Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Rais amekosea kutomsikiliza ila mwenye shida amekosea zaidi kulazimisha kukatisha hotuba.
Mama Samia anatoa hutuba unamkatisha ili useme shida yako. Why usumsubiri amalize hotuba yake kwanza?
Huyo mwenye shida ni mnyonge asiejua hata huo utaratibu wa kusubiri. Yeye anachojua ni kupaza sauti tu kuomba msaada.
Angemsikikiza ili ajue atakapo kwenda kuona alichoandika alinganishe na maneno mubashara kutoka kwa muhusika.
Usipende kurahisisha mambo hujui mtu anamaumivu ya kuonewa kiasigani.