Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And its not faaaaaane at all.Even chinese were amazed on a turn around about baga mayoye (bagamoyo)I've been trying to tell them. when we call them Bongolalas we are not insulting them. Their brains are M.I.A
Hizi ndio taarifa za uhakika - TANZANIA 🇹🇿 ina wataalamu wa AFYA wasiopunguwa hamsini [ 50 ] katika taifa la UINGEREZA 🇬🇧 na KENYA 🇰🇪 ina wataalamu wa AFYA mia nane [ 800 ] katika taifa la UINGEREZA 🇬🇧. Na hawa wataalamu wa AFYA kutoka TANZANIA 🇹🇿 ni wale waliosoma mitaala ya CAMBRIDGE na mitaala mingine ya KIMATAIFA, sio wale waliosoma mitaala ya NECTA.Ni kweli! Kwa sababu majuzi nilikuwa nasikiliza radio DW - wakasema nchi ya KENYA 🇰🇪 ina wataalamu wa AFYA 800 katika taifa la UINGEREZA 🇬🇧 pekee yake na TANZANIA 🇹🇿 ina wataalamu wa AFYA wasiopunguwa 50 katika taifa la UINGEREZA 🇬🇧.