Nyie mmeumbwa kwa ajili yetu,Nyie ni maua mnafaa mnukie uzuri...ili mtupendezesheWanawake hatuwezi kubadilika kisa nyie hamtaki Jambo flani, ndio maana tukawa wanawake, by the way wanaume wanaoumizwa na Mambo ya wanawake kinachowasumbua ni kukosa hela tu
Kwanini Mambo ya wanawake yakuumize huna Mambo yako ya kufanya?Nyie mmeumbwa kwa ajili yetu,Nyie ni maua mnafaa mnukie uzuri...ili mtupendezeshe
Si hivyo dada,humu nlikuwepo long time tuu ila nlikuwa sionekani,hata hivyo leo ndo nimekubaliwa ombi langu na maboss wenu wa JFKwahiyo J wa nmb umejiunga Leo ID mpya satano unusu asubuhi ili tu uje kumsimanga dada wa watu mwenye wigi lake seriously.??
Enwei, hii haituhusu sisi tunaokutana saloon za kiume kunyoa, kuweka rough ama wave.!
Na ww Unatia aibu sana kumsema mwanamke bila sababu za msingi
Bora umwambie, Hawa sijui ni wanaume wenye shida gani?
Bro mengine kausha,ata ww kunawaliowahi kukuskia unanuka Ila wakakausha,na km bado ipo siku utanuka...Hiyo ni sababu tosha kaka mkubwa
Kwa mazingira waliokuwa Sio sababu ya msingi--dala dala ni usafir wa umma na Kila mtu anapanda na lakwakwe so hamuwezi kuwa uniformlyKunuka sio sababu ya msingi?
Huo sio ugonjwa ni uzembe brother wacha wajirekebisheBro mengine kausha,ata ww kunawaliowahi kukuskia unanuka Ila wakakausha,na km bado ipo siku utanuka...
Usimseme Mwenzio vibaya ikiwa humjui kiundani...
Kwa hili uliloleta, linaeleza tabia zako nyingi sana
Nashkuru unalitambua hilo....wadada wengine wanakuwa wakali sjui nimekosea wapi.
Kwa mazingira waliokuwa Sio sababu ya msingi--dala dala ni usafir wa umma na Kila mtu anapanda na lakwakwe so hamuwezi kuwa uniformly
Watu wana private jets na bado wanaumizwa na wanawake, women is not an addiction that you can ho for rehab and baam you're fine again, women are a necessity my dear, hawakwepeki.Huna hata bajaji siku ukiwa hata na bodaboda utakuwa busy na kazi hutaumizwa na wanawake
Eheeee πππ katika ubora wakoBora umwambie, Hawa sijui ni wanaume wenye shida gani?
[emoji23][emoji23][emoji23] ubora gani Tena?Eheeee [emoji3][emoji3][emoji3] katika ubora wako
Why always Buza?Boss kama upo dsm na mizunguko yako unatumia usafiri wa Umma usijali siku utakutana na hizo pafum za Buza.
Mkuu umeongea kwa uchungu sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wananuka ubongo............wigi linanuka ubongo balaaa.........haafu jitu halina akili
Bora hao ni mapenzi tu kawaida na huwezi kukuta wananga wanawake sijui wananuka sijui vile na vileWatu wana private jets na bado wanaumizwa na wanawake, women is not an addiction that you can ho for rehab and baam you're fine again, women are a necessity my dear, hawakwepeki.