Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Cha kwanza ili paswa ujiombee ww mwenyewe Mungu akuepushe na mawazo mabaya...Ona sasa ulichoandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana alimkataa Sauli...kama Bwana amemkataa maombi yako ni makelele...halafu huyo makonda siyo spiritual kivilee...anyway kila mtu ashinde mechi zake kama mdau mmoja anavyosemaga humuSaalaam kwenu WanaJamvi
Baada ya pilikapilika nyiIngi kupita, pilika za kutangaza nia, kuchukua fomu, kampeni na hatimaye Uchaguzi mkuu hatimaye sasa Jahazi la nchi yetu limeanza kutulia kabla MZEE hajatangaza baraza lake la mawaziri na kuanza kusonga mbele rasmi kwa pamoja.
Kwangu mimi binafsi, ni wiki sasa inatimia tangu nianze kumuweka Rasmi kwenye Maombi ya Viongozi wangu Bwana Paulo Makonda aliyekua kamanda wetu hapa jijini, hasa baada ya MZEE kusisitizia katika hotuba zake za hivi karibuni kuwa kwa asilimia kubwa hatafanya uteuzi mpya hasa mikoani na wilayani, nikamkumbuka huyu kiongozi wangu shupavu na jasiri Bwana Paulo.
Kiongozi aliyekua bado ana ndoto za kufika mbali kiuongozi akifuata nyayo za mwenyewe MZEE za kuwatetea na kuwapigania wananchi hasa wale wa chini kabisa wasio na mtetezi, huyu Bwana Paulo alijitahidi kuwapigania bana, mara huku akina singo mama, mara kule bodaboda, sijui waliimu bila kuwasahau viongozi wa Dini aliojitahidi sana kuwaleta pamoja ili wafanye kazi kwa Umoja bila kuchukiana wao kwa wao kugombania kondoo. Tunazijua vita nyingi alizozianzisha na kuzipigania mpk mwisho 'field marshal' huyu mpk sasa jiji hili na nchi kwa ujumla imekaa salama kwa upande wa madawa ya kulevya.
Namuombea sana Bwana Paulo aweze kuonwa tena katika nafasi ya uongozi wa nchi yetu hii yenye kuhitaji watu wa aina yake ukiachilia mbali madhaifu yake ya kibinadamu ambayo tumeumbiwa nayo, alikua muwajibikaji mzuri sana kusimamaia vitu vinavyomuhusu yeye binafsi au mkoa wake kama kiongozi. Hakuwa muoga huyu jamaa wengi aliwashangaza kwa hilo, hata nchi nzima ilipomsema na kumnanga bado huyu jamaa alisimama imaara inaonesha hata mabeberu atawakazia sana huko mbele kama dua zangu zikikubalika mbele za Mungu na MZEE.
Tunamjua MZEE kwa misimamo yake anaweza sana kumkazia na kutompa tena hata wilaya LAKINI MZEE unazo zile nafasi za wabunge wa kuteuliwa (nafikiri zinakua 10) tafadhali tunakusihi, jicho lako limgeukie tena huyu Bwana Paulo sio kama utakuwa unarudisha mpira kwa kipa hapana ila kijana wako Paulo alikua mtiifu sana kwako achilia mbali ndoto zake mwenyewe kama kiongozi za kuhakikisha anakusaidia wewe kufikia ile nchi ya ahadi, basi ikikupendeza umuweke tena katika wale 'wanao' kumi wa ziada pale mjengoni ili wakati anapigania kutimiza ndoto zake hizo na sisi tunufaike na uongozi wake na kusonga mbele Pamoja.
Wako mtiifu!
Kwani binadamu mwema Hawezi kukumbukwa na wengine?!!Unaweza kukuta ni Makonda mwenyewe anafikisha ujumbe
huyo siyo Paulo ni Daudi Abert Bashite, Paulo Makonda ni mtangazaji wa redio moja huko Tabora,Bashite alitumia cheti chake!Ni kweli kabisa mkuu, asante kwa sala yako kwa watu wengine pia🙏🙏, ila mimi binafsi nimeamua kumuombea Bwana Paulo
Asante kwa taarifa mkuu 🙏huyo siyo Paulo ni Daudi Abert Bashite, Paulo Makonda ni mtangazaji wa redio moja huko Tabora,Bashite alitumia cheti chake!
Nilikua sijafahamu kuwa wewe ndiye mama mzazi wa mh.Makonda...huyo siyo Paulo ni Daudi Abert Bashite, Paulo Makonda ni mtangazaji wa redio moja huko Tabora,Bashite alitumia cheti chake!
ndo la msingi hilo mkuu kila mtu kushinda mechi zake, kama ni upande wake tuache aendelee kushinda tu!Bwana alimkataa Sauli...kama Bwana amemkataa maombi yako ni makelele...halafu huyo makonda siyo spiritual kivilee...anyway kila mtu ashinde mechi zake kama mdau mmoja anavyosemaga humu
😆😆😆Unaweza kukuta ni Makonda mwenyewe anafikisha ujumbe
🙏🙏Ni jambo jema kuombeana meme
hata nikiwa na mawazo mazuri siku zote ndani yangu kama sina Upendo kwa wenzangu mimi si kitu Kwangu kitu kabisaCha kwanza ili paswa ujiombee ww mwenyewe Mungu akuepushe na mawazo mabaya...Ona sasa ulichoandika
Mzee hapangiwiiiii! hapo ndio unamwambia amtupe kabisaaaa. Au umeamua kumharibia?Saalaam kwenu WanaJamvi
Baada ya pilikapilika nyiIngi kupita, pilika za kutangaza nia, kuchukua fomu, kampeni na hatimaye Uchaguzi mkuu hatimaye sasa Jahazi la nchi yetu limeanza kutulia kabla MZEE hajatangaza baraza lake la mawaziri na kuanza kusonga mbele rasmi kwa pamoja.
Kwangu mimi binafsi, ni wiki sasa inatimia tangu nianze kumuweka Rasmi kwenye Maombi ya Viongozi wangu Bwana Paulo Makonda aliyekua kamanda wetu hapa jijini, hasa baada ya MZEE kusisitizia katika hotuba zake za hivi karibuni kuwa kwa asilimia kubwa hatafanya uteuzi mpya hasa mikoani na wilayani, nikamkumbuka huyu kiongozi wangu shupavu na jasiri Bwana Paulo.
Kiongozi aliyekua bado ana ndoto za kufika mbali kiuongozi akifuata nyayo za mwenyewe MZEE za kuwatetea na kuwapigania wananchi hasa wale wa chini kabisa wasio na mtetezi, huyu Bwana Paulo alijitahidi kuwapigania bana, mara huku akina singo mama, mara kule bodaboda, sijui waliimu bila kuwasahau viongozi wa Dini aliojitahidi sana kuwaleta pamoja ili wafanye kazi kwa Umoja bila kuchukiana wao kwa wao kugombania kondoo. Tunazijua vita nyingi alizozianzisha na kuzipigania mpk mwisho 'field marshal' huyu mpk sasa jiji hili na nchi kwa ujumla imekaa salama kwa upande wa madawa ya kulevya.
Namuombea sana Bwana Paulo aweze kuonwa tena katika nafasi ya uongozi wa nchi yetu hii yenye kuhitaji watu wa aina yake ukiachilia mbali madhaifu yake ya kibinadamu ambayo tumeumbiwa nayo, alikua muwajibikaji mzuri sana kusimamaia vitu vinavyomuhusu yeye binafsi au mkoa wake kama kiongozi. Hakuwa muoga huyu jamaa wengi aliwashangaza kwa hilo, hata nchi nzima ilipomsema na kumnanga bado huyu jamaa alisimama imaara inaonesha hata mabeberu atawakazia sana huko mbele kama dua zangu zikikubalika mbele za Mungu na MZEE.
Tunamjua MZEE kwa misimamo yake anaweza sana kumkazia na kutompa tena hata wilaya LAKINI MZEE unazo zile nafasi za wabunge wa kuteuliwa (nafikiri zinakua 10) tafadhali tunakusihi, jicho lako limgeukie tena huyu Bwana Paulo sio kama utakuwa unarudisha mpira kwa kipa hapana ila kijana wako Paulo alikua mtiifu sana kwako achilia mbali ndoto zake mwenyewe kama kiongozi za kuhakikisha anakusaidia wewe kufikia ile nchi ya ahadi, basi ikikupendeza umuweke tena katika wale 'wanao' kumi wa ziada pale mjengoni ili wakati anapigania kutimiza ndoto zake hizo na sisi tunufaike na uongozi wake na kusonga mbele Pamoja.
Wako mtiifu!
Badala ajiombee yeye mwenyewe amejaa shida anaombea watu wengine.DAB alijua kweli kucheza na saikolojia ya maboya. Na aliwapata hasa.
Hapa amepangiwa ama maombi juu ya Mzalendo Makonda?!!Mzee hapangiwiiiii! hapo ndio unamwambia amtupe kabisaaaa. Au umeamua kumharibia?
hapana sio kumuharibia, MZEE mwelewa sana basi labda hatujamwelewa vizuriMzee hapangiwiiiii! hapo ndio unamwambia amtupe kabisaaaa. Au umeamua kumharibia?