Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

Kwanza kabisa nitake radhi kwa ku suggest nakopesha wauza unga.

Kabla ya hapo sitaweza kujibizana na wewe na wala wewe hutakiwi kujibizana na mtu anayeweza kukopesha wauza unga.

Sent from my Kimulimuli
Hapana boss, naomba tu unionyeshe ni wapi nitapata ROI ya 30% ili nikakope CRDB kwa 21% nibakie na faida ya 9%...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana boss, naomba tu unionyeshe ni wapi nitapata ROI ya 30% ili nikakope CRDB kwa 21% nibakie na faida ya 9%...

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikashifu. Nimekuambia ondoa kashfa ili tuendeleze mazungumzo kama watu tunaoheshimiana.

Kama nina sehemu ambayo napata super return unategemea nikuambie wakati umenikashifu na kukataa kuniomba radhi?

Wewe ni mjinga kiasi hicho kufikiri kwamba mimi ni mjinga kiasi hicho?

Sent from my Kimulimuli
 
Wanaomlaumu na kumponda Mh mtawala, mtakuja kumuelewa na kumkubali siku za usoni.
Nchi ilishaaribiwa ktk vipind vya watawala waliopita, yeye kwasasa anajaribu kuiweka tz katk hali ya msawazo kwanza.
Wewe ndiye huelewi kwamba hata kama nchi iliharibika huko nyuma, yeye kwa pupa zake anaiharibu zaidi.

Magufuli ana pupa sana. Kauli zake tu zinaangusha uchumi.

Tayari mgogoro wa Acacia na kauli yake kwamba atataifisha migodi ya dhahabu vishafanya wawekezaji wa nje na ndani wakae magutu kuacha kufanya investment waangalie upepo kwanza.

Tayari mzunguko wa fedha ushaharibuka kiasi BOT ineshusha riba kutoka 16% moaka 9%.

Uchumi ushaanza kuanguka. Sababu kubwa ni serikali kufanya mambo kwa pupa za Magufuli.



Sent from my Kimulimuli
 
4. Tanzania will become a pariah. External investors will fear and leave. Internal investors will scake back adversely.

5. The interest rate will fall even further to no effect since investor confidence will be so low.

Put your predictions here and let us revisit in 2-3 years.

The best way tovsettke an argument is to put it throughbthevtest if time.



Sent from my Kimulimuli

Kama wanakuja kwasababu ya kutuibia, kwanini waje? Leo hii Acacia are praised wakati mlikuwa mnalalama arahaba wa 3%?

Unasema investors watakimbia wakati tunawaona kila kukicha wakipishana kutuma wawakilishi wao pale magogoni.. And soon plant ya kuchakata inaanza kujengwa pale Lindi, na utitiri wa viwanda vinajengwa nyie endeleeni kuota..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikashifu. Nimekuambia ondoa kashfa ili tuendeleze mazungumzo kama watu tunaoheshimiana.

Kama nina sehemu ambayo napata super return unategemea nikuambie wakati umenikashifu na kukataa kuniomba radhi?

Wewe ni mjinga kiasi hicho kufikiri kwamba mimi ni mjinga kiasi hicho?

Sent from my Kimulimuli
Naomba radhi mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wanakuja kwasababu ya kutuibia, kwanini waje? Leo hii Acacia are praised wakati mlikuwa mnalalama arahaba wa 3%?

Unasema investors watakimbia wakati tunawaona kila kukicha wakipishana kutuma wawakilishi wao pale magogoni.. And soon plant ya kuchakata inaanza kujengwa pale Lindi, na utitiri wa viwanda vinajengwa nyie endeleeni kuota..

Sent using Jamii Forums mobile app

Na kama hawaji kwa ajili ya kuwaibia?

Nani ka praise Acacia? Wapi?

Unajuaje wanaotuma wawakilishi wao Magogoni ni investors na si matapeli?

Plant inayojengwa Lindi ni ya kuchakata nini? LNG? Unafahamu LNG is among the most expensive energy solutions? Unafahamu how challenging are the technicalities?

Utitiri wa viwanda vipi? Vya shoe shine?



Sent from my Kimulimuli
 
Pesa kidogo hizi zitalipwa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wahenga walisema, mdharau mwiba, mguu huota tende.

Pia walisema mali bila daftari, hupotea bila habari.

Tena walisema haba na haba, hujaza kibaba.

Kisha wakamalizia, usipoziba ufa, utajenga ukuta.

Si mimi. Wahenga hao.

Sent from my Kimulimuli
 
Na kama hawaji kwa ajili ya kuwaibia?

Nani ka praise Acacia? Wapi?

Unajuaje wanaotuma wawakilishi wao Magogoni ni investors na si matapeli?

Plant inayojengwa Lindi ni ya kuchakata nini? LNG? Unafahamu LNG is among the most expensive energy solutions? Unafahamu how challenging are the technicalities?

Utitiri wa viwanda vipi? Vya shoe shine?



Sent from my Kimulimuli
Hahahahaha mkuu nadhani negativity is your best hobby..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam. Huo ndiyo uungwana.

Radhi umepata.

Tuendelee na mjadala.

Uliza unachotaka kuuliza upya maana radhi hii imeendana nankusahau yote uliyoandika ili nisiwe na kinyongo chochote nawe.

Sent from my Kimulimuli
Ni wapi au kwenye investment ipi nitapata return kubwa kuzidi ya mkopo nikopao..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wapi au kwenye investment ipi nitapata return kubwa kuzidi ya mkopo nikopao..

Sent using Jamii Forums mobile app

Swali lako halijakamilika kwa njia zaidi ya moja.

Kwanza, investment ina return. ROI.

Mkopo hauna return. Ukiuliza "ni wapi au kwenye investment ipi nitapata return kubwa kuzidi ya mkopo nikopako" ni kama umeuliza "rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani?"

Kama swali lako ni "nibwapi au kwenye investment ipi nitapata return kubwa kuzidi interest rate ya mkopo nikopako" swali hili ni logical na linaeleweka kwa sababu linataka kulinganisha rates, rate of return on investment vs interest rate on loan.

Ingawa swali linalotaka ku compare rates lina make sense, swali hilo bado halijibiki kama hujaweka mkopo wako umeupata wapi na kwa interest rate gani.

Ukiniuliza swali la interest rate bila kitaja interest rate unakuwa kama yule mfalme aliyemuita mtafsiri ndoto, akamwambia "nataka unitafsirie ndoto yangu". Halafu mtafsiri ndoto akamwambia mfalme, "naam, hiyo ndiyobkazi yangu, niambie ndoto yako ilikuwaje na mimi nitakutafsiria". Halafu mfalme akamwambia " nataka unitafsirie ndoto. Lakini tatizo nineisahau ndoto yangu. Hivyo kwanza nataka uniambie ndoto yangu ilikuwaje, kisha initafsirie".
.

Now thats bonkers.

Niambie mkopo wako umekopa wapi. Niambie umekopa lini. Niambie umepata interest rate asilimia ngapi. Kwa ushahidi gani. Halafu tuendelee kuelekezana.

Sent from my Kimulimuli
 
Swali lako halijakamilika kwa njia zaidi ya moja.

Kwanza, investment ina return. ROI.

Mkopo hauna return. Ukiuliza "ni wapi au kwenye investment ipi nitapata return kubwa kuzidi ya mkopo nikopako" ni kama umeuliza "rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani?"

Kama swali lako ni "nibwapi au kwenye investment ipi nitapata return kubwa kuzidi interest rate ya mkopo nikopako" swali hili ni logical na linaeleweka kwa sababu linataka kulinganisha rates, rate of return on investment vs interest rate on loan.

Ingawa swali linalotaka ku compare rates lina make sense, swali hilo bado halijibiki kama hujaweka mkopo wako umeupata wapi na kwa interest rate gani.

Ukiniuliza swali la interest rate bila kitaja interest rate unakuwa kama yule mfalme aliyemuita mtafsiri ndoto, akamwambia "nataka unitafsirie ndoto yangu". Halafu mtafsiri ndoto akamwambia mfalme, "naam, hiyo ndiyobkazi yangu, niambie ndoto yako ilikuwaje na mimi nitakutafsiria". Halafu mfalme akamwambia " nataka unitafsirie ndoto. Lakini tatizo nineisahau ndoto yangu. Hivyo kwanza nataka uniambie ndoto yangu ilikuwaje, kisha initafsirie".
.

Now thats bonkers.

Niambie mkopo wako umekopa wapi. Niambie umekopa lini. Niambie umepata interest rate asilimia ngapi. Kwa ushahidi gani. Halafu tuendelee kuelekezana.

Sent from my Kimulimuli
Kwaiyo wewe unayelaumu serikali kununua ndege on cash basis hizo interest rates za mkopo na ROI ulikuwa unazijua au unakisia tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Jamaa analalamika serikali kununua ndege, wakati hazipo walikuwa wanalalamika kwanini hazipo.
Arguing with these people is a waste of time
 
Back
Top Bottom