Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Mtazamo wangu upo kama wa Mamba.Toa mtazamo wako mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtazamo wangu upo kama wa Mamba.Toa mtazamo wako mkuu
napenda avatar yakoMtazamo wangu upo kama wa Mamba.
Shukrani.napenda avatar yako
Mamba ni Shetta🙂Mtazamo wangu upo kama wa Mamba.
Yes, aliongea fact sana, sema watoto wa juzi juz hawajui fitina za mawinguMtazamo wangu upo kama wa Mamba.
Vijana wa 2000's hamjui fitina za mawingu nyieHUYU SIJUI DYUDU BAYA SIJUI DUDU ZURI ASHAFILISIKA KISANII KWANI CLOUDS NDO WALIMFILISI HANA JIPYA AACHE KUBWABWAJA
HAJULIKANI POPOTE KWA SASA
NISHASEMAGA ALIYEWAHI KUNYONYWA NA CLOUDS ANYOOSHE KIDOLE
TUACHE UNAFIKI TUNAPONDA CLOUDS WAKATI SISI NDO NO MOJA KUSIKILIZA
Sheta ni mamba mdogoMamba ni Shetta🙂
Yes, aliongea fact sana, sema watoto wa juzi juz hawajui fitina za mawingu
Hahahaha[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Aliwaita mangurue fm ha ha ha ha
Mim pia nimeipendanapenda avatar yako
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] watoto wa kino...View attachment 402002
Unajisikiaje hapa mkuu?
Mkuu hii ni movement haitaisha leo wala keshoUnamjua Kalapina? Aliwahi kuwachanachana Cloudz kuliko hata bwana Mamba lakini leo hii anamlamba miguu Ruge. Yule muhaya muache tu, wengine Mapacha unakumbuka hatma yao?
Mkuu fitina za mawingu ni zaidi ya ujuavyo weweHivi kuna ukweli kwamba wananyonywa??
Hao wanaonyonywa nao wamekubali kunyonywa.??
Ni vigumu sana kukubali mtu anaweza kunyonywa na kuendelea kukubali kunyonywa tu!!
Mkuu fitina za mawingu mnazijua mnazisikia!!!!Kwa hiyo na yeye anataka kusema kaisha kimziki kwasababu ya clouds?
Wonders shall never end
Hakuna movement hapo, movement pekee niliyowahi kuikubali na kuiunga mkono ni ile ya Sugu na vinega, ila nilikuwa dissappointed sana mwisho wa hilo sakata ulivyoisha, tukaja kugundua kumbe shida ya Sugu ilikuwa ni kupigania tumbo lake na hakuwa na nia ya dhati ya kufanya harakati, alipopewa chake akawatelekeza hata wale waliomsaidia, ndo wakaja kustuka kumbe alikuwa anawatumia. Kuanzia kipindi kile sitaki kusikia kitu kinaitwa movement, acha Ruge aendelee kuwanyoosha kwa upumbavu waoMkuu hii ni movement haitaisha leo wala kesho
Muhaya ipo siku atahama nchi, maana watu wanakufa na madini yao geton
Sio mapacha tu, au kala tu, kuna wapo wanacheka na ruge lkn hawaridhik na situation hata kidogo
Wagombanishe ili uwatawale kiurahisiwasanii hivi wanalazimishwa!?
si wanataka wenyewe!
Kumbe ndo wewe unayemzimikia juxnapenda avatar yako
Mfano halisi huuMbona mtoto anamnyonya mama na mama anakubali kunyonywa.