Duh! Tanzania yenye watu milioni 60, ina wataalam 3.3%.......kazi bado sana tu

I've been trying to tell them. when we call them Bongolalas we are not insulting them. Their brains are M.I.A
And its not faaaaaane at all.Even chinese were amazed on a turn around about baga mayoye (bagamoyo)
 
Hizi ndio taarifa za uhakika - TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ina wataalamu wa AFYA wasiopunguwa hamsini [ 50 ] katika taifa la UINGEREZA πŸ‡¬πŸ‡§ na KENYA πŸ‡°πŸ‡ͺ ina wataalamu wa AFYA mia nane [ 800 ] katika taifa la UINGEREZA πŸ‡¬πŸ‡§. Na hawa wataalamu wa AFYA kutoka TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ni wale waliosoma mitaala ya CAMBRIDGE na mitaala mingine ya KIMATAIFA, sio wale waliosoma mitaala ya NECTA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…