Dubai na Tanzania zilikuwa chini ya mtawala mmoja? Ilikuwa nchi moja?

Dubai na Tanzania zilikuwa chini ya mtawala mmoja? Ilikuwa nchi moja?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
History ya nchi zetu inashangaza sana.

Cha ajabu Sisi wenyewe hatuchimbi history vizuri.

Around mwaka 1830 wakati Sultan wa Oman anaamua kuwa Zanzibar itakuwa second capital baada ya Muscat. Na akaweka gavana Mombasa na Dar es Salaam.

Huu utawala wa huyu Sultan huku East Africa ulianzia Somalia Hadi Msumbiji. Pwani yote ya hizi nchi za Tanzania, Kenya, Somalia na sehemu ya Msumbiji alitawala yeye.

Na Oman ilikuwa nchi kubwa Sana huko uarabuni sio Oman ya sasa, yaani UAE yote ilikuwa ndani ya Oman. Hiyo miji ya Abu Dhabi na Dubai ilikuwa haipo kipindi hiko ni vijiji tu vya watu wachovu. Zanzibar ilikuwa mji mkubwa kuliko hivyo vijiji vya Dubai enzi hizo.

Mpaka mwaka 1970 wakati UAE inaundwa Zanzibar ilikuwa Brand kubwa kuliko Dubai. Infact mikoa kama Tabora au Tanga ilikuwa miji mikubwa kuliko Dubai na Abu Dhabi.

Tunapaswa kuchimba Sana history kujua tulikosea wapi.

History yetu inashangaza sana
 
Na hata wanaosema sijui kuna sultan wa Oman anataka kurudi Zanzibar wengi hawajui hata history ya Oman.
Sultan alipinduliwa mwaka 1964.

Wakati huo bado Oman ilikuwa nchi kubwa na eneo lote la nchi ya UAE ambazo kuna Dubai na Abu Dhabi na nchi zingine zilikuwa sehemu ya Oman.

Sasa why Sultan asirudishe Kwanza nchi hizo zenye utajiri na culture moja? Ambazo kapakana nazo kabisa?Ambazo kapoteza mwaka 1970 tu.

Aje kuhangaika na Zanzibar? Seriously?
 
The Boss,

..said bin sultan alihamia Zanzibar 1840, na Oman ikawa makao makuu madogo.

..alipofariki said bin sultan 1856, ufalme ukagawanyika baina ya majid bin said [Zanzibar], na thuwain bin said [Oman.]
Kwanini hii history hatufundishi mashuleni?

Omani Empire kumbe miji yake mikubwa ilikuwa Muscut, Zanzibar na Mombasa.

Walitawala kuanzia Qatar hadi Pakistan na Iran na huko cabo Delgado Mozambique.

Leo tunaenda omba misaada Dubai

Ambako hadi mwaka 1970 ilikuwa kijiji cha watu masikini..huku tayari tuna miji mikubwa kuliko Dubai ..kama Tabora mwaka 1970..

Inashangaza
 
Wazungu wameandika "edited version "ya history..

Hawataki tujue Empire zingine zilizokuwa powerful...
Omani Empire nasikia ilikuwa powerful kwenye maritime fleet kuliko nchi nyingi za Ulaya..
Tumekuwa wavivu kuandika, kusoma, kutunza, kuvienzi na kuthamini vya kwetu. Hii tuiitayo leo kesho itakuwa ndio historia
 
Bila shaka mtoa mada umepata habari hizi kupitia documentary ya witness ya Aljazeera, mimi mwenyewe niliiona jana usiku waliiweka, nilikuwa nabadili chaneli mara nikaiona zanzibar kwenye Aljazeera ikabidi nitulie nitazame, ndio hapo nikapata habari hizi ambazo sasa umeziundia uzi. Uko vizuri
 
Bila shaka mtoa mada umepata habari hizi kupitia documentary ya witness ya Aljazeera, mimi mwenyewe niliiona jana usiku waliiweka, nilikuwa nabadili chaneli mara nikaiona zanzibar kwenye Aljazeera ikabidi nitulie nitazame, ndio hapo nikapata habari hizi ambazo sasa umeziundia uzi. Uko vizuri

Napenda sana kukutana na nyuzi kama hizi.
 
Wazungu wameandika "edited version "ya history..

Hawataki tujue Empire zingine zilizokuwa powerful...
Omani Empire nasikia ilikuwa powerful kwenye maritime fleet kuliko nchi nyingi za Ulaya..
Nilisoma kitabu Cha tiputipu hakika wazungu wameficha sana historia,pia wameanikiwa kuwafanya waarabu kua watu wabaya na wapenda utumwa wakati ni tofauti na uhalisia was kipindi hiko
 
Kwanini hii history hatufundishi mashuleni?
Omani Empire kumbe miji yake mikubwa ilikuwa Muscut, Zanzibar na Mombasa..

Walitawala kuanzia Qatar hadi Pakistan na Iran na huko cabo Delgado Mozambique..

Leo tunaenda omba misaada Dubai ..
Ambako hadi mwaka 1970 ilikuwa kijiji cha watu masikini..huku tayari tuna miji mikubwa kuliko Dubai ..kama Tabora mwaka 1970..

Inashangaza
Muscat.
 
Kwanini hii history hatufundishi mashuleni?
Omani Empire kumbe miji yake mikubwa ilikuwa Muscut, Zanzibar na Mombasa..

Walitawala kuanzia Qatar hadi Pakistan na Iran na huko cabo Delgado Mozambique..

Leo tunaenda omba misaada Dubai ..
Ambako hadi mwaka 1970 ilikuwa kijiji cha watu masikini..huku tayari tuna miji mikubwa kuliko Dubai ..kama Tabora mwaka 1970..

Inashangaza
Hii historia itatusaidia nini sisi watanzania..?kingine hiyo miji imejengwa na Westerners baada ya waarabu kuuza nchi yao na visima vya mafuta kwa Westerners...so tukitaka na sisi waje tuwape rasilmali waziendeleze wawekeze na sisi tupokee kodi tu..hao jamaa hawatakagi usumbufu chamsingi wavune mali kiroho safi...watakupa maendeleo unayoyataka.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom