Duh! Rais Samia amkataa mama mnyonge aliyetaka kumlilia kama Magufuli. Nenda kakae…

Duh! Rais Samia amkataa mama mnyonge aliyetaka kumlilia kama Magufuli. Nenda kakae…

Kilochobaki sasa ivi ni kutembeza kichapo, maana hawa watumishi wa umma kuna time wanakera haswa mpaka unaona uyo mama kafika hatua iyo ujue kashakutana na zarau za aina zote, sasa ivi wanakauli zao wanasema mliyekua mnamtegemea hayupo!!!! Raisi angeweza kusikiliza akatatua changamoto ya uyo mama na akaendelea na hotuba
Katiba mpya ndio jawabu la kudumu, sio kutembeza kichapo.
 
huwezi sikiliza mtu mmoja mmoja watu wanashida karibu nchi nzima. kila mtu na shida yake nenda ukakae mama mimi sio mama wa michongo kama baba wa michongo..ovaa!
Hata Marekani kuna masikini hadi ombaomba ila bado wanatoa misaada afrika.
 
Binafsi siungi mkono haya mambo,mahakama zipo ziachwe zitende kazi kwa mujibu wa sheria za nchi.Alichofanya rais Ni sahihi na ninapongeza Jambo Hilo.

Mimi hapa Nina kesi yangu mahakamani ambapo Kuna nyumba ya baba yangu alipewa urithi na babu kwani hata hati ya kiwanja Ina jina la baba , lakini baada ya kufa babu mke mdogo wa babu alikuja kuishi kwenye nyumba hiyo,sasa kumfukuza imekuwa mbinde huku wakishirikiana na mtoto wake(ambaye ni baba yangu mdogo),kesi iko mahakamani nimemfungulia kesi ya kumfukuza ndani ya nyumba ,najua siku ya hukumu lazima alete maigizo mbele ya viongozi wa serikali,....

Binafsi naziamini mahakama zetu katika utendaji,nakama mtu anaoona hajatendewa haki akate rufaa na sio kuleta maigizo mbele ya rais.

Rais samia Yuko smart Sana ,big up mama.
 
Haki haipatikani mahakamani wala Kanisani

Sijui tunaenda wapi?
Ndiyo tatizo la kukipa chama kimoja GUARANTEE ya kutawala milele.

Siku wananchi watakapotwaa mamlaka yao ya kuwajibisha viongozi wa kisiasa na vyama vyao kupitia chaguzi na bungeni, ndipo heshima kwa raia itarudi. Sasa hivi watu wanajali mamlaka za uteuzi tu. Nobody gives the fck about the people!

Ona jinsi viongozi wa US wanavyosota kujihakikishia kukubalika kwa tawala zao kupitia opinion polls.
 
Hakukuhitajika jaziba, ilikuwa ni kumueleza, kuwa "sawa mama nitakusikiliza ngoja nimalize hili. Wasadizi wangu nikumbushe jambo hili". Kama yule mama angeng'ang'ania basi ange kuwa amekosea zaidi. Lakini kwa hulka wala hakuonyesha kuwa ni mkorofi wa hivyo.

Mitego mingine aikwepe !

Wakristu wanayo mifano kibao ya jinsi Yesu alivyokuwa anakuwa interrupted na watu Wenye shida mbalimbali na bado aliacha kwa muda alichokuwa akikifanya na kuamua kufanya alichoombwa. Uongozi tukijifunza Kutoka Kwa Yesu Ni HUDUMA( UTUMWA) na sio kunyenyekewa(UBWANA). Ikiwa Yesu ambaye ni Mungu na mwanadamu alijinyenyekesha, huyu wa kwetu ambaye hata cheo cha Malaika hana anatoa wapi huo ukubwa wa kuonekana kuingiliwa Katikati ya Shughuli zake Ni Kero?
 
Halujifanya aliwapenda kwa dhati mkuu, roho yako mbaya ukiona mnyonge anaumia ndio furaha yako nikuambie tu kama haitajirudia kwako basi uzao wako utaonja shubiri ya unyonge siku moja
Haya mnyonge nenda kakae na mavi yako nyumbani
 


==========

Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.


Kajibiwa vizuri Sana, hana nidhamu Huyo
 
Wale wasaidizi wake ndio wapo karibu zaidi hivyo ni rahisi kupitia nyaraka na kuona tatizo liko wapi na hapo ndipo atamkabidhi kwa waziri kama kupitia kwa waziri ndio ufumbuzi wa tatizo lake,sasa shida hiko wapi? Kwanini mnalazimisha afanye kama Magufuli? mbona yeye hakumuiga Kikwete bali aliamua kushughulika kivyake!
Je! Unajuaje kama Huyu Mama ameisha waendea hao wote hajapewa msaada, Ndio Maana kaamua kujiripua kwa Mama yenu? Mama yenu anaroho mbaya ana msaada kwa Watanganyika,ila kwa Mafisadi tu.
 
Maigizo yote haya yaliletwa na Magufuli kwa kutaka cheap popularity na kujifanya eti anapenda Saana wanyonge.

Upumbavu mtupu
kuna namna kila mtu anahitaji kupendwa na mtu kwa wanasiasa ni hivyo zaidi wao wanahitaji kupendwa na watu si Samia wala Magufuli mwanasiasa bora ni yule anayependwa na watu na kama Magufuli alifanikisha hilo au alikuwa analipambania hilo Basi ni Mwanasiasa Bora sana....... hii "mama anaupiga mwingi...." na kujenga madarasa kwa pesa za msaada wa covid zote ni jitihada za kutaka kupendwa na watu
 
Katiba mpya ndio jawabu la kudumu, sio kutembeza kichapo.

Nimesema ivyo mkuu kwasababu kuna ofisa wa TRA leo nimempa kichapo ananiletea mabili ya ajabu kwenye officen yangu namuelekeza akaleta shombo nimempa mabanzi ya maana na hapa nina barua yakuitwa tra...!!! Katiba mpya ni Sawa kabisa mkuu ila kwa kipindi hiki tunasubiri katiba ni dozi tu nakwambia
 
Back
Top Bottom