Nilisikilza hiyo statement ya bahati mbaya sana, nikajiuliza maswali mengi. Naunga mkono hoja kuwa mama aandikiwe speech, akifika pale azisome bila kuongeza mawazo yake binafsi kama hayo ya bahati mbaya na mipasho mingine. Anatu let down wanawake.
Ukianza na ile speech ya urefu wa kamba, SPIKA KUJIUZULU, na hii bahati mbaya serikali haitoi hukumu BALI NI MAHAKAMA, swali ni kuwa hawa viongozi wanaelewa kweli umuhimu wa hii mihimili? Unawawezaje kujadili statement ya leo ya bahati mbaya bila kuhusisha na kinachoendelea mahakamni (mtuhuru in engish) kwa kesi ya ufisadi?