Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uhakika kama ni hiyo stori, kwamba walishirikina na tapeli la kinigeria lililokuwa likiishi huko huko UAE.Wakenya walimtapeli dhahabu aka wapelekea moto wa wapelelezi wa Kimataifa wakakamatwa wote na dhahabu yake kifidiwa!
Na yeye cheki apo yuko like...Sheikh Maktoum anamtupia mama jicho flani..asilete mambo yake ya tamaaa ...
Wala huyo sheikh ni msomi aliyesomea marekanihuyo wa kati ni mkalimani nahisi kuna sehemu LUGHA GONGANA
mama mwenyewe mataga sasa sijui wewe unazungumzia mataga gani ?Mama Songa Mbele...tuko nawe.
MATAGA najua hayapendi
Na si ajabu wameitoa hapa hapa... sisi zetu tunazungushia mkaratusi au mwarubainihawa waarabu hiyo ring hapo kwenye hiyo picha unaweza kuta ni dhahabu tupu
Na si ajabu wameitoa hapa hapa... sisi zetu tunazungushia mkaratusi au mwarubaini
Siyo wasalaam = AsalaamIam sure hapo salaam ilikuwa Wasalaam aleikum
Asonge mbele kuombaomba siyo!Mama Songa Mbele...tuko nawe.
MATAGA najua hayapendi
Noooooo,Iam sure hapo salaam ilikuwa Wasalaam aleikum
Zanzibar ilikuwa ya Oman."Anawaambia Zanzibar ni yakwao ila imekaliwa kimabavu"
Andika mbowe sio gaidi ila shida yake anataka katiba mpya tumesema asubiri ila hataki.Chui jike anasema andika na jenzi zangu nyingi zimekwama. Andika shirika la ndege halisongi kuleta faida. Andika zanzibar wanaitaji uchumi wa blue
In Mwaisa voice [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na yeye cheki apo yuko like...
mmh...sheik amehack mchongo kanistukia
Pia usisahau kucheki documentary ya umasikini dubai..jinsi wafanyakazi wanavyoteshwa na kuishi maisha ya umasikini.syo unaweza kuta hyo ring ni gold pure mzee hao jamaa wana utajiri wa kutisha,ukiingia kwenye IG accounts zao utaelewa zaid
Nakazia" Assalam alaykum "Siyo wasalaam = Asalaam