Duh! Kuna wanawake mnatia aibu jamani

Duh! Kuna wanawake mnatia aibu jamani

Kwahiyo J wa nmb umejiunga Leo ID mpya satano unusu asubuhi ili tu uje kumsimanga dada wa watu mwenye wigi lake seriously.??


Enwei, hii haituhusu sisi tunaokutana saloon za kiume kunyoa, kuweka rough ama wave.!
Si hivyo dada,humu nlikuwepo long time tuu ila nlikuwa sionekani,hata hivyo leo ndo nimekubaliwa ombi langu na maboss wenu wa JF
 
Kipindi n
Bro mengine kausha,ata ww kunawaliowahi kukuskia unanuka Ila wakakausha,na km bado ipo siku utanuka...
Usimseme Mwenzio vibaya ikiwa humjui kiundani...
Kwa hili uliloleta, linaeleza tabia zako nyingi sana
Huo sio ugonjwa ni uzembe brother wacha wajirekebishe
 
Watu wana private jets na bado wanaumizwa na wanawake, women is not an addiction that you can ho for rehab and baam you're fine again, women are a necessity my dear, hawakwepeki.
Bora hao ni mapenzi tu kawaida na huwezi kukuta wananga wanawake sijui wananuka sijui vile na vile
 
Back
Top Bottom