitandao ya kijamii, watu watasikia au kuona kile kinachoridhiwa na Serikali. Zaidi imekuwa ni kosa la jinai kutoa taarifa kuhusu jeshi linalopigana vita. Kwa style hii acha tu West waende nao sambamba.
Wao hawana uhuru wa kutoa maoni kama mnavyosema
Nyie watu wa demoghasia simunao ama?
 
Naona Western Bloc wanataka kubaki peke yao wanapiga propaganda vita ya Urusi na Ukraine ambapo Multichoice Afrika maarufu kwa kisimbusi chake cha DSTV imeiondoa chaneli ya Urusi ya Russia Today(RT) ambapo kwenye tamko lake wakisema hatua hiyo wamelazimika kuichukua kutokana na vikwazo vilivyowekwa na umoja wa Ulaya.

Mwanahisa mkubwa Multchoice Afrika ni kampuni mama ya Naspers ambayo asilimia 49 inamilikiwa na waholanzi wa Prosus. Mapema wakati vita inaanza EU ilipiga marufuku RT kuonekana barani Uropa.

DSTV ina visimbuzi milioni 20 vilivyo hai na kulipiwa barani Afrika, hata hivyo inawezekana uono kuwa mkubwa zaidi kutokana na vingi kuangaliwa kwenye ngazi ya familia au jamii kama bar na vibandaumiza.
Sasa wewe habari za urusi utapata wapi.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Sanctions zimemmaliza Putin. Putin Eti Anasema sio yeye aliyevamia Ukraine ni taifa kingine really
 
Naona Western Bloc wanataka kubaki peke yao wanapiga propaganda vita ya Urusi na Ukraine ambapo Multichoice Afrika maarufu kwa kisimbusi chake cha DSTV imeiondoa chaneli ya Urusi ya Russia Today(RT) ambapo kwenye tamko lake wakisema hatua hiyo wamelazimika kuichukua kutokana na vikwazo vilivyowekwa na umoja wa Ulaya.

Mwanahisa mkubwa Multchoice Afrika ni kampuni mama ya Naspers ambayo asilimia 49 inamilikiwa na waholanzi wa Prosus. Mapema wakati vita inaanza EU ilipiga marufuku RT kuonekana barani Uropa.

DSTV ina visimbuzi milioni 20 vilivyo hai na kulipiwa barani Afrika, hata hivyo inawezekana uono kuwa mkubwa zaidi kutokana na vingi kuangaliwa kwenye ngazi ya familia au jamii kama bar na vibandaumiza.
Mrusi anadanganya Eti sio yeye
 
RT naipenda sana ilinisaidia kubalance story za kina CNN. Nawakumbuka wafu kama Murad Gazdiev aliyekuwa anaingia frontline kule Syria kutoa coverage ya mashambulizi ya ISIS. Gayane Chichakyan na mahojiano yake. Larry King (RIP) na uchambuzi wake wa siasa.
Larry King aliajiriwa na Russian Television halafu akaleta mizania dhidi ya story za CNN?
 
Larry King aliajiriwa na Russian Television halafu akaleta mizania dhidi ya story za CNN?
Unataka kubisha kisa alistaafu CNN. Kwanza hakuanzia uko, yeye kaanzia redioni tena akiwa mfanyakazi mwingine kabisa akaja kujaza nafasi ya mtangazaji aliyeacha kisa mshahara kidogo. CNN sio mama yake kwamba hakuweza achana nayo.

Na alipokuwa CNN alikuwa ni icon yeye binafsi kama Mirard Ayo alivyo na Clouds. Hata mabenki yanaajiri sana top managers waliopitia benki nyingine, na wakija hawashindwi kazi
 
Mrusi kama kweli mbabe kiteknolojia azirudishe hewani jinga kubwa arudishe hata Free To Air yaani FTA kama anajitia babe

Wanaume wanemfungia hana ubavu wa kurudisha hewani
Mrusi yupo hoi kiuchumi .
Unataka kubisha kisa alistaafu CNN. Kwanza hakuanzia uko, yeye kaanzia redioni tena akiwa mfanyakazi mwingine kabisa akaja kujaza nafasi ya mtangazaji aliyeacha kisa mshahara kidogo. CNN sio mama yake kwamba hakuweza achana nayo.

Na alipokuwa CNN alikuwa ni icon yeye binafsi kama Mirard Ayo alivyo na Clouds. Hata mabenki yanaajiri sana top managers waliopitia benki nyingine, na wakija hawashindwi kazi
Larry king was fired at CNN his ratings wewe horrible and his scandals with a young wife was horrible .Situation yake ilikuwa kama Chris cuomo
 
Mrusi yupo hoi kiuchumi .

Larry king was fired at CNN his ratings wewe horrible and his scandals with a young wife was horrible .Situation yake ilikuwa kama Chris cuomo
Aaah sikujua kama alikuwa fired, nilijua kastaafu na bahati mbaya nimemjua akiwa RT enzi hizo Trump anagombea mimi niko form 4 na King nimemjua niko form 3 so akiwa CNN nyuma ya hapo sikuwa na akili za kufatilia misimamo yake. Ratings zake za uchaguzi wa 2016 zilikuwa more than excellent kwangu. Kwanza ndiye aliyemshauri Trump namna ya kuwa rais ile miaka ya 1990s hivyo simchukulii kama mtu wa kawaida. Sasa hivi sijui nani mchambuzi wa siasa mzuri, sitazamani vipindi
 
Aaah sikujua kama alikuwa fired, nilijua kastaafu na bahati mbaya nimemjua akiwa RT enzi hizo Trump anagombea mimi niko form 4 na King nimemjua niko form 3 so akiwa CNN nyuma ya hapo sikuwa na akili za kufatilia misimamo yake. Ratings zake za uchaguzi wa 2016 zilikuwa more than excellent kwangu. Kwanza ndiye aliyemshauri Trump namna ya kuwa rais ile miaka ya 1990s hivyo simchukulii kama mtu wa kawaida. Sasa hivi sijui nani mchambuzi wa siasa mzuri, sitazamani vipindi
2016 ulikuwa Form 4? Kumbe tunajadili na Chekechea humu kwakweli. Labda utakuwa umesahau.
 
Wacha waondoe tu..
Dikteta put-in abanwe!
Hivi Putin ni dikteta? Unawajua madikteta kweli [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]unawajua waliomuua gadafi? Putin alikuepo? Fuatilia siasa za kimataifa utaujua ukweli.
 
Hivi Putin ni dikteta? Unawajua madikteta kweli [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]unawajua waliomuua gadafi? Putin alikuepo? Fuatilia siasa za kimataifa utaujua ukweli.
Yap.. ni dikteta!
Mwenye macho haambiwi tazama..
Kwani hao dikteta putin anaoua Ukraine siyo watu?!

 
Hata wakiondoa, bado haitaleta unafuu wowote ule kwa watu wa Ukraine. Maana Mrusi bado anaendelea tu kuwashambulia kila upande.
Mrusi hana tena ubavu anapigwa balaa ivi ukisikia ukrain unafikiri ni gongo la mboto unapoishi? Ukrain ni kubwa sana na maeneo ambayo russia imechukua labda kwa huko Tanzania tuseme mkoa wa kahama, labda kagera yaani pembezoni pembezoni, kule katikati kwenye mji Ukrain wamejipanga vizur sana na ndio ugumu wa hii vita iliko, russia wanaangusha majengo makubwa lakin watu wako kwenye mahandaki wanashambulia kwa akili vibaya sana, putini ashapoteza majesh na wahudumu karibu elfu 9000
 
Back
Top Bottom