Dube aaga rasmi Azam FC

Dube aaga rasmi Azam FC

Mshambuliaji Prince Dube raia wa Zimbabwe ametangaza kuachana na Azam FC baada ya kudumu klabuni hapo kwa miaka minne.

Hivi karibuni zilitoka taarifa za mshambuliaji hiyo kuomba kuondoka, Azam FC walithibitisha taarifa hizo na kuweka wazi kuwa hawamzuii ilataratibu zifuatwe.

Mchezaji huyu kwenye mechi ya jana dhidi ya Coastal Union [FT 1-1] hakuwa sehemu ya kikosi na leo asubuhi ametangaza kuondoka Klabuni hapo.

View attachment 2926844

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Hongera Dube umefanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi, wakati mchezaji akiwa kwenye peek ya career yake ndio muda mzuri wa kuwa na ubavu wa kuamua kutoka eneo moja kwenda lingine lenye maslahi zaidi maana uhitaji wake unakuwa mkubwa, kiwango kikishuka uwezo huo unakuwa haupo tena.


Best of luck Prince D.
 
Timu itakayo msajiri huyo dogo imelamba dume
 
Simba wanatamani kusikia Dube amesajiriwa Madrid Ila sio yanga 🤭🤭🤣
 
Tatizo anaenda Yanga, bado tabu ipo palepale.
Yanga hii ambayo mchezaji wao ghali zaidi ni azizi ki aliesajiliwa kwa milion 400


Je wapo tayari kutoa milion 700
 
Dube ameongea vitu ambavyo ni vya msingi Sana pale Azam kuna watu wa Simba na Wengine Yanga hivyo anaona timu haina malengo Kwa mujibu wa voice yake aliyotoa leo
 
Back
Top Bottom