Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Watu wako desperate. Ukiona hivyo ujue huko kwingine wanaona kama vile hawapati haki zao.Ule ujinga wa maigizo hatutaki,safi Sana Rais..
Haiwezekani kila mwenye tatizo amtafute Rais.
Nimependa Sana hii, haya maigizo ya kijinga ifike muda tuyapuuze yanaleta unafiki na utwana kwa viongozi wetuUle ujinga wa maigizo hatutaki,safi Sana Rais..
Haiwezekani kila mwenye tatizo amtafute Rais.
Sasa kama hawasaidiwi waende kwa nani. Acheni kupwekesha jukumu la Rais.Ule ujinga wa maigizo hatutaki,safi Sana Rais..
Haiwezekani kila mwenye tatizo amtafute Rais.
Wewe mpumbavu unaona ujinga!Ule ujinga wa maigizo hatutaki,safi Sana Rais..
Haiwezekani kila mwenye tatizo amtafute Rais.
Ach roho ngumu wew unataka kunambia unapoona kuna .msaada hauwezi kwendi sio kama wewe umepata basi wenzako ndo watakuwa nachoUle ujinga wa maigizo hatutaki,safi Sana Rais..
Haiwezekani kila mwenye tatizo amtafute Rais.
Mtanikumbuka!!!¡Ule ujinga wa maigizo hatutaki,safi Sana Rais..
Haiwezekani kila mwenye tatizo amtafute Rais.
Angeweza kuongea kiupole kidogo kuliko alivyofanya…kuna watu wanamuona samia kama mama wa kambo, hata afanye jema lipi bado wataona dosari moja tu. Si kwamba mimi ni mfuasi wake ila kutaka samia awape vibe ya mtangulizi wake ni kumuonea
Maigizo nani kayaleta?Nimependa Sana hii, haya maigizo ya kijinga ifike muda tuyapuuze yanaleta unafiki na utwana kwa viongozi wetu
Sukuma gang Wana Hali mbaya.kuna watu wanamuona samia kama mama wa kambo, hata afanye jema lipi bado wataona dosari moja tu. Si kwamba mimi ni mfuasi wake ila kutaka samia awape vibe ya mtangulizi wake ni kumuonea
Hawa jamaa ni wajinga sana! Rais analipwa na kulishwa na kodi za watanzania! Sasa yupo hapo kwa ajili ya tumbo lake au watanzania! Rais akikosea lazima asemwe yeye ni nani?Maigizo nani kayaleta?
Ingeuwa wakati wa Magufuli mngesema hivyo.
Samia angepungukiwa nini kama angemsikiliza na kumpa mtu wa kumusaidia wa karibu zaidi?
Acheni kujifanya wapambe masiokuwa na msaada kwa Wananchi. Au kwa vile ni Urais wa Mchongo ndo maana wananchi wakae pembeni.
Sukuma gang Wana Hali mbaya.
Maigizo yote haya yaliletwa na Magufuli kwa kutaka cheap popularity na kujifanya eti anapenda Saana wanyonge.Maigizo nani kayaleta?
Ingeuwa wakati wa Magufuli mngesema hivyo.
Samia angepungukiwa nini kama angemsikiliza na kumpa mtu wa kumusaidia wa karibu zaidi?
Acheni kujifanya wapambe masiokuwa na msaada kwa Wananchi. Au kwa vile ni Urais wa Mchongo ndo maana wananchi wakae pembeni.