Duh! Kuna wanawake mnatia aibu jamani

Kwa hiyo watu wa kwenye daladala wana haki ya kunuka?

Mada ipo kwa lengo la kuelimisha,haijalishi mazingira
Mada imekaa kihisia zaid na kimajivuno (haijabalance kwaajili yakuelimisha)
 
Kipindi n

Huo sio ugonjwa ni uzembe brother wacha wajirekebishe
Bro najua umekereka,ila jitahid kumstili binadamu mwenzio, afu km kunamchafu na msafi pia yupo...Chukua unachokiweza nasio kuwasema watu ktk miangaiko yao
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ubora gani Tena?
Ligi [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Nakuaminia sana Cariha. Mpaka siku moja nikataka kuzama PM ili kutesti zali ila nikaogopa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870]
 
Ligi [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Nakuaminia sana Cariha. Mpaka siku moja nikataka kuzama PM ili kutesti zali ila nikaogopa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha Sana usiku huu kwa kweli, uliogopa Nini Mimi Niko cool sana
 
Dawa ya hao wanuka uvundo mawigi ni kuwatapikia (ile ya kurusha matapishi mithili ya mgonjwa wa malaria) kama mmekaa karibu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha Sana usiku huu kwa kweli, uliogopa Nini Mimi Niko cool sana
Ndiyo lilikuwa lengo la comment yangu aisee. Subiri kuna siku nitajichanganya tu vu bin vu utaniona PM. Hiyo siku dah! Labda itabidi kujipigilia K - Vant kwanza ili hata kikinuka mtu unakuwa na kisingizio...

Lala salama aisee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hamna Cha kupiga k vant hapo
 
Wanakuwaga na matatizo sana hawa jamaa, itakuwa wanapua zao binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…