Kenya interest rate ya loan ni 14% p.a. Kuna kampuni (investment) chache tu ambazo zinaweza kukupatia ROI ya above 14% p.a. Ndio maana kampuni nyingi hazipendi kuomba loan kwa sababu unless wako na a high growing business, they can go bankrupt. Ata wewe jaribu kuomba loan at 14% na uinvest kwa biashara inakuletea mapato ya 10% p.a uniambie kama hautakuwa bankrupt.
Hivyo unavyosema ni sawa kwa most cases.Kuna mshkaji juzi kapata US $15,000 kumaliza mambo yake at around 14%. Na investment nyingi standard ni kweli zinatoa ROI ya around 10%.
Lakini hilo halina maana hakuna investment inayotoa above 14%.Kinachotokea tu ni kwamba the more a business gives ROI, the more risk it entails.Mimi nimezungusha $700 mpaka nikaifikisha just under $4,000 in a week kwenye options trading hivi karibuni tu. Kuna siku nimeondoka na faida ya $5,200. Siku moja. Mchana nimepiga $2,200 kabla ya lunch, jioni nikapiga $3,000 nilivyorudi nyumbani kabla ya dinner, na hapo nilianza na kama $2,000. Nikawa greedy nikazipandisha zikafika mpaka $23,000 nikaona nichukue a low risk Dow Jones position, Trump akabwatuka, Dow Jones Futures zikawa zinashuka mpaka nikapoteza $23,000. Lakini nazirudisha in a week or two.
Kwa hiyo usiseme hakuna ROI ya zaidi ya 14%, labda kama unaangalia low risk traditional investments za kujenga biashara ya brick and mortar. Lakini kama unacheza na akili yako online Futures trading unaweza kusema uanze na $1000 halafu uchukue low risk positions za 10% returns, hizi zime mature almost always zitakupa hela, so unaanza na $1,000, unachotakiwa kufanya ni ku time 20 minutes to time, ukikuta contract iko $90 that means 90% probabilty of maturing into $100 and making you money. So what you do is you buy those, 10 of them, at $900. After 20 minutes your $900 turns into $1000 and because you had $1,000 originally you end up with $1,1000 (well, minus $20 commissions so really $1080.
That's almost 10% return on the hour every hour Sunday 6 PM to Friday 4:15 PM EST.
If you want to make this a full time job you can start with $1,000 and reinvest that $1000 every hour (therefore not risking the profit, even though the chance of a 90% mature option to reverse to $0 is only 100%- 90% = 10%). If you do that, you can make $80 times 24. That's a cool $1920 from $1000 per day. That's almost 100% ROI. If you want to be risky and chose to enter at $50 you can make 100% ROI at a go.But that's more like a flip of the coin gambling than investment, because a $50 trade has a 50/50 chance of maturing to $100 or getting down to $0. And you only get paid if it matures to $100. Think about it, I made $ 5200 with 2 trades.I did not even need to do this around the clock.
If you start with $10,000 do the same math and multiply everything by 10.
Why limit yourself to conventinal investments while there are many legal, government regulated opportunities that one just need to explore?
Huyo jamaa yangu hapo juu anafikiri kuuza unga ndiyo njia pekee ya ku make money.
With this thing I have a better, safer and faster way of being a millionaire than kuuza unga. I have seen the strategy work too. I was just a bit too greedy and Trump just killed the Dow Jones in a way that happenned only for the second time this year.Otherwise I would have been well on my way to $50,000 now. From a mealy initial $2,000.
It's all about strategy. We don't have to be like dynosaurs following the same business patterns and ideas.
So you see, 14% is hardly a limit on ROI. One can get as high as 500% very realistically in a day. Even higher if one has nerves of steel and appetite for risk.
If you want to test online, let's get a demo account, you will get $25,000 demo money, and you can play around with that money using the low risk strategy of entering contracts at $90.
Then let's compare notes.
One thing I have noticed though is that this - at least for the platform I am using- a US regulated exchange and people in some places outside the US cannot register.
Ukiachana na hii ambayo ni personal zaidi - kampuni inaweza ku set up a trading desk na kuajiri watu wafanye trading- I am sure kuna investment opportunities za kurudisha better than 14% ROI. Ni suala la research, strategy na risk appetite tu.