Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

lol!! zile bombadier zao uchwara? Geza na wenzake bila shaka watapita hapa kimya kimya....niliwaambia ukiona cha mwenzio chanyolewa, tia chako maji...

Loh, kweli mkuu!! Mkuu hivi Dreamliner yenu ipo wapi siku hizi - mliinunua au mli wet lease kutoka sehemu.
 
Nashangaa hadi leo badi ndege yenu haijaachiwa, mumeishia kumkamata Lissu. Lipeni aisei hii ni aibu balaa.

Mkuu MK254, mbona kudaiwa/madeni ni jambo la kawaida sana sana, hata taifa Tajiri kama Merikani nayo inadaiwa - we sema it pays kuwa muungwana kwa kulipa madeni ya watu, Wenzetu ngozi nyeupe ukiwafanyia ujanja wanajua wapi pa kuku-corner na asikudanganye mtu wazungu wote wa magharibi lao moja - wakitaka kufanya kweli utajuta kuzaliwa.
 
Mkuu MK254, mbona kudaiwa/madeni ni jambo la kawaida sana sana, hata taifa Tajiri kama Merikani nayo inadaiwa - we sema it pays kuwa muungwana kwa kulipa madeni ya watu, Wenzetu ngozi nyeupe ukiwafanyia ujanja wanajua wapi pa kuku-corner na asikudanganye mtu wazungu wote wa magharibi lao moja - wakitaka kufanya kweli utajuta kuzaliwa.

Deni ni jambo la kawaida hilo linaeleweka, lakini ukiona inafikia hadi vitu vyako vikamatwe ili ulipe basi inakupa sifa mbaya hata kwa wanaokusudia kukukopesha kesho.
 
Deni ni jambo la kawaida hilo linaeleweka, lakini ukiona inafikia hadi vitu vyako vikamatwe ili ulipe basi inakupa sifa mbaya hata kwa wanaokusudia kukukopesha kesho.

Ni kweli mkuu ukikwepa kulipa madeni ya watu unakuwa blacklisted hilo Waswahili hawalioni badala yake wanakimbilia kutumbukiza siasa kwa mambo ambayo ni obvious kabisa! Wanalahumu watu ambao wanasema ukweli bila sababu za msingi, kisa? Msemaji anatoka chama cha upinzani ni hilo tu, wanasahau kwamba na wao ni Watanzania wenzetu wenye uchungu wa Taifa lao kama sisi wengine tulivyo.

Inashagaza kweli kweli - Mkuu, ni as if hawaelewi madhumuni vya kuanzisha vyama vya upizani Nchini - vilianzishwa kusimamia Serikali iliyopo madarakani ili isilale usingizi/kujisahau - tatizo Wafrika wanachukulia wapinzani kama ni ma traitors/hawana uzalendo wakati wakijua hiyo si kweli hata kidogo, we mtu kusema ndege yetu imekamatwa Canada kutokana na kutekeleza amri ya mahakama kwani wapinzani wakitumbusha hilo kuna ubaya gani - mbona tena Wizara ilikuja kukubali baadae kwamba kuna tatizo, ndio maana ndege ambayo ilipaswa kuletwa nchini mwezi wa saba bado imekwama huko Canada,je, waliona wakimwambia ukweli JPJM atawatimua kazi au?
 
Back
Top Bottom