Dudu baya kauliza maswali ya msingi kuhusu Airport ya Dar es Salaam(JKNIA)

Dudu baya kauliza maswali ya msingi kuhusu Airport ya Dar es Salaam(JKNIA)

Kwa nini Airport ya Dar es Salaam huwa hawauzi Ugali, ubwabwa kama wa mtaani, pilau, ndizi, mchicha, metembele, magimbi, mihogo, viazi vitamu, dagaa, chips mayai(zege) na vyakula vingine vya aina hiyo vya Kiswahili, Kitanzania au kiAfrika zaidi?
Kwasababu wanaoenda huko sio hao wanaoitwa/nasibishwa kama Watanzania wa kawaida/wanyonge...
Wanyonge ambao mnaambiwa muwe wazalendo ndio wanaokula hivyo vyakula.
 
fikiria treni hii ya dar dom, wanakataza kuingia na maji yako alafu mle ndani wanakuuzia yale maji ya 500 wanauza elfu moja...huu sio uhuni?. Yaani nchi yetu wenyewe tunakuwa watumwa kweli....sasa akiuza mwamposa utawasikia wanavyotanua madomo yao
 
fikiria treni hii ya dar dom, wanakataza kuingia na maji yako alafu mle ndani wanakuuzia yale maji ya 500 wanauza elfu moja...huu sio uhuni?. Yaani nchi yetu wenyewe tunakuwa watumwa kweli....sasa akiuza mwamposa utawasikia wanavyotanua madomo yao
Unaingia na maji yako yakiwa kwenye chupa za maji zile za michezo usibebe hizi za makampuni ya maji.
 
Kwasababu wanaoenda huko sio hao wanaoitwa/nasibishwa kama Watanzania wa kawaida/wanyonge...
Wanyonge ambao mnaambiwa muwe wazalendo ndio wanaokula hivyo vyakula.
Wageni watakula vyakula vya Kiswahili na Kitanzania, au wageni wanataka kula burgers zao tu hata hapa bongo??
 
Wageni watalipia ghali tu kuonja vyakula vya bongo.
Hii migahawa inakuwa mule ndani kati ya vitu msafiri anakuwa navyo sensitive ni chakula hivyo hawezi kabisa kujaribu chakula kipya na wataofaya hivyo ni wachache sana wengi wataenda kwenye vile wamezoea (chicken wings n.k kumbuka hata peps ya airport mule ndani si hii ya kwenye duka la mangi)
 
Hii migahawa inakuwa mule ndani kati ya vitu msafiri anakuwa navyo sensitive ni chakula hivyo hawezi kabisa kujaribu chakula kipya na wataofaya hivyo ni wachache sana wengi wataenda kwenye vile wamezoea (chicken wings n.k kumbuka hata peps ya airport mule ndani si hii ya kwenye duka la mangi)
Kwenye Ethiopia Airlines huwa wana serve chakula chao cha asili, Injera.
 
Back
Top Bottom