Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Nimesoma kwa mshangao mkubwa taarifa kuhusu ndege ya Watanzania kukamatwa na kushikiliwa na wazungu kisa hawakumlipa mkandarasi baada ya kuvunja mkataba wake. Yaani kumbe hili linawezekana, ukizingua mkandarasi anakufuata nje kiaina.

Hii ni hatari sana, rais Uhuru apunguze ukopaji kutoka kwa hawa watu, maana mindege yetu imejaa huko nje, wanaweza kujichukulia kila mtu yake. Duh noma sana, halafu hawa Wabongo wametunisha misuli juzi kwenye mambo ya makinikia, inabidi wawe makini sana kisheria maana hawa wazungu sio nilivyowadhani

-------------------------------------------------------

airtz.jpg


A Bombardier Q400 Air Tanzania plane. A similar one is being held in Canada over debt. PHOTO | NMG

A commercial aircraft that was expected to be delivered to the national carrier Air Tanzania in July this year has been detained in Canada after the government failed to pay $38 million (Tsh83 billion) owed to a contractor, an opposition member of parliament said on Friday.

Tundu Lissu, the Chadema MP for Singida East, told reporters that the Bombardier Q400 was seized after failure by government to pay the money it owed Canadian Stirling Civil Engineering Limited over a cancelled contract.

The firm had been contracted to construct the Wazo Hill-Bagamoyo road in Dar es Salaam but the government terminated the contract.

The contractor then went to the International Court of Arbitration and won the case.

“The government lost the case in 2010 and was ordered to pay the compensation amounting to $25 million with an interest of eight per cent,” said Mr Lissu.

He said the debt was not paid on time and had risen to $38 million as of June this year.

The failure by the government to pay prompted an order to attach the Tanzanian government assets in Canada, France, Netherlands, Belgium, England and Uganda. So the Bombardier Q400 was seized.

Tanzanian aircraft seized in Canada over $38m debt -Lissu
 
NASA washaenda kotini au wanambwelambwela!

Kama yamefikia haya ya kunyang'anywa hadi ndege halafu Odinga ana uswahiba huko kwenu, tukimchekea naona itakua yale ya birds of a feather flock together, au you can judge a person by his friends or people he/she associates with.

Lakini labda huyu Tundu Lissu analipuka bila kuujua ukweli, vipi si mlimpima mkojo??
 
Kama yamefikia haya ya kunyang'anywa hadi ndege halafu Odinga ana uswahiba huko kwenu, tukimchekea naona itakua yale ya birds of a feather flock together, au you can judge a person by his friends or people he/she associates with.

Lakini labda huyu Tundu Lissu analipuka bila kuujua ukweli, vipi si mlimpima mkojo??
lol! walimpima mkojo
 
Nimesoma kwa mshangao mkubwa taarifa kuhusu ndege ya Watanzania kukamatwa na kushikiliwa na wazungu kisa hawakumlipa mkandarasi baada ya kuvunja mkataba wake. Yaani kumbe hili linawezekana, ukizingua mkandarasi anakufuata nje kiaina.

Hii ni hatari sana, rais Uhuru apunguze ukopaji kutoka kwa hawa watu, maana mindege yetu imejaa huko nje, wanaweza kujichukulia kila mtu yake. Duh noma sana, halafu hawa Wabongo wametunisha misuli juzi kwenye mambo ya makinikia, inabidi wawe makini sana kisheria maana hawa wazungu sio nilivyowadhani

-------------------------------------------------------

airtz.jpg


A Bombardier Q400 Air Tanzania plane. A similar one is being held in Canada over debt. PHOTO | NMG

A commercial aircraft that was expected to be delivered to the national carrier Air Tanzania in July this year has been detained in Canada after the government failed to pay $38 million (Tsh83 billion) owed to a contractor, an opposition member of parliament said on Friday.

Tundu Lissu, the Chadema MP for Singida East, told reporters that the Bombardier Q400 was seized after failure by government to pay the money it owed Canadian Stirling Civil Engineering Limited over a cancelled contract.

The firm had been contracted to construct the Wazo Hill-Bagamoyo road in Dar es Salaam but the government terminated the contract.

The contractor then went to the International Court of Arbitration and won the case.

“The government lost the case in 2010 and was ordered to pay the compensation amounting to $25 million with an interest of eight per cent,” said Mr Lissu.

He said the debt was not paid on time and had risen to $38 million as of June this year.

The failure by the government to pay prompted an order to attach the Tanzanian government assets in Canada, France, Netherlands, Belgium, England and Uganda. So the Bombardier Q400 was seized.

Tanzanian aircraft seized in Canada over $38m debt -Lissu
Ishaachiwa
 
Back
Top Bottom