Duh! Rais Samia amkataa mama mnyonge aliyetaka kumlilia kama Magufuli. Nenda kakae…

Duh! Rais Samia amkataa mama mnyonge aliyetaka kumlilia kama Magufuli. Nenda kakae…

K

Kwani kuna ubaya hupi,?hata angelimkabidhi kwa Waziri wa sheria au wasaidizi wake,kwani alikuwa anaambiwa atoe ukumu? Samia anausaidizi wowote kwa Watanganyika wa hali ya chini,labda kwa Mafisadi,ana roho mbaya
Wale wasaidizi wake ndio wapo karibu zaidi hivyo ni rahisi kupitia nyaraka na kuona tatizo liko wapi na hapo ndipo atamkabidhi kwa waziri kama kupitia kwa waziri ndio ufumbuzi wa tatizo lake,sasa shida hiko wapi? Kwanini mnalazimisha afanye kama Magufuli? mbona yeye hakumuiga Kikwete bali aliamua kushughulika kivyake!
 
Samia angefanya hivyo unavyo taka afanye asingekuwa Samia Tena, angekuwa wewe. U want Samia to be you. Subiri wewe uchaguliwe kuwa Rais halafu ndo ufanye hivyo unavyo taka Samia afanye.

Samia yupo sahihi kabisa
Maigizo nani kayaleta?

Ingeuwa wakati wa Magufuli mngesema hivyo.

Samia angepungukiwa nini kama angemsikiliza na kumpa mtu wa kumusaidia wa karibu zaidi?

Acheni kujifanya wapambe masiokuwa na msaada kwa Wananchi. Au kwa vile ni Urais wa Mchongo ndo maana wananchi wakae pembeni.
 
Rais amekosea kutomsikiliza ila mwenye shida amekosea zaidi kulazimisha kukatisha hotuba.
Labda ana uzoefu wa kila mara tu hotuba ikishakutolewa, hakuna nafasi ya kusikiliza maswali ama maoni ya wananchi. Kwa hiyo kaona amuwahi tu!

Najaribu kutafuta positivity kwenye lengo la huyo aliyeambiwa akae !
 
Maigizo yote haya yaliletwa na Magufuli kwa kutaka cheap popularity na kujifanya eti anapenda Saana wanyonge.

Upumbavu mtupu
Halujifanya aliwapenda kwa dhati mkuu, roho yako mbaya ukiona mnyonge anaumia ndio furaha yako nikuambie tu kama haitajirudia kwako basi uzao wako utaonja shubiri ya unyonge siku moja
 
Rais amekosea kutomsikiliza ila mwenye shida amekosea zaidi kulazimisha kukatisha hotuba.
Hakukuhitajika jaziba, ilikuwa ni kumueleza, kuwa "sawa mama nitakusikiliza ngoja nimalize hili. Wasadizi wangu nikumbushe jambo hili". Kama yule mama angeng'ang'ania basi ange kuwa amekosea zaidi. Lakini kwa hulka wala hakuonyesha kuwa ni mkorofi wa hivyo.

Mitego mingine aikwepe !
 
huu utaratibu wa Rais au Waziri kufikiwa na kila mtu sio mzuri maana watanzani wenye shida tuko wengi sana na wote tunatamani kumfikia mtoa maamuzi ya haraka shida zetu zikapata suluhu..

Lakini pia ni kengele ya shida kutosikilizwa na kumalizwa na watu wa chini, Rais kupitia mamlaka aaigize kuwe na dawati wilani na mkoani kwa mikoa yote kwa wananchi kupeleka shida zao mbalimbali na Rais awe na watu wake wa chini kwa chini kwenye hata madawati watakaosimami na kuhakikisha shida zinatatuliwa...
 
Maigizo nani kayaleta?

Ingeuwa wakati wa Magufuli mngesema hivyo.

Samia angepungukiwa nini kama angemsikiliza na kumpa mtu wa kumusaidia wa karibu zaidi?

Acheni kujifanya wapambe masiokuwa na msaada kwa Wananchi. Au kwa vile ni Urais wa Mchongo ndo maana wananchi wakae pembeni.
Mama Samia, anafanya kazi yake bila kiki kilichofuatia happ muulize yule Mama msaada aliyopewa kutoka kwa wasaidizi wa rais kupata haki yake siyo kila kitu raiis aaeme kwenye kipaza sauti.
 
Mtu mweusi anahitaji unyapara ili umuongoze vizuri na atimize majukumu yake...kunapaswa kuwa na vitengo ndani ya vitengo, taasisi ndani ya taasisi...hizo taasisi na vitengo vinakuwa moja kwa moja kwenye mamlaka ya Urais.... hapi ndipo Rais unapaswa kutokuwa na huruma na wapumbavu, wakupotezwa wapotezwe, wakutekwa watekwe, wakufa wafe......
 
huu utaratibu wa Rais au Waziri kufikiwa na kila mtu sio mzuri maana watanzani wenye shida tuko wengi sana na wote tunatamani kumfikia mtoa maamuzi ya haraka shida zetu zikapata suluhu..

Lakini pia ni kengele ya shida kutosikilizwa na kumalizwa na watu wa chini, Rais kupitia mamlaka aaigize kuwe na dawati wilani na mkoani kwa mikoa yote kwa wananchi kupeleka shida zao mbalimbali na Rais awe na watu wake wa chini kwa chini kwenye hata madawati watakaosimami na kuhakikisha shida zinatatuliwa...
Hilo dawati/madawati hayataasaaidia mtu yoyote ikiwa wenye nafasi ya kufanya hivyo wamegoma kutoa msaada.
Kwa watanzania Hawa, bila pesa hakuna msaada hata ufanyeje.
Kuna mtu kanyanyaswa na halmashauri, kaenda kwa mkurugenzi holaaa, kaenda kwa mkuu wa wilaya holaaa, kaenda kwa mkuu wa mkoa holaaa kote huko hakuna anayempa majibu.
Huu ndio uhalisia wa sehemu nyingi nchini.
 
Hilo dawati/madawati hayataasaaidia mtu yoyote ikiwa wenye nafasi ya kufanya hivyo wamegoma kutoa msaada.
Kwa watanzania Hawa, bila pesa hakuna msaada hata ufanyeje.
Kuna mtu kanyanyaswa na halmashauri, kaenda kwa mkurugenzi holaaa, kaenda kwa mkuu wa wilaya holaaa, kaenda kwa mkuu wa mkoa holaaa kote huko hakuna anayempa majibu.
Huu ndio uhalisia wa sehemu nyingi nchini.

ndio maana nikasema kwenye hayo madawati Rais anakuwa na watu wake wachini kwachini kutoka kitengo wanaohakikisha kila kero inatatuliwa..na Mzembe report inakwenda kwake straight...

Kifupi watendaji na viongozi wa Africa bila unyapara hawawezi kufanya kazi ni blah blah tu...
 
Mama Samia, anafanya kazi yake bila kiki kilichofuatia happ muulize yule Mama msaada aliyopewa kutoka kwa wasaidizi wa rais kupata haki yake siyo kila kitu raiis aaeme kwenye kipaza sauti.
Nitampata wapi huyo mama?

Mama kabagazwa hivyo unataka kusema nini?

Rais kakosa ukomavu wa kisiasa kabisa.
 
Back
Top Bottom