TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nashukuru sana kwa taarifa, za mama yule kusaidiwa. Hata hivyo, lugha ya kisiasa ilitakiwa pale ili kutuliza hali ya hewa.Mama Samia, anafanya kazi yake bila kiki kilichofuatia happ muulize yule Mama msaada aliyopewa kutoka kwa wasaidizi wa rais kupata haki yake siyo kila kitu raiis aaeme kwenye kipaza sauti.