Dudubaya amshauri Tundu Lissu kuhamia CCM au Vyama vingine akidai hatamweza Mbowe na wala CHADEMA haiwezi kufa

Dudubaya amshauri Tundu Lissu kuhamia CCM au Vyama vingine akidai hatamweza Mbowe na wala CHADEMA haiwezi kufa

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Dudubaya amshauri Tundu Lissu kuhamia CCM au vyama vingine akidai hatamweza Mbowe na wala CHADEMA haiwezi kufa kwasababu walikuwepo wanachama wakubwa sana akiwemo Chacha Wangwe, Ndesamburo, Lowasa, Alphonce mawazo na walipoondoka CHADEMA haikufifia

Tazama Video hii
 

Attachments

  • v09044g40000ctkivn7og65vg99l7alg.mp4
    33.6 MB
Huyo mnywa gongo kajichokea akampende honey wake mwenye mimeno km ngiri.!
 
Sad Truth. FAM anaendelea tena,
Lissu ahamie ACT wamalize tofauti zao na Zitto otherwise hata ubunge hapati akiwa CDM
 
Back
Top Bottom