Duh! Rais Samia amkataa mama mnyonge aliyetaka kumlilia kama Magufuli. Nenda kakae…

Duh! Rais Samia amkataa mama mnyonge aliyetaka kumlilia kama Magufuli. Nenda kakae…

Angeweza kuongea kiupole kidogo kuliko alivyofanya…
Wewe hujui kitu chochote alichokuwa akikifanya jpm kwa sasa ni lazima kifutike haraka sana?

Hata wateulevwa jpm waliobaki wa sasa ni wachache sana wote lazima waonfoke.

Pia wote walotolewa madarakani na jpm iwe kwa wizi au niji lazima warudishe.

Sasa kwa hili lililotokea angemsikiliza ingeonekana anafata ya jpm.

Hapo kiustaarabu, alitakiwa amute mtu ( wasaidizi wake) amwambie msikilie huyo mama.
 
Kuna watu humu jukwaani yabidi tuwafanyie mpango waolewe na hiki KIITWACHO sukuma gang maana kila mtoa ushauri asiokubaliana nao wanambatiza sukuma gang. Wamekuwa kama makahaba.
Hili neno la sukuma gang ni icon term ya kumchafua Magufuli liloanzishwa na mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wadhulumaji, wakwepa kodi, wahujumu uchumi, magaidi, wavivu
 
Kwa hili maza nakupa tano, utasikiliza wangapi? mtindo huu ulioasisiwa na marehemu haukuwa mzuri, tuna watendaji kibao kila ngazi, kuna wawakilishi wa Rais kibao - kama kweli wananchi wana matatizo hadi wanataka kumwona Rais pekee yake basi tukubali watanzania kwamba tuna mfumo mbovu wa utawala - na sisi tunaodai KATIBA MPYA nikweli tuna hoja ya msingi.
Utendaji huo wa aina ya Kikwete ulipelekea mpaka kinvs Mnyika wakamwita ni rais dhaifu
 
kuna namna kila mtu anahitaji kupendwa na mtu kwa wanasiasa ni hivyo zaidi wao wanahitaji kupendwa na watu si Samia wala Magufuli mwanasiasa bora ni yule anayependwa na watu na kama Magufuli alifanikisha hilo au alikuwa analipambania hilo Basi ni Mwanasiasa Bora sana....... hii "mama anaupiga mwingi...." na kujenga madarasa kwa pesa za msaada wa covid zote ni jitihada za kutaka kupendwa na watu
Nyie wanyonge hamuelewi hata hizo pesa za kujenga hayo madarasa haijapewa Tz tu,hata Rwanda pia nayo imepewa na ikajenga madarasa 22,000.

Kumbe wanyonge Kama kawaida yenu mlidhani Ni pesa zimekopwa ili awaonyeshe anawapenda 😄😄😄😄😄😄
 


==========

Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.

Ukitaka ujue roho mbaya ya mwanamke awe na; 1. Pesa/ Mali
2. Wadhifa/Cheo
 


==========

Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.

Staged events za kishamba sana.
 
Magufuli huyu mbona wanakagera walimlilia kuhusu tetemeko majibu yake yalikua.

Mriponichagua nirisema nitareta tetemeko?

Mto ngono nyie, katerero nyie, ukimwi nyie , tetemeko nyie.

Na wewe mkuu wa wiraya nikuereze ukwerii hakuna chakura cha serikali , serikari haina shamba .

Tetemeko limeiumiza serikari na wananchi hivyo kira mmoja katika upande wake abebe msaraba wake.

Mwafwaa.
 
Anataka mahakama itende haki wakati yeye hatendei wananchi haki kwa kuhamasisha ufisadi!🐒🐒🐒
View attachment 2105423

Anasema watu wale kwa urefu wa kamba…wanyonge kero zao hawatatuliwi wanakimbilia juu anawarudisha kwa mafisi…

Halafu watu humu wana praise na kuworship eti alichofanya ni sahihi kweli mnyime binadamu pesa na elimu utamtawala milele…
 
"Kwa bahati mbaya sana serikali haiwezi kutoa haki bila kupitia mahakama"

Nani anamwandikia hotuba huyu Mama ? She needs help! She is a lightweight.

Mfumo wa mihimili ya nchi inayosigana ni bahati mbaya sana!

Samia amchukue Januari akamsaidie kuandika hotuba, kule Nishati hapawezi.
 


==========

Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.

Hii sio awamu ya ujinga, Sasa Samia angeendesha kesi ampe huyo bwege ushindi? Taratibu zinafuatwa, sukuma gang bado mna wenge
 


==========

Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.
Mama yupo sahihi, huyo mlalamikaji afuate taratibu za upatikanaji wa haki, naomba turejee kwa yule mama aliyetoa shutuma nzito sana mbele ya Mh.Magufuli, lakini baadaye ilikuja kubainika kuwa malalamiko hayakuwa na ukweli wowote

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom