mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hivi shishi ndy mpishi #1 bongo 😄Shishi food apewe location
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi shishi ndy mpishi #1 bongo 😄Shishi food apewe location
Wazungu wanapenda sana hizoUgali mlenda ugali dagaaa magimbi chai ya rangi...mahindi ya kuchoma senene ugali kisamvu cha nazi
Wakati wa safari vyakula,vinywaji huwa bei juu kdgfikiria treni hii ya dar dom, wanakataza kuingia na maji yako alafu mle ndani wanakuuzia yale maji ya 500 wanauza elfu moja...huu sio uhuni?. Yaani nchi yetu wenyewe tunakuwa watumwa kweli....sasa akiuza mwamposa utawasikia wanavyotanua madomo yao
Kuweka biashara ya vyakula mahali huwa na sehemu ya utafiti wa mahitaji ya wateja kwenye eneo husika. Vyakula vyenye mahitaji machache haviwekwi.Kwa nini Airport ya Dar es Salaam huwa hawauzi Ugali, ubwabwa kama wa mtaani, pilau, ndizi, mchicha, metembele, magimbi, mihogo, viazi vitamu, dagaa, chips mayai(zege) na vyakula vingine vya aina hiyo vya Kiswahili, Kitanzania au kiAfrika zaidi?
Bei ya vitu kwenye mgahawa wa pale Airport ni hatari. Kwa sisi tunaopanda ndege na kukimbilia bodaboda tukifika.. hatumudu vyakula vya pale.Mule ndani kulihitajika kuwe na swahili restaurant
Ova
😄Bei ya vitu kwenye mgahawa wa pale Airport ni hatari. Kwa sisi tunaopanda ndege na kukimbilia bodaboda tukifika.. hatumudu vyakula vya pale.
Madirisha ya ndege huwa hayafunguki, makombora yakianza kurushwa ndege itajaa upepo kisha itapasuka.Kwa nini Airport ya Dar es Salaam huwa hawauzi Ugali, ubwabwa kama wa mtaani, pilau, ndizi, mchicha, metembele, magimbi, mihogo, viazi vitamu, dagaa, chips mayai(zege) na vyakula vingine vya aina hiyo vya Kiswahili, Kitanzania au kiAfrika zaidi?
Swali juu ya swali, kwanini wanaopika vyakula wa bongo siyo wasafi?
Ka bei kamechangamka sikia tuIlikuwa inaitwa flamingo
Ova
ya chupa ya Wana michezo.Unaingia na maji yako yakiwa kwenye chupa za maji zile za michezo usibebe hizi za makampuni ya maji.
Hizo hapo kiongozi, hakuna mtu atakuzuia ukiwa na hii chupa.Mkuu mfano wa hiyo picha
ya chupa ya Wana michezo.
Maana walinitia hasara maji yangu niliacha hapo
Flamingo ilikuwa restaurant moja ghari sana juu departures lounge. Juu kabisa kwenye paa za arrival na departure lounge kulikuwa na wajasiliamali waliokuwa wanapika vyakula vyetu hivi.Ilikuwa inaitwa flamingo
Ova
Nashukuru sana mkuu je hizo unatia ndani ya beg au unashika tu kawaida?Hizo hapo kiongozi, hakuna mtu atakuzuia ukiwa na hii chupa.
View attachment 3086488
mbona wao wanauza maji ya afya 500ml kwa elfu moja??, wakati maduka yetu ya kila siku huku nje tunanunua mia 5 hadi mia 3 tuUnaingia na maji yako yakiwa kwenye chupa za maji zile za michezo usibebe hizi za makampuni ya maji.
Uliwahi kwenda benki ukabana na haja ndogo au kubwa!?? ..... Atoke nyumbani ameshakula limbe,sungwi, matobolwa,michembe ....Kwa nini Airport ya Dar es Salaam huwa hawauzi Ugali, ubwabwa kama wa mtaani, pilau, ndizi, mchicha, metembele, magimbi, mihogo, viazi vitamu, dagaa, chips mayai(zege) na vyakula vingine vya aina hiyo vya Kiswahili, Kitanzania au kiAfrika zaidi?
Soma Pia: Unauonaje ushauri wa "Dudubaya" kuhusu vyoo vya mwendokasi na uwanja wa ndege?
kwenye basi ukipanda na chakula chako na maji yako hawazuii, kwenye treni wanazuia...why?. Inamaana wanataka kuwafundisha wa magari kwamba walikuwa wanakosea kuruhusu watu kuingia na vyakula na maji?, kwani lengo la usafiri ni kumsaidia mtu au kumkomesha?...tena treni wanajinadi kuwa ni ya serikali kweli????Wakati wa safari vyakula,vinywaji huwa bei juu kdg
Hivi ukisafiri na bus mkisimama mambo au sehemu za kula bei unaionaje
Ova
Mkuu samahani kama sea port zipo huko baharini na vyombo vyake havifiki nchi kavu kwanini airport haipo kwenye Air?Kwa nini Airport ya Dar es Salaam huwa hawauzi Ugali, ubwabwa kama wa mtaani, pilau, ndizi, mchicha, metembele, magimbi, mihogo, viazi vitamu, dagaa, chips mayai(zege) na vyakula vingine vya aina hiyo vya Kiswahili, Kitanzania au kiAfrika zaidi?
Soma Pia: Unauonaje ushauri wa "Dudubaya" kuhusu vyoo vya mwendokasi na uwanja wa ndege?