Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

Nimesoma kwa mshangao mkubwa taarifa kuhusu ndege ya Watanzania kukamatwa na kushikiliwa na wazungu kisa hawakumlipa mkandarasi baada ya kuvunja mkataba wake. Yaani kumbe hili linawezekana, ukizingua mkandarasi anakufuata nje kiaina.

Hii ni hatari sana, rais Uhuru apunguze ukopaji kutoka kwa hawa watu, maana mindege yetu imejaa huko nje, wanaweza kujichukulia kila mtu yake. Duh noma sana, halafu hawa Wabongo wametunisha misuli juzi kwenye mambo ya makinikia, inabidi wawe makini sana kisheria maana hawa wazungu sio nilivyowadhani

-------------------------------------------------------

airtz.jpg


A Bombardier Q400 Air Tanzania plane. A similar one is being held in Canada over debt. PHOTO | NMG

A commercial aircraft that was expected to be delivered to the national carrier Air Tanzania in July this year has been detained in Canada after the government failed to pay $38 million (Tsh83 billion) owed to a contractor, an opposition member of parliament said on Friday.

Tundu Lissu, the Chadema MP for Singida East, told reporters that the Bombardier Q400 was seized after failure by government to pay the money it owed Canadian Stirling Civil Engineering Limited over a cancelled contract.

The firm had been contracted to construct the Wazo Hill-Bagamoyo road in Dar es Salaam but the government terminated the contract.

The contractor then went to the International Court of Arbitration and won the case.

“The government lost the case in 2010 and was ordered to pay the compensation amounting to $25 million with an interest of eight per cent,” said Mr Lissu.

He said the debt was not paid on time and had risen to $38 million as of June this year.

The failure by the government to pay prompted an order to attach the Tanzanian government assets in Canada, France, Netherlands, Belgium, England and Uganda. So the Bombardier Q400 was seized.

Tanzanian aircraft seized in Canada over $38m debt -Lissu
Uhuru Kenyatta kama ni msikivu wa kusikiliza wataalam na hataki habari za shortcuts za kukataa tender process na kuingiza siasa kwenye airlines Kenya haitapata aibu hii.

Tatizo letu Tanzania kwa sasa ni huyu rais anayetaka kufanya kila kitu yeye, anafanya kila kitu kwa pupa kiasi hata akitaka kufanya jambo zuri analifanya kwa pupa linakuwa baya.

Kwa sasa Tanzania uchumi unaanguka na central bank imepunguza interest rate kutoka 16% mpaka kufikia 9%.

Magufuli alibana mzunguko wa fedha ovyo sana, akifikiri anakomoa wabadhirifu,kumbe ni sawa unampa mgonjwa dawa kali sana ya kuua virusi mpaka dawa inatakakuua na mgonjwa mwenyewe.

Mimi sitaki ujinga wa kushabikia Tanzania/ Kenya.

Nataka kusema ukweli tu.

Rais Magufuli anaiharibu nchi kwa ubabe wake. Ameingilia tender process kwa kisingizio cha kuondoa rushwa na ukiritimba, matokeo yake ndiyo haya.

The road to hell is paved with good intentions. The law of unintended consequences applies most charitably when it is least desired.
 
Lakini deni liko palepale , watumishi wa Tanzania msitegemee nyongeza ya mshahara pesa zote zinaenda kulipa madeni ya ndege
Habari ya kununua ndege hizi ilikuwa ni uamuzi wa kijinga kabisa.

Ndege si priority kubwa ya kiuchumi itakayoweza kuzalisha na ku snowball uchumi hivyo.Airlines nyingi zinaendeshwa kwa faida ya very low margin, ndiyo maana nchi kama Marekani airlines zinakuwa very inventive kuweka ma luggage fees etc angalau zipate pesa kidogo zaidi.

Sisi tunaona midege fahari.

Akili za kimasikini sana. This is something you do after you make money, not when you want to make money.
 
Kama yamefikia haya ya kunyang'anywa hadi ndege halafu Odinga ana uswahiba huko kwenu, tukimchekea naona itakua yale ya birds of a feather flock together, au you can judge a person by his friends or people he/she associates with.

Lakini labda huyu Tundu Lissu analipuka bila kuujua ukweli, vipi si mlimpima mkojo??
Aligoma! ila this Tutampima kibabe lazima tujiridhishe! Usikute yuko under influence!
 
Uhuru Kenyatta kama ni msikivu wa kusikiliza wataalam na hataki habari za shortcuts za kukataa tender process na kuingiza siasa kwenye airlines Kenya haitapata aibu hii.

Tatizo letu Tanzania kwa sasa ni huyu rais anayetaka kufanya kila kitu yeye, anafanya kila kitu kwa pupa kiasi hata akitaka kufanya jambo zuri analifanya kwa pupa linakuwa baya.

Kwa sasa Tanzania uchumi unaanguka na central bank imepunguza interest rate kutoka 16% mpaka kufikia 9%.

Magufuli alibana mzunguko wa fedha ovyo sana, akifikiri anakomoa wabadhirifu,kumbe ni sawa unampa mgonjwa dawa kali sana ya kuua virusi mpaka dawa inatakakuua na mgonjwa mwenyewe.

Mimi sitaki ujinga wa kushabikia Tanzania/ Kenya.

Nataka kusema ukweli tu.

Rais Magufuli anaiharibu nchi kwa ubabe wake. Ameingilia tender process kwa kisingizio cha kuondoa rushwa na ukiritimba, matokeo yake ndiyo haya.

The road to hell is paved with good intentions. The law of unintended consequences applies most charitably when it is least desired.
Kwa nini na wewe hukuchukua fomu ugombee kuwa Rais wa Tanzania? Sisi hatupendi kusoma daima jinsi usivyompenda Rais wetu.
 
lol!! zile bombadier zao uchwara? Geza na wenzake bila shaka watapita hapa kimya kimya....niliwaambia ukiona cha mwenzio chanyolewa, tia chako maji...
Pimbi kweli wewe na MK aka shelawadu wa Jubilee. Kwanza tunajua kuwa Jubilee na Chadema mmeungana kupambana na Magufuli pamoja na kujalibu kuhujumu mafanikio ya Tanzania. Swala la Kenya kuhujumu mafanikio ya TZ kupitia viongozi nilamuda mrefu. Mme mkuwa kipindi chanyuma mkijipenyeza kwa wanasiasa Wa CCM ilikufanikisha hill. Ila kutokana na Magufuli kutimua na kuwaweka kando wana CCM wasio wazalendo mmeamia Chadema. Toka Brookside ipewe taarifa na serikali ya Magufuli yakuludisha mitambo iliyo ngoa kwenye kiwanda cha maziwa Arusha na YANA kwenye kiwanda cha General Tyre imekuwa taabu kweli kwa Uhuru. Sasa wewe kuja na ushelawadu Wa Tindu Lissu humu unaonyesha jinsi akili yako niyakuvuka Barabara. Kwanza Canada hakuna kampuni kama hiyo.
IMG_20170819_003546.jpg
IMG_20170819_003546.jpg
 
Na kenya mutakesha sana.... nchi yetu hamuingii.. mlitaka sana tuungane tufunguliane milango ya biashara...munazidi kutunyemelea tu lakini wapi... vipi bomba la mafuta bado inawauma eeh?
 
Kwa nini na wewe hukuchukua fomu ugombee kuwa Rais wa Tanzania? Sisi hatupendi kusoma daima jinsi usivyompenda Rais wetu.
Kwa nini nigombee gunia la chawa?

Usichopenda au usichopenda si hoja.

Nisichopenda na ninachopenda si hoja

Hoja ni ukweli.

Na ukweli ni kwamba Magufuli anaharibu uchumi, anaharibu siasa, anaiharibu Tanzania.

Na huwezi kubishia hilo kwa hoja.

Rais gani anaita mawaziri aliowateua yeye mwenyewe wapumbavu?

Kama mawaziri wake aliowateua yeye mwenyewe ni wapumbavu, basi yeye aliyewateua ni mpumbavu zaidi.

Ila wewe una mahaba ya na huyu mpumbavu hata huwezi kuona ukweli huo.
 
Hali ya uchumi Tanzania ni mbaya,mnachotakiwa kujifunza ni kwamba watu type ya Raila msije kuthubutu kuwapa nchi mtajuta sana,last week tuliingia top 3 ya UNAHAPPIEST COUNTRIES IN THE WORLD,ni kweli kabisa tunajisifu amani lakini watanzania hawana amani ya moyo,hapo bado hatujapigwa kesi za makinikia,jesus christ halafu bado watu wanadai atawale milele.kha.
 
Lakini deni liko palepale , watumishi wa Tanzania msitegemee nyongeza ya mshahara pesa zote zinaenda kulipa madeni ya ndege
Hadi wamachinga kuanza kutumia machine za EFD soon...
 
Back
Top Bottom