Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

Ana express his feelings kwa mtu aliyefariki au kwa wapendwa wa marehemu? mtu wako wa karibu akifa halafu anatokea mtu/watu wanamkejeli na kumdhihaki utasema wana express their feelings au sababu huyo ni mtu asiyekuhusu?

Uhuru wa kuongea upo lakini waacheni wafu waheshimiwe.
One thing that i can agree ni kuwa it might not be the right time ku raise mapungufu ya marehemu kwa kipindi hiki cha maombolezo. Ila haibadilishi maana kwamba hakuwa anamkubali RIP before hajafa na wala hamkubali baada ya kufariki. The wise thing is just to stay quiet for the moment.
 
kiongozi huyo konki ugum wa maisha ndio unamsumbua,anapewa vijisenti ili alipuke upuuzi wake

"yeye sio kichwa,yeye anaweza fichwa nikiwachora wasanii wa bongo siioni sura yake kwa picha"dudu
Na kuna uwezekani wcb wanamfadhili.

Mwenye njaa hata ukimwambia apande transformer akuchotee mafuta umlipe atapanda tu.
 
Dudu baya.alimkataa ruge hata kabla hajafa.na baada ya kufa alisimamia msamamo wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
That's how to be a real man!Haiwezekani mtu fulani aamke tu asubuhi akwambie mpende huyu au mchukie yule.Upendo au chuki ni zao la hisia halisi za mtiririko na mapokeo ya mambo.Haupakwi kama rangi wala kung'olewa kama visiki.
 
One thing that i can agree ni kuwa it might not be the right time ku raise mapungufu ya marehemu kwa kipindi hiki cha maombolezo. Ila haibadilishi maana kwamba hakuwa anamkubali RIP before hajafa na wala hamkubali baada ya kufariki. The wise thing is just to stay quiet for the moment.
Now your talking, mimi wala sitaki Dudubaya ampende marehemu au ajioneshe anampenda while walikua na bifu lakini the wise thing angefanya ni kunyamaza kimya na kuendelea na mambo yake kama alivyofanya Diamond na Jaydee angalau mpaka atakapo zikwa.
 
Kuna wengine wana machungu mengi mno na ruge so haina haja ya kuwalaumu ila kumuongelea hadharani kwa ubaya sio sawa ni bora kukaa kimya kama diamond na wenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kuna uwezekani wcb wanamfadhili.

Mwenye njaa hata ukimwambia apande transformer akuchotee mafuta umlipe atapanda tu.


😀😀😀😀 aiseee hapa umetisha "Mwenye njaa hata ukimwambia apande transformer akuchotee mafuta umlipe atapanda tu"

tena kama hao wcb ndio wanafiki balaaaa hasa yule anaejiita mond ni zaid ya nyoka{chanzo mavoko}
 
Hakuwa na sababu ya kuropoka ili wanaoomboleza wamsikie.

kwani hakuna wengine wenye tofauti naye, si watatulia makwao kimya.
Huko ni kulazimisha hali kwa kadiri ya mapenzi yenu.Kuna aina ya binadamu ambao wakikasirishwa na jambo halafu akapata nafasi ya kuonesha hisia zake ni tiba tosha.Leo hii utasema anaumiza hisia za ndugu,jamaa au rafiki wa marehemu.Je,ulipata muda wa kumuuliza Dudu aliumizwa vipi na Ruge alipokuwa hai?Kuongea hisia hasi alizonazo mtu ni njia mojawapo ya kutoa sumu mwilini.
 
Eti mpaka dadaenu Wa los Angel's nae analia wakati alikuwa anamponda daily,, bora dudu na jide wameweka unafki pembeni

kiongozi hao ote unaowaongelea washakufa kimusic sa kilichobakia kwao ni mapovu tu mbona kipindi anachukua zile tuzo hakusema hayo yote{jide}

nao wakina vanexxxxxa,nandy,ruby nk ndo wameteka soko yeye amebakia na kinyongo tu
 
Wahuni tu hao.Hizo mila zimeandikwa WAPI tuziimbe?Mambo ya kumlazimisha mwingine ampende mtu fulani wakati hisia zake hazikubali ni zaidi ya upumbavu.Halafu naamini ni dhambi kujidai unaonesha upendo machoni wakati chuki na hasira vinawaka moyoni.
Mi nasemaga kila siku moja ya janga la kitaifa ni unafiki,(pretending,fake caring).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiongozi hao ote unaowaongelea washakufa kimusic sa kilichobakia kwao ni mapovu tu mbona kipindi anachukua zile tuzo hakusema hayo yote{jide}

nao wakina vanexxxxxa,nandy,ruby nk ndo wameteka soko yeye amebakia na kinyongo tu
hivi unachoongea unakijua au umeanza Lin kujua huu mzki?

Jide amefulia kimzki kweli?

kwanza inatakiwa ujue jide alishawahi toa waraka 2013 kuhusu ruge.

Jide na dudu kama wamefulia vipi kuhusu diamond? Umeona anaonyesha shobo za unafki kama akina lemutuz
 
Hakuwa na sababu ya kuropoka ili wanaoomboleza wamsikie.

kwani hakuna wengine wenye tofauti naye, si watatulia makwao kimya.
Hakuna sehemu Dudubaya kamtaja Ruge kwenye miropoko yake. Hakuna!
 
Mi nasemaga kila siku moja ya janga la kitaifa ni unafiki,(pretending,fake caring).

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye jamii zetu kuna watu wa ajabuajabu sana.Na ndiyo maana wale wanaokuwa karibu na mimi huwa wanapata taabu sana.
-Nikichukia sijui kuvungavunga wala kumchekea alonikera
-Nina maswali na majibu ya tit for tat ili kuondoa unafiki
-Sipendi kumzungumzia/kumteta mtu bila ukweli wowote
-Kumkatisha mtu anapoongea au kukataa kuusapoti uongo na ujinga ni moja ya agenda yangu ya kudumu
-Kukaa na makundi yasiyokuwa na maono kimaongezi ni marufuku.
-Ukweli na kueleza hisia halisi kwangu is my religion.
 
Back
Top Bottom