njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
nakisikiliza hapa ni kero aisee haijulikani nani muongozaji nani mchambuzi yaani wanapiga kelele hakuna anayetaka kumsikiliza mwenzake..utasikia Abisai sikiza ngooja ngojaaaa...hapana nisikize kwanza ,huku mweingine naye anaendelea kuongea ya kwake
vuluvuluuuuuuuuuu
matusi ya nini boss nilikuwa nasikiliza redio..kwani na wewe ulikuwa mmojawapo wa hao waropokaji? au mmoja wao ndo anampumulia dada yako au anakupumlia wewe kisogoni?T.V yenyewe unaweza kukuta unaangalia sebuleni kwa shemeji yako.
Asana wewe unasikiliza ili upate taarifa gani.nakisikiliza hapa ni kero aisee haijulikani nani muongozaji nani mchambuzi yaani wanapiga kelele hakuna anayetaka kumsikiliza mwenzake..utasikia Abisai sikiza ngooja ngojaaaa...hapana nisikize kwanza ,huku mweingine naye anaendelea kuongea ya kwake
vuluvuluuuuuuuuuu
Ya habariAsana wewe unasikiliza ili upate taarifa gani.
Bongo bado sana unaweza kupasuka bandama kwa kuwa cheka.hizi redio ni shida leo nimebahatika kusikiliza uchambuzi wa michezo kupitia magic fm mtangazaji anasema anaipa nafasi Simba dhidi ya JKT Ruvu 70% ya kushinda huku akimpa Ruvu asilimia 50 ya kushinda nilishindwa kuelewa.
πππππ irudiwe irudiwehizi redio ni shida leo nimebahatika kusikiliza uchambuzi wa michezo kupitia magic fm mtangazaji anasema anaipa nafasi Simba dhidi ya JKT Ruvu 70% ya kushinda huku akimpa Ruvu asilimia 50 ya kushinda nilishindwa kuelewa.
Ni miongoni mwa vipindi vya hovyo kabisa vya michezo. Nilishaacha kitambo kukifuatilia.nakisikiliza hapa ni kero aisee haijulikani nani muongozaji nani mchambuzi yaani wanapiga kelele hakuna anayetaka kumsikiliza mwenzake..utasikia Abisai sikiza ngooja ngojaaaa...hapana nisikize kwanza ,huku mweingine naye anaendelea kuongea ya kwake
vuluvuluuuuuuuuuu
Unafanya kazi kwa hiyo redio?,jinga kabisa.T.V yenyewe unaweza kukuta unaangalia sebuleni kwa shemeji yako.
Kabsa Ila kipindi kipo vizur Sana kileClouds Sports Xtra..japo Lumbwano anapenda sana habari za mchangani.