Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

Wakenya msipoteze muda kujifunza kwa Tanzania, mtapotea. Mtakuwa mnarudi nyuma badala ya kusonga mbele.
Jifunzeni kwa nchi kama South Africa na Ghana.


Mbububu ni wewe.. tutaendelea kuwatawala hadi mshike adabu, Zanzibar is just a city in Tanzania .... the whole world knows that way ... ,hahaha
 
Boss kwani ndege si zimelipiwa cash?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza biashara ya cash ni ujima. Kama zimelipiwa cash hilo linathibitisha viongozi wetu ni nyumbu. Watu wanachukua mkopo ulio na interest rate ndogo kuliko return on investment ya hela na kuweka hela kwenye sovereign wealth fund na kutumia interest kulipia hivi vimikopo. Ushaelewa akiki hiyo?

Pili.

Kama imelipiwa cash, wanachoikamatia ni kipi?

Umesoma original post? Inataja mkopo ambao haujalipwa.

Mtu ambaye anaacha kulipa mkopo kwa muda mrefu anafanya jambo la kijinga sana, kwa sababu mkopo unavyoachwa bila kulipwa kwa muda mrefu ndivyo interest charges zinavyozidi na credit worthiness ya mkopaji inavyopungua.

Halafu tunasifia utawala huu kwamba uko makini kweli?

Sent from my Kimulimuli
 
Buying aircrafts is investment just like building roads, harbor, railway and other infrastructures punguzeni unyumbu Tanzania is second with many tourist attractions in the world alafu eti una question kuhusu kuwa na National Airlines?

You should even ashamed for the lack of it
Hata kununua sneaker ni investment.

Tatizo, kwa nchi kama Tanzania, hiyo ni priority?

Ndege hizi zimegharimu kiasi gani na zimetengeneza kiasi gani?

Unafahamu biashara ya ndege? Unafahamu kwamba return on investment ya biashara ya ndege ni ndogo sana na ina fluctuate sana kutegemea na bei ya mafuta?

Unafahamu serikali ilishajitoa katika biashara?

Hivi hizo hela zilizotumika kwenye ndege hapo ndipo serikali imeona ndiyo sehemu bira kabisa ya kuwekeza?

Hivi serikali imeshindwa kuboresha miundombinu na kuweka mazingira mazuri kwa mashirika binafsi kustawi?

Ni wazi serikali haiwezi kufanya biashara ya ndege. Ndiyo maana imekopa mikopo miaka yote hii na haijalipa inalimbukiza interest tu. Mtu anayeacha kulioa mkopo na kulimbikiza interest hajui the very basic principles of business and money. Kwa sababu ana bleed money kwenye interest. Kwa nini unatetea ujinga huu wa ku bleed money kama investment?

Ku bkeed money katika interests on unpaid loan nininvestment strategy ya kutoka wapi?



Sent from my Kimulimuli
 
Kwa taarifa nilizonazo kutoka kwa mamlaka za juu wengi mtabe surprised keep on dreaming and calm
Mamlaka zako za juu zimejaa wapumbavu. Kwa mujibu wa rais wako. Mpumbavu mkuu aliyewateua.

Na nikiangalia mikataba waliyoingia na jinsi wanavyo bleed money, sishangai.

Hivyo usijipe matumaini sana kuamini wapumbavu.

Sent from my Kimulimuli
 
We ni bogus hujui bot wameshusha ili kukuza biashara?
Bogus ni wewe usiyejua kwamba Magufuli kwa kiherehere chake cha kuminya mzunguko wa fedha ndiye aliyeua biashara na kupelekea BOT kushusha interest rate.

Na hata wakishusha mpaka ifike negative kama ilivyokuwa Japan, kama wafanyabiashara hawana imani na serikali, kushusha interest rate hakusaidii kitu.

Sent from my Kimulimuli
 
Kama mnadaiwa mlipe, halafu msijifanye wajuaji...
Unyang'au kwa wazungu wekeni pembeni, kuna jamaa kawaletea usukuma sasa wanamnyambarua vipande vipande!
Hahaha kabisa, usukuma wa huyo jamaa wa kuchunga ng'ombe utawaponza WaTz wote hadi walima mchicha.

brain is the beautiful part of the body.
 
haha mkuu wacha kabisa sizonje katuingiza choo cha kike ngoja wamparure upara
[emoji3] [emoji3] wanamparura sizonje au sisi raia?

brain is the beautiful part of the body.
 
Kama yamefikia haya ya kunyang'anywa hadi ndege halafu Odinga ana uswahiba huko kwenu, tukimchekea naona itakua yale ya birds of a feather flock together, au you can judge a person by his friends or people he/she associates with.

Lakini labda huyu Tundu Lissu analipuka bila kuujua ukweli, vipi si mlimpima mkojo??
[emoji3] [emoji3] mbona unatugongelea ivo mkuu!

brain is the beautiful part of the body.
 
Kwanza biashara ya cash ni ujima. Kama zimelipiwa cash hilo linathibitisha viongozibwetu ni nyumbu. Watu wanachukua mkopo ulio na interest rate ndogo kuliko return on investment ya hela na kuweka hela kwenye sovereign wealth fund na kutumia interest kulipia hivi vimikopo. Ushaelewa akiki hiyo?

Pili.

Kama imelipiwa cash, wanachoikamatia ni kipi?

Umesoma original post? Inataja mkopo ambao haujalipwa.

Mtu ambaye anaacha kulipa mkopo kwa muda mrefu anafanya jambo la kijinga sana, kwa sababu mkopo unavyoachwa bila kulipwa kwa muda mrefu ndivyo interest charges zinavyozidi na credit worthiness ya mkopaji inavyopungua.

Halafu tunasifia utawala huu kwamba uko makini kweli?

Sent from my Kimulimuli
Tanzania nchi ya nne duniani kwa ukuaji
 
Hata kununua sneaker ni investment.

Tatizo, kwa nchi kama Tanzania, hiyo ni priority?

Ndege hizi zimegharimu kiasi gani na zimetengeneza kiasi gani?

Unafahamu biashara ya ndege? Unafahamu kwamba return on investment ya biashara ya ndege ni ndogo sana na ina fluctuate sana kutegemea na bei ya mafuta?

Unafahamu serikali ilishajitoa katika biashara?

Hivi hizo hela zilizotumika kwenye ndege hapo ndipo serikali imeona ndiyo sehemu bira kabisa ya kuwekeza?

Hivi serikali imeshindwa kuboresha miundombinu na kuweka mazingira mazuri kwa mashirika binafsi kustawi?

Ni wazi serikali haiwezi kufanya biashara ya ndege. Ndiyo maana imekopa mikopo miaka yote hii na haijalipa inalimbukiza interest tu. Mtu anayeacha kulioa mkopo na kulimbikiza interest hajui the very basic principles of business and money. Kwa sababu ana bleed money kwenye interest. Kwa nini unatetea ujinga huu wa ku bleed money kama investment?

Ku bkeed money katika interests on unpaid loan nininvestment strategy ya kutoka wapi?



Sent from my Kimulimuli
Kuhusu Swala la uwekezaji Tanzania
 
Tanzania nchi ya nne duniani kwa ukuaji

Unafahamu kwamba ukuaji tu haukwambii chochote?

Unafahamu kwamba mtu aliyekuza uchumi wake kutoka dola moja kwenda dola kumi amekuza uchumi wake mara kumi zaidi ya mtu aliyekuza uchumi wake kutoka dola bilioni moja kwenda dola bilioni mbili?

Unafahamu kwamba unaweza kukuza uchumi halafu uchumi ukaishia kwenda nje ya nchi?

Sent from my Kimulimuli
 
Back
Top Bottom