that's right
na hicho ndicho Samia anakiamini kwa dhati kutoka moyoni, she wishes kwamba serikali ingeweza kutoa hukumu za kesi.
Umegusia suala la Samia ku dissapoint wanawake, lakini si yeye tu, hata JPM nae alififisha mahakama. Marais wetu hawaamini mahakama. Ukipata muda nenda youtube tafuta clip ya Harmonize aliposimama nje ya airport DSM akieleza kwa saa nzima jinsi kesi yake na Diamond ilivyoamuliwa na Rais!
Eti watu wana namba za simu za marais mifukoni wakigombana wanawapigia simu marais waamue, mambo ya mikataba, mambo ya kibiasharana, ya kisheria, na marais na wanatoa maagizo kwa mawaziri!