Dudu baya a.k.a mamba aichana chana clouds fm, amwagia sifa rubby

Dudu baya a.k.a mamba aichana chana clouds fm, amwagia sifa rubby

Clouds wanawafanya wasanii wakose kujiamini. Kila msanii anaona hawezi kujitegemea anapokuwa nje ya Clouds, inatakiwa wasanii wafunge mkanda ili kujinasua na huo ukoloni wa kifikra.
Wasanii wenyewe hawa kina nuhu mziwanda[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji106] [emoji15] [emoji15]
 
Bila kuongelea Clouds Media naona watu hawana pa kupatia kiki

Kama wasanii wangekuwa wanalipwa pesa mbaya si wangeenda kwingine.

Mkubali kuwa Clouds kwa jina.wamejijenga na mengi hata iweje...wakongwe wa mengi nchini.
Hapo kuna kiki gan?
 
Hivi kuna ukweli kwamba wananyonywa??

Hao wanaonyonywa nao wamekubali kunyonywa.??

Ni vigumu sana kukubali mtu anaweza kunyonywa na kuendelea kukubali kunyonywa tu!!
 
Kwa hiyo na yeye anataka kusema kaisha kimziki kwasababu ya clouds?
Wonders shall never end
 
Migogoro kati ya media na wasanii inarudisha nyuma maendeleo ya mziki wetu Tanzania.pia ni vyema media kutoa fursa kwa vijana chipukizi ambao bado hawajajulikana katika soko la muziki ili kuweza kuwatangaza na wao kutimiza ndoto zao.
 
Back
Top Bottom