Duh! Rais Samia amkataa mama mnyonge aliyetaka kumlilia kama Magufuli. Nenda kakae…

Duh! Rais Samia amkataa mama mnyonge aliyetaka kumlilia kama Magufuli. Nenda kakae…



==========

Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.


634D8094-B22E-4D3F-B2B3-F3E9BDF34FDC.jpeg
 


==========

Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.


In TZ, once the President turns away a protesting person without even trying to listen to him/her, it’s over. The protesting person’s situation will just get worse after that!
 
Rais anaongea then mtu anamkatisha na watu wanaona jibu alilopewa huyo mama hakustahili..wtf..sukumer gang tulieni.


Umeshawahi kubanwa na haja kubwa bara barani Mara paaap ukaona choo?! Kama bado tema mate chini,ndio sawa na huyo mama alivyomuona mh Raisi
 
Wapiga kura hao mkuu lazima kubalance mambo nao hufanya makosa ili mkosane. HIYO KURA IMEPOTEA HIYO
Wapiga kura? Labda ungesema waandamanaji. Hivi Magu alipigiwa kura zile na zile za serikali za mitaa? Acha kura ipotee kama huwa zinapotokea.
 
Hakukuhitajika jaziba, ilikuwa ni kumueleza, kuwa "sawa mama nitakusikiliza ngoja nimalize hili. Wasadizi wangu nikumbushe jambo hili". Kama yule mama angeng'ang'ania basi ange kuwa amekosea zaidi. Lakini kwa hulka wala hakuonyesha kuwa ni mkorofi wa hivyo.

Mitego mingine aikwepe !


Wanawake siku zote ni watu wa Jazba, nimegundua Mama samia ni mtu wa Jazba zaidi waenga walisema tabia haina dawa

Wasaidizi wake wamekua ni msaada mkubwa sana kwa Wananchi mfano Kassim Majaliwa , ukimuona shida ngumu na za kudhulumiwa zinaisha kama Maghufuli

Nadhani ndio maana JPM alitaka mh Majaliwa ndio aje kua Raisi
 


==========

Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.

Kafanya sahihi na hiyo ndiyo good governance, delegation of power, division of labour, organization structure na specialization. Atawajibu wangapi?

Ule ulikuwa ni upumbavu wa Mwendazake tu na kutaka masifa matatizo ya wananchi hayatatuliwi namna ile. Hata akina Nabii Musa walioishi miaka 4,000 kabla ya Kristu walishauriwa wasitatue matatizo kwa namna ile.

Soma Kutoka 18: 19-22
Musa. Alipokuwa kiongozi wa Israeli, ghafla alikuwa mtu mwenye shughuli nyingi. Watu wa Mungu walihesabiwa mamilioni na maisha ya Musa yalikuwa magumu kwani alihukumu na kuwahudumia watu tangu asubuhi hadi usiku.

Kuangalia yote haya, mkwewe wa Musa Jethro aliingilia kati na kumuonya Musa kwamba atajifunga mwenyewe ikiwa haitafanya mabadiliko.

"Wewe ni mchungaji, Musa, na unahitaji kujifunga na Mungu. Wape wengine kazi za ugomvi na ushauri nasaha. Kisha uwe peke yako na Mungu, utafute uwepo wake, pata akili yake, na upokee neno lake. Hii inapaswa kuwa kipaumbele”
 
Sasa kama hawasaidiwi waende kwa nani. Acheni kupwekesha jukumu la Rais.

Ukisema hawezi kusimamia mambo utapungukiwa na nini?
Juzi tu katuambia watumishi wa umma tusipeleke malalamiko kwa Rais kama tume ya maadili ya utumishi wa umma ilishatoa maamuzi kuhusu kesi zetu. Ila katiba inatuambia tuna haki ya kukata rufaa kwa Rais kama tunahisi haki haikutendek. Leo tena yanajirudia kwa wananchiwa kawaida.
Mama hataki kusikia shida za waliomchagua. Yupo sahihi kabisa kwamba hatakiwi kuwa jalala la kila shida, ila anatakiwa ku strengthen istitutions zake zote kabla hajakataa kusililiza shida za wapiga kura. Atuletee katiba mpya, then yeye akae pembeni aache katiba ichukue mkondo wake. Kwa sasa hawezi kuepuka shida zetu sababu katiba inampa mamlaka makubwa ya kuwa msemaji wa mwisho kuhusu maslahi yetu.
 
Kwa hili maza nakupa tano, utasikiliza wangapi? mtindo huu ulioasisiwa na marehemu haukuwa mzuri, tuna watendaji kibao kila ngazi, kuna wawakilishi wa Rais kibao - kama kweli wananchi wana matatizo hadi wanataka kumwona Rais pekee yake basi tukubali watanzania kwamba tuna mfumo mbovu wa utawala - na sisi tunaodai KATIBA MPYA nikweli tuna hoja ya msingi.
Na viongozi wa mikoa na wilaya walishapigwa mkwara mtu akionekano na bango kiongozi atawajibishwa. Kwahiyo kama hukusikilizwa shida zoko mkoani/ wilayani, na ukabeba bango lako hapo, utawajibiswa na uongozi wa chini kabla Rais hajaliona hilo bango. Kiongozi hataki lawama. Ndio maana huyo mama kaamua kujitokeza kwa speech ya mkuu, na majibu ya mkuu umeyaona. SIjui aende wapi kwa sasa kupata haki yake?
 
Sasa kama hawasaidiwi waende kwa nani. Acheni kupwekesha jukumu la Rais.

Ukisema hawezi kusimamia mambo utapungukiwa na nini?
Majukumu ya rais sio hayo yakuokoteza shida za wananchi mmoja mmoja.ndo maana nchi ina vyombo na wizara mbali mbali.kama mtu anashida na haitatuliwi ngazi ya chini xiko taratibu zakupeleka malalamiko yake ngazi ya juu.acheni kujitoa ufahamu kwa mambo madogo kama hayo kisa kuna limbukeni mmoja alikua anasikiliza matatizo ya watu kienyeji bila kuhimarisha taasisi zakutatua kero za wananchi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
"Kwa bahati mbaya sana serikali haiwezi kutoa haki bila kupitia mahakama"

Nani anamwandikia hotuba huyu Mama ? She needs help! She is a lightweight.

Mfumo wa mihimili ya nchi inayosigana ni bahati mbaya sana!

Samia amchukue Januari akamsaidie kuandika hotuba, kule Nishati hapawezi.
Nilisikilza hiyo statement ya bahati mbaya sana, nikajiuliza maswali mengi. Naunga mkono hoja kuwa mama aandikiwe speech, akifika pale azisome bila kuongeza mawazo yake binafsi kama hayo ya bahati mbaya na mipasho mingine. Anatu let down wanawake.
Ukianza na ile speech ya urefu wa kamba, SPIKA KUJIUZULU, na hii bahati mbaya serikali haitoi hukumu BALI NI MAHAKAMA, swali ni kuwa hawa viongozi wanaelewa kweli umuhimu wa hii mihimili? Unawawezaje kujadili statement ya leo ya bahati mbaya bila kuhusisha na kinachoendelea mahakamni (mtuhuru in engish) kwa kesi ya ufisadi?
 


==========

Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.
Samia ni katili mno,as if she's not a woman
 
Kwa hili maza nakupa tano, utasikiliza wangapi? mtindo huu ulioasisiwa na marehemu haukuwa mzuri, tuna watendaji kibao kila ngazi, kuna wawakilishi wa Rais kibao - kama kweli wananchi wana matatizo hadi wanataka kumwona Rais pekee yake basi tukubali watanzania kwamba tuna mfumo mbovu wa utawala - na sisi tunaodai KATIBA MPYA nikweli tuna hoja ya msingi.
Yule bwana aliyeasisi mambo haya alikuwa anawatumia "wanyonge" kupata kiki
 
Huyo mwenye shida ni mnyonge asiejua hata huo utaratibu wa kusubiri. Yeye anachojua ni kupaza sauti tu kuomba msaada.

Angemsikikiza ili ajue atakapo kwenda kuona alichoandika alinganishe na maneno mubashara kutoka kwa muhusika.

Usipende kurahisisha mambo hujui mtu anamaumivu ya kuonewa kiasigani.
Nina uhakika wasaidizi wake watamfikishia habari
 
Nilisikilza hiyo statement ya bahati mbaya sana, nikajiuliza maswali mengi. Naunga mkono hoja kuwa mama aandikiwe speech, akifika pale azisome bila kuongeza mawazo yake binafsi kama hayo ya bahati mbaya na mipasho mingine. Anatu let down wanawake.
Ukianza na ile speech ya urefu wa kamba, SPIKA KUJIUZULU, na hii bahati mbaya serikali haitoi hukumu BALI NI MAHAKAMA, swali ni kuwa hawa viongozi wanaelewa kweli umuhimu wa hii mihimili? Unawawezaje kujadili statement ya leo ya bahati mbaya bila kuhusisha na kinachoendelea mahakamni (mtuhuru in engish) kwa kesi ya ufisadi?
that's right

na hicho ndicho Samia anakiamini kwa dhati kutoka moyoni, she wishes kwamba serikali ingeweza kutoa hukumu za kesi.

Umegusia suala la Samia ku dissapoint wanawake, lakini si yeye tu, hata JPM nae alififisha mahakama. Marais wetu hawaamini mahakama. Ukipata muda nenda youtube tafuta clip ya Harmonize aliposimama nje ya airport DSM akieleza kwa saa nzima jinsi kesi yake na Diamond ilivyoamuliwa na Rais!

Eti watu wana namba za simu za marais mifukoni wakigombana wanawapigia simu marais waamue, mambo ya mikataba, mambo ya kibiasharana, ya kisheria, na marais na wanatoa maagizo kwa mawaziri!
 
Maigizo nani kayaleta?

Ingeuwa wakati wa Magufuli mngesema hivyo.

Samia angepungukiwa nini kama angemsikiliza na kumpa mtu wa kumusaidia wa karibu zaidi?

Acheni kujifanya wapambe masiokuwa na msaada kwa Wananchi. Au kwa vile ni Urais wa Mchongo ndo maana wananchi wakae pembeni.
Hekima nayo mtu hupewa kutoka kwa Mungu.Hakuwa nayo
 
Back
Top Bottom