Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Unataka kufungua maabara katika wilaya gani ya Tanga nikuunganishe na mhusika?
We ndo unambie Tanga wapi pazuri pa kuweka hiyo biashara?? Kwa kuzingatia vipaombele vya biashara ya maabara kama we ni Mfamasia (yaan upo kitengo cha afya tena kwa DMO utakuwa na uzoefu na maeneo ya Tanga.

Vigezo mhimu vya kuzingatia kwny biashara hii huwa ni
- Mahali palipo na idadi kubwa ya makazi ya watu (watu wasiohamahama kwa msimu)
- Pawe na mzunguko wa pesa (sio watu kuja mjini/senta hadi jion saa 15-19
- Umeme wa grid ya Taifa (Kwa ajili ya vifaa vya kazi)
- Pawe kuna karibu na Hosp. ama Kituo cha Afya ya/cha Serikali. (serikali mara nyingi huwa hawana vifaa km reagents so watakuja kwangu mfn akina mama wajawazito kupima PROTEIN n.k (Urinalysis) sio Urine for sed.
N.k

NB: Mi cjawahi fika Ardhi yyte ndan ya mkoa wa Tanga.
 
Kwa 20 m, ni zaidi ya duka la dawa mhimu, bali hata phamacy! good business idea, but needs a good ROAD MAP, (BUSINESS PLAN), andaa au tafuta mtaalamu akuandalie ili iwe njia yako ya kufanya monitoring and evaluation kwa muda wote wa business yako. Very important! unaweza ni PM pia kwa kazi hiyo.
Naomba namba yako IPILIMO
 
Jifunze kuhusu duka la dawa muhimu,duka la dawa baridi na famasi ni maduka ye ye sifa tofauti
 
Naomba tofauti ya hizo mbili kwenye red na blue
Mm sio mfamasia kwa utaalam ila najua kuwa hata leseni hutolewa kulingana vigezo vilivyowrkwa. Famasi ndo duka linaloruhusiwa kwa mujibu wa vigezo kuuza aina zote ama nyingi za dawa. Na hapo lzm awepo mfamasia aliyesimea kbs ili upate leseni.

Duka la dawa baridi kuna dawa haliruhusiwi kabisa kuuza mfano antibiotics na nyinginezo ambazo nadhani zinagitaji uangakizi wa kitaalam anapoandikiwa mgonjwa

Duka la dawa muhimu hili ni hatua ya chini kama vile huduma ya kwanza. Humu utapata painkillers syrups za kikohozi labda tubes na pengine zi zote na vifaa tiba kama bandeji plasta nk.

Wenye utaalam wao wanaweza kuyaweka maelezo yangu vzr sana ila naamini siko mbali na ukweli. Usione duka limeandikwa dawa baridi ukadhani ni famasi
 
Mm sio mfamasia kwa utaalam ila najua kuwa hata leseni hutolewa kulingana vigezo vilivyowrkwa. Famasi ndo duka linaloruhusiwa kwa mujibu wa vigezo kuuza aina zote ama nyingi za dawa. Na hapo lzm awepo mfamasia aliyesimea kbs ili upate leseni.

Duka la dawa baridi kuna dawa haliruhusiwi kabisa kuuza mfano antibiotics na nyinginezo ambazo nadhani zinagitaji uangakizi wa kitaalam anapoandikiwa mgonjwa

Duka la dawa muhimu hili ni hatua ya chini kama vile huduma ya kwanza. Humu utapata painkillers syrups za kikohozi labda tubes na pengine zi zote na vifaa tiba kama bandeji plasta nk.

Wenye utaalam wao wanaweza kuyaweka maelezo yangu vzr sana ila naamini siko mbali na ukweli. Usione duka limeandikwa dawa baridi ukadhani ni famasi

Mimi ni mfamasia na naomba nikuelimishe

Maduka ya Dawa Baridi kwa sasa hayaexist badala yake yakabadilishwa jina kuwa Duka la Dawa muhimu (DLDM)

Na ni kweli kwamba kinachoitofautisha DLDM na Famasi ni ile range ya dawa zinazouzwa lakini pia DLDM haihitaji usimamizi wa mfamasia
 
Mimi ni mfamasia na naomba nikuelimishe

Maduka ya Dawa Baridi kwa sasa hayaexist badala yake yakabadilishwa jina kuwa Duka la Dawa muhimu (DLDM)

Na ni kweli kwamba kinachoitofautisha DLDM na Famasi ni ile range ya dawa zinazouzwa lakini pia DLDM haihitaji usimamizi wa mfamasia
Good Ze Heby. Asante kwa kuniupdate
 
Ahsanteni wote mliotoa maelekezo kuhusu MTU anaetaka kufungua duka LA kuuza hizi dawa.Mm ndio maana naipenda JF mnatoa elimu Kanyaga twende wanajf wote.
 
Pia nipende kuwasihi tu wafanyabiashara na wanaotegemea kufanya biashara hii tuwe waadilifu na tufuate sheria na utaratibu.Dawa ni bidhaa sensitive na ukimess up kidogo maisha ya wateja yanakua rehani

Usiingie kwenye biashara hii ukiwa na over expectation maana ukikuta mambo tofauti utashawishika kujiiingiza kwenye udanganyifu kama kuuza dawa na vipodozi vilivyopigwa marufuku au kuuza pharmacist only medicine kwenye DLDM pamoja na aina nyingine nyingi za udanganyifu
 
Naomba mwenye ufahamu sahihi kwenye hili anisaidie. Nimemwambia mtu wangu wa karibu aliyepo mikoa ya kusini (mimi sipo huko kwa sasa) atafute frame tufungue duka la dawa muhimu. Frame amepata lakini ameniambia kuwa mfamasia wa wilaya amesema hapo hapatakiwi kwa kuwa kuna duka la dawa lingine ndani ya mita mia tatu! Cha kushangaza kuna maduka ya dawa muhimu mawili nayajua yapo kama mita 70 tu apart na yanaoperate.
Sasa ndugu zangu kama kuna mtu anajua utaratibu wa kisheria anielekeze hatua za kufuata maana nimepandwa na hasira mpaka nawaza kwenda TAKUKURU maana nahisi kam kuna mazingira yanatengenezwa ya mimi kutolewa hela!
 
Naomba mwenye ufahamu sahihi kwenye hili anisaidie. Nimemwambia mtu wangu wa karibu aliyepo mikoa ya kusini (mimi sipo huko kwa sasa) atafute frame tufungue duka la dawa muhimu. Frame amepata lakini ameniambia kuwa mfamasia wa wilaya amesema hapo hapatakiwi kwa kuwa kuna duka la dawa lingine ndani ya mita mia tatu! Cha kushangaza kuna maduka ya dawa muhimu mawili nayajua yapo kama mita 70 tu apart na yanaoperate.
Sasa ndugu zangu kama kuna mtu anajua utaratibu wa kisheria anielekeze hatua za kufuata maana nimepandwa na hasira mpaka nawaza kwenda TAKUKURU maana nahisi kam kuna mazingira yanatengenezwa ya mimi kutolewa hela!
Subiri wadau wafike
 
Naomba mwenye ufahamu sahihi kwenye hili anisaidie. Nimemwambia mtu wangu wa karibu aliyepo mikoa ya kusini (mimi sipo huko kwa sasa) atafute frame tufungue duka la dawa muhimu. Frame amepata lakini ameniambia kuwa mfamasia wa wilaya amesema hapo hapatakiwi kwa kuwa kuna duka la dawa lingine ndani ya mita mia tatu! Cha kushangaza kuna maduka ya dawa muhimu mawili nayajua yapo kama mita 70 tu apart na yanaoperate.
Sasa ndugu zangu kama kuna mtu anajua utaratibu wa kisheria anielekeze hatua za kufuata maana nimepandwa na hasira mpaka nawaza kwenda TAKUKURU maana nahisi kam kuna mazingira yanatengenezwa ya mimi kutolewa hela!
Usjali mpe sent kidogo uendelee na jambo lako! Unaweza kumuendea takukuru nae akawa anakuvizia ili akukomoe! Kwa nchi yetu hizi karaha Ndogo Ndogo za wenye mamlaka kutaka ganji hazitakwisha! Nakushauri Kwa hali ilivyo ngumu kwa sasa mtilie 50,000/= uendelee na jambo lako!
 
Mimi ni muhitimu wa course ya uuguzi, nimejiminya kitaa maana ajira ni ngumu hivyo nilipigana kufanya vitu mbalimbali na sasa nimepata million2 sasa nafikiria kuanzisha duka la dawa muhimu ! naombeni ushauri kwa mtaji huo naweza fanikisha?

Changamoto zake kwa anaefahamu anaweza nisaidia!! mm nipo Dar kwa sasa hata kama kuna allocation nzuri karibu na Dar ambapo naweza anzisha pia mnaweza nisaidia coz bado cjapata sehemu!!

Naomba msaada sana
 
Una uhakika hapo unapotaka kuanzisha duka la dawa kuna wagonjwa wa kutosha?
 
Una uhakika hapo unapotaka kuanzisha duka la dawa kuna wagonjwa wa kutosha?
Just ni wazo la biashara bado cjapata location!! naanza na changamoto na huo mtaji unatosheleza? pia unaweza nishauri yapi ya kuzingatia pia kama kuna allocation unaweza niambia pia.
 
Mimi namtaji wa shilingi milioni 2 nataka nifunfue duka la dawa baridi: Ila stalipia fremu maana banda ni langu! Ushauri juu ya changamoto inayoweza kunikuta! Karibuni
 
Fresh tu, sana sana pesa ya muuzaji ndo muhimu,, ivo vingine vilesen ela ya nyanya tu.

Piga hela mkuuu !! , ila angalia Hilo Banda lako liko wapi?? Nijamii yaaina gan? Fatilia fatilia hata ujue nijamii inayosumbuliwa nann mara kwa mara... Location ya banda lako n.k

Kinyume nahapo, banda litakua lako, nabado hamna kitu utakachopata .

Zaidi nikuakikishie, Km izo zote umeziangalia, Basi kula pesa !! ... Iyo ndo biashara ilobaki yenye faida kubwa kubwa, nahaina cha kuzungumza na mteja .
 
Back
Top Bottom