All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,453
- 2,569
Kila utawala na mambo yake
==========
Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae.
Tukubali kubadilika