Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
- Thread starter
- #21
Wasanii wenyewe hawa kina nuhu mziwanda[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji106] [emoji15] [emoji15]Clouds wanawafanya wasanii wakose kujiamini. Kila msanii anaona hawezi kujitegemea anapokuwa nje ya Clouds, inatakiwa wasanii wafunge mkanda ili kujinasua na huo ukoloni wa kifikra.