Dudu Baya amkata mama yake sikio na kutokomea kusikojulikana

Dudu Baya amkata mama yake sikio na kutokomea kusikojulikana

Thank you, now has been proved that the guy is real psycho.... he is so pathetic.
 
Mbaya sana. Mpaka amuombe radhi ndiyo atatoka!
 
hilo jamaa jinga sana,linajifichaga kinondoni b karibu na p.k bar,kuna kijumba flani wanauza bia mle kuna bonge la giza,kazi yake kuomba bia,ukiingia anadhani wewe ni paparazi,mimacho itamko ova mjusi kabanwa na mlango,kwa ufupi anajificha huyu jinga jinsi alivyofulia,we nenda kino b tembelea aika na p.k bar watakuonyesha anapojificha...
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
daah hiyo inshu juzi mange kasema lakini akajibu "Anaendaga kukojoa"
 
Back
Top Bottom